Ukweli kuhusu Wasukuma na neno "ukarimu"

Ukweli kuhusu Wasukuma na neno "ukarimu"

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Watu wengi wamekuwa wakiwasifu ndugu zangu kabila la kisukuma kwa kuwa wakarimu, lakini pia kuna baadhi ya watu wamekuwa wakiwananga Wsukuma kwa kuwasema kuwa hawana ukarimu bali ni watu wenye roho mbaya, hii ni asilimia ndogo ukilinganisha na ile inayowasifia wasukuma.

Ukweli ni huu hapa unapofika Usukumani hasa kama wewe ni mgeni na lengo lako ni kutafuta maisha utapokelewa kwa bashasha na kila huduma nzuri utaipata kama chakula na mengineyo.

Sasa basi baada ya muda mfupi umejitafuta na umejipata yaani umeanza kuwa na mafanikio ya hapa na pale.

Hapa sasa ndio utaanza kumfahamu Msukuma vizuri, ule ukarimu aliokuwa anakuonyesha hubadilika polepole na kuanza kukuonesha tabia yake halisi.
 
Mi ninachojua Wasukuma sio wa choyo wa chakula tu, wakipika chakula cha familia moja ni kama wanalisha kijiji, na hupenda kula nje hata ukipita hawana noma una nawa na kukaa kula. Mambo yao ya kishamba sio shida yangu.
kwamba wasukuma wanapenda kula
 
watu wengi wamekuwa wakiwasifu ndugu zangu kabila la kisukuma kwa kuwa wakarimu, Lakini pia kuna baadhi ya watu wamekuwa wakiwananga wasukuma kwa kuwasema kuwa hawana ukarimu bali ni watu wenye roho mbaya, hii ni asilimia ndogo ukilinganisha na ile inayowasifia wasukuma....ukweli ni huu hapa unapofika usukumani hasa kama wewe ni mgeni na lengo lako ni kutafuta maisha utapokelewa kwa bashasha na kila huduma nzuri utaipata kama chakula na mengineyo. sasa basi baada ya muda mfupi umejitafuta na umejipata yaani umeanza kuwa na mafanikio ya hapa na pale. Hapa sasa ndio utaanza kumfahamu msukuma vizuri , ule ukarimu aliokuwa anakuonyesha hubadirika polepole na kuanza kukuonyesha tabia yake halisi.
Tabia halisi ya msukuma ni ipi? Maana Umetuacha kwenye mataa
 
Mkoa upi Tanzania hii ukitoboa ugenini halafu wenyeji wakuchukulie kawaida.
Kingine ambacho hujui mkuu, wao wanapokupokea kwa ukarimu wanataraji ubakie kuwa na shukrani, sasa ile kupata pesa na kuanza kuweka mipaka au kuwa busy na life lako pamoja na marafiki wapya, lazma uchukuliwe kama "umebadilika"

Cha msingi kama umetafuta pesa mtaa flani ambao wengi ni hali zetu hizi, ukizipata jenga eneo lingine na huko uwe unaenda kusalimia. Ukiachana na hili, usukumani kwa ukarimu ni sifa yao, mengine ni ubinadamu tu
 
Watu wengi wamekuwa wakiwasifu ndugu zangu kabila la kisukuma kwa kuwa wakarimu, Lakini pia kuna baadhi ya watu wamekuwa wakiwananga wasukuma kwa kuwasema kuwa hawana ukarimu bali ni watu wenye roho mbaya, hii ni asilimia ndogo ukilinganisha na ile inayowasifia wasukuma.

Ukweli ni huu hapa unapofika usukumani hasa kama wewe ni mgeni na lengo lako ni kutafuta maisha utapokelewa kwa bashasha na kila huduma nzuri utaipata kama chakula na mengineyo.

Sasa basi baada ya muda mfupi umejitafuta na umejipata yaani umeanza kuwa na mafanikio ya hapa na pale.

Hapa sasa ndio utaanza kumfamu msukuma vizuri, ule ukarimu aliokuwa anakuonyesha hubadilika polepole na kuanza kukuonesha tabia yake halisi.
Naungana na wewe msukuma ni mtu poa ukiwa huna kitu ila ukiwa na mafanikio wewe ni adui yake,wasukuma ni katili sana,mkoa wa geita unaongoza kwa kesi za mauaji
 
Hivi mtu mkarimu anaweza kuwa mchawi vilevile?Ni swali tu.Naongeza lingine.Hivi mtu mwema na mkarimu anaweza kudiriki kuua vikongwe wenye asili ya macho mekundu kwa kudai ni wachawi?Au,kukodi majambazi wakamuue mtu aliyebaini ana fedha?
nimeishi kanda ya ziwa ila sio siri , kanda ya ziwa niliona mengi mabaya kuliko nilipokuwa kaskazini huko moshi mkoani kilimanjaro......
 
Back
Top Bottom