Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta dawa za msongo wa mawazo unywe tu. kwa nguvu za Mungu mama Samia unaye kama Rais wako hadi 2030 na anafanya vizuri tuMnapovu sanà nyie watu. Hamutaki kuelezw ukweli. Badilikeni.
Hahah wapi huko?yaani mkisha vimbiwa makande yenu mnakuja huku kutujambia. kwa taarifa yako huku nilipo watu wanamuelewa sana
Haeleweki kwako tu, mbona wananchi wanamuelewa 100%. Acha uzushi.Huku kitaa watu hawaelewi kabisa.
Suala la Ngorongoro. Swala la Bandari.
Ushauri.
Mama apumzike tu. Ili chama kipone.
tutampa mamaako aongoze.Ni kweli kabisa.
Haaminiki, Hapendwi yaani analazimisha tu na wala uwezo hana.
Ila tutakua nae kwa mda maana anaforce mno.
Mi kiukweli namuelewaHuku kitaa watu hawaelewi kabisa.
Suala la Ngorongoro. Swala la Bandari.
Ushauri.
Mama apumzike tu. Ili chama kipone.
Lete ushahidi!
Dunia ni kijiji , halafu kama ngorongoro imeuzwa usalama wa Songea unatoka wapi ?Kwamba Mtanzania aliepo songea na sumbawanga anasema hamuelewi Rais Kwa sababu ya wamasai Ngorongoro??..
Uzushi mwingine hauna hata haya..
Waliopo Dar Tu hawajali lolote kuhusu wamasai wa Ngorongoro...
Alianza vizuri mfumo ukampindua! Kilichobaki ahakikishe anamaliza muda wake salama bila kusababisha umwagaji wa damu. Asikubali kupotoshwa zaidi.Mlivyomsifia kipindi kawa rais ungedhani alikuwa ni mwema muweza wa yote [emoji1787]
Hivi wabunge walikula mlungula wa shng ngapi kmmke..!!Huku kitaa watu hawaelewi kabisa.
Suala la Ngorongoro. Swala la Bandari.
Ushauri.
Mama apumzike tu. Ili chama kipone.
Vijana laki na ishirini ndiyo watajiunga na kidato Cha tano,ni kidogo Sana, watanzania wengi mbumbumbu...ukihangaika kuwaelewesha na kuwaridhisha utachelewa,unawaswaga tu Kama ng'ombeHuku kitaa watu hawaelewi kabisa.
Suala la Ngorongoro. Swala la Bandari.
Ushauri.
Mama apumzike tu. Ili chama kipone.
Wamekula shng ngapi!?Wale ni maasikali watiifu wa mwenyekiti wa chama chao.