Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
refa alichezesha mpira ipasavyo red card ilitoka ilivyostahili yule mchezaji inabidi afundishwe nidhamu!,mtu katoka nje kaumia unatibiwa unarudi ndani kufanya nini...? na tayari alikuwa na njano,ile penati unasema yakupewa yule mkabaji uliona alikaba mpira au alikaba mtu! kama na haya mpk mfundwe basi hamjui mpira!..Labda Refa atoe Red Card au Penati...!
Kwa kile Kilichooneka Siku ya Mwananchi..! Vile vichezaji Vibabu ndo havitatoka Salama...!
Iko maktabaa. Kwa uthibitisho zaidi.kesho tusipomfunga simba chini ya goli [emoji2391] naomba nipigwe ban ya siku 3 Moderator JamiiForums Maxence Melo
Halafu hii dhana ya kwamba yanga wakishinda huwa hakuna makelele mji unatulia sijui imetoka wapi, kati ya hizo timu mbili hakuna hata mmoja ambaye akishinda mji unatulia acheni kujifanya ninyi yanga ndio wastaarabu, wote simba na yanga huwa mnatupigia makelele tena yanga kelele zenu ndio huwa za kishambaSimba akifungwa hiyo kesho, hakika mji utatulia.
Ole wako kesho ukimbie jukwaa ๐๐คฃ๐๐Iko maktabaa. Kwa uthibitisho zaidi.
Kumbe upo ๐คฃ๐๐๐Halafu hii dhana ya kwamba yanga wakishinda huwa hakuna makelele mji unatulia sijui imetoka wapi, kati ya hizo timu mbili hakuna hata mmoja ambaye akishinda mji unatulia acheni kujifanya ninyi yanga ndio wastaarabu, wote simba na yanga huwa mnatupigia makelele tena yanga kelele zenu ndio huwa za kishamba
Naunga mkono hojarefa alichezesha mpira ipasavyo red card ilitoka ilivyostahili yule mchezaji inabidi afundishwe nidhamu!,mtu katoka nje kaumia unatibiwa unarudi ndani kufanya nini...? na tayari alikuwa na njano,ile penati unasema yakupewa yule mkabaji uliona alikaba mpira au alikaba mtu! kama na haya mpk mfundwe basi hamjui mpira!..
kauli ni hii tu.. tunapiga palepale kwenye mshono na uzuri mmevaa sanda tayari hashtag #HATUSAFIRISHI jambo litakapoanzia ndipo litakapomalizikia!.
Kesho utatolewa mapepoLabda Refa atoe Red Card au Penati...!
Kwa kile Kilichooneka Siku ya Mwananchi..! Vile vichezaji Vibabu ndo havitatoka Salama...!