Ukweli Mchungu: Black race ni failed project!

Ukweli Mchungu: Black race ni failed project!

Fact ila hao Black America nimewatolea mfano kwa kushindwa kubadili mindset zao na kuchukua advantage ya kufanya mambo makubwa kulinganisha na eneo walilopo tofauti na Mazingira yetu ndio maana napata hitimisho la race kama race na Sio Mazingira nj some na sisi tuna Rasilimali chungu nzima ila sasa kuzitumia kwa manufaa ni mtihani mkuu!
Nenda popote zao la immigrants second generation au first generation huwa linafanya vizuri..., sababu wazazi wamepata shida wana-instill kujituma kwa watoto wao hivyo wenzao wakitembea wao wanakimbia.., trust me ubaguzi waliofanyiwa na kubaniwa opportunities watu weusi huko USA inachukua muda kuondoka..., na mentality ndio hio kwamba hata wakijitahidi hawatapata opportunities same as whites (ndio maana wengi walijikita kwenye michezo n.k.), sababu their role models ndio walifanya vyema / kufanikiwa huko....

Sio rangi inayomfanya mtu afanikiwe au adumae ni culture / utamaduni..., kwahio hata sisi huku mambo ya kuamini vitu vimepangwa na mungu, kushikana uchawi na kutegemea mwanasiasa ndio atutoe hapa kutupeleka pale inatudumaza..., kizazi kikizaliwa na watu kama kina Diamond wote watataka kuwa kama Diamond na kuingia kwenye usanii..., Kizazi kikizaliwa na kujiuliza na kujaribu kuboresha (age of enlightenment) utapata thinkers na watu wanaotaka kuboresha....

Kizazi kikizaliwa kwamba wale HAMAS ni wabaya au hawa Israel ni wabaya n.k. utapata kizazi cha chuki na kulipizana visasi...

Kizazi kikizaliwa kwa kuona kwamba wizi / ufisadi ndio ujanja na siasa ni biashara ya kupata kura ili kwenda kula utapata kizazi cha watu walaghai..., kizazi kikizaliwa kwamba tunahitaji wawekezaji na sisi hatuna akili kitu atafanya ajaye utapata watu tegemezi....

Yote hayo ni utamaduni (the way we do things around here) na kutoka kwenye mentality moja mpaka nyingine itachukua generations na in black americans case mabadiliko ya leo huenda matokea yake ni generation nne zijazo....
 
kama tumeshindwa ku control population kwanin tusionekana tuna shida Nchi kama Ethiopia na majanga yote yale ya kiuchumi lakini bado wanazidi kuzaliana kama jungu taifa linawatu zaidi ya milioni.20 na asilimia kubwa ya eneo la nchi yao ni Semi desert.
 
Watu weusi kinachofanya tunaishi hivi sasa ni kuchelewa kupata elimu. Elimu inamfanya mtu anastaarabika na kutumia zaidi akili kuliko nguvu.

Ukiangalia kwa Afrika, elimu imekuja miaka ya 1900(ni kama juzi tu) na bado sio wote walifanikiwa kupata, ni wachache sana walifanikiwa kupata. Hii ina maana kua wengi wetu tumelelewa na wazazi wasiokua na elimu ambao waliamini zaidi katika malezi ya kibabe kuliko kumjenga mtoto kua mtu bora. Matokeo yake wengi tunakua watu wazima tusio na busara na ustaarabu ambapo sasa ndo tunaishia kuishi kama wanyama.

Mi naona shida kubwa kwa watu weusi ni elimu. kwa mfano hata kiaangalia kwa makabila ambayo angalau yalipata elimu mapema zaidi kwa jinsi wanavyoishi(mfano Wachaga) utagundua elimu ina mchango mkubwa sana kwenye mfumo wa maisha ya binadamu.

Shida inayofatia hapa sasa ni ubora wa elimu. Hii inaweza kufanya watu wakaonekana wamepata elimu ila kutokana na ubovu wa elimu ikawa ni kama hawana elimu, na mbaya zaidi unawakuta wameshika nyadhifa
 
Africa is the continent where protohumans evolved for the longest time, where anatomically modern humans may also have arisen, and where native diseases like malaria and yellow fever killed European explorers. If a long head start counts for anything, why didn’t guns and steel arise first in Africa, permitting Africans and their germs to conquer Europe???
 
Nenda popote zao la immigrants second generation au first generation huwa linafanya vizuri..., sababu wazazi wamepata shida wana-instill kujituma kwa watoto wao hivyo wenzao wakitembea wao wanakimbia.., trust me ubaguzi waliofanyiwa na kubaniwa opportunities watu weusi huko USA inachukua muda kuondoka..., na mentality ndio hio kwamba hata wakijitahidi hawatapata opportunities same as whites (ndio maana wengi walijikita kwenye michezo n.k.), sababu their role models ndio walifanya vyema / kufanikiwa huko....

Sio rangi inayomfanya mtu afanikiwe au adumae ni culture / utamaduni..., kwahio hata sisi huku mambo ya kuamini vitu vimepangwa na mungu, kushikana uchawi na kutegemea mwanasiasa ndio atutoe hapa kutupeleka pale inatudumaza..., kizazi kikizaliwa na watu kama kina Diamond wote watataka kuwa kama Diamond na kuingia kwenye usanii..., Kizazi kikizaliwa na kujiuliza na kujaribu kuboresha (age of enlightenment) utapata thinkers na watu wanaotaka kuboresha....

Kizazi kikizaliwa kwamba wale HAMAS ni wabaya au hawa Israel ni wabaya n.k. utapata kizazi cha chuki na kulipizana visasi...

Kizazi kikizaliwa kwa kuona kwamba wizi / ufisadi ndio ujanja na siasa ni biashara ya kupata kura ili kwenda kula utapata kizazi cha watu walaghai..., kizazi kikizaliwa kwamba tunahitaji wawekezaji na sisi hatuna akili kitu atafanya ajaye utapata watu tegemezi....

Yote hayo ni utamaduni (the way we do things around here) na kutoka kwenye mentality moja mpaka nyingine itachukua generations na in black americans case mabadiliko ya leo huenda matokea yake ni generation nne zijazo....
Mmmh mkuu hapa umeupiga mwingi watu kama wewe ndio wanahitajika katika kutoa mawazo ya kujenga nchi ila cha ajabu wajinga ndio wameshika mpini!
 
The modern United States is a European-molded society, occupying lands conquered from Native Americans and incorporating the descendants of millions of sub-Saharan black Africans brought to America as slaves. Modern Europe is not a society molded by sub-Saharan black Africans who brought millions of Native Americans as Why???
 
Africa is the continent where protohumans evolved for the longest time, where anatomically modern humans may also have arisen, and where native diseases like malaria and yellow fever killed European explorers. If a long head start counts for anything, why didn’t guns and steel arise first in Africa, permitting Africans and their germs to conquer Europe
Kwanza kabisa umeitendea haki Avatar,
Cha pili umepiga kwenye mshono so ni kwamba sisi bado tupo kwenye Evolution basi sawa hupingwi mkuu!
😁😁
 
Sisi waafrika na sokwe ni ndugu moja, wanasayansi wanaposema binadamu wa kale alikuwa sokwe wanamaanisha sisi wa africa, ushawahi kuona sokwe mweupe? Hiyo ni metaphor kwamba waafrika ni beasts not human beings
Hio ni sayansi ya wapi ? Chanzo cha Binadamu wote ni Homo Sapiens ambao chanzo chake ni arguably Olduvai Gorge (The Cradle of Humanity) sasa badala ya sisi ku-promote hilo na kupata watalii watu wanataka kuficha hio fact kwamba vyanzo vya mafuvu ya kale yalipatikana Tanzania na wanataka twende Hija sijui Italy, Macca na huko Israel..., ndio hapo utaona mentality na perception ya watu / mtu (Its all in the Minds).....
 
Ila kwa waliowahi kuishi US wanajua hawa wenzetu African American ni issue tupu, kwa kweli hata kuishi neighborhood zao ni kujitafutia matatizo tuu au kifo kabisa, mimi South side Chicago au East St louis sikai hata nyumba ya bure, angalieni documentary zao zipo all over youtube, wenzetu hawa bangi na umalaya ndio kazi Manzese ina afadhari, cha ajabu siku hizi hat watoto wa African immigrants waliozaliwa huku especially Liberians na wasomali nao ni gang violence tupu na kuuana kama kuku, ila sio weusi wote wako hivyo wako wastaarabu pia na wameendelea
 
Africa is the continent where protohumans evolved for the longest time, where anatomically modern humans may also have arisen, and where native diseases like malaria and yellow fever killed European explorers.
Indeed and the world is still evolving China had made great strides and invented a lot of inventions which western took credit for but bad decisions made them to become stranded same applies to Baghdad and the likes....
If a long head start counts for anything, why didn’t guns and steel arise first in Africa,
There are historical remnants which shows iron was also smelted in Africa.., If gold counted for anything Mr Mansa Kankan Musa was once known as one of the wealthiest individual (though myself don't count wealthy as the amount of gold one has, rather for me the welfare of the society trumps any amount of gold...

As for guns why should they have guns ? Can't a Bow and Arrow kill an antelope ?
permitting Africans and their germs to conquer Europe???
Why should they conquer Europe ? To steal cold and snow..., Conquering is Thievery and barbarism... and as I said before Necessity... Africa had no use of Guns and to me for one race to colonize or take others as slaves that's not civilization rather its the opposite...
 
Hakuna salamu hapa, kwanza Sio chakula au mtaji wa kufungulia biashara!

Ni hivi kama kichwa kinavyojieleza hapo,

Hivi sisi watu weusi tuna shida gani aisee?

Kila alipo mtu mweusi katika Dunia hii ni shida tupu aisee,

Mwanzo nikajua Africa ni bara la giza kumbe watu wenyewe ndio giza lenyewe na Sio bara kama bara.

Haya sasa angalia wale WaAmerica Weusi shida tupu yaani saikolojikale ni Wabongo kabisa.

Kila kitu lawama tu mara oh watu weupe wanatubagua, mara ooh kisa utumwa ndio maana tumeathirika na bla bla kibao ila now wapo huru ndio wanaoongoza kuuana wenyewe kwa wenyewe, mitaani ni magenge na uhalifu wa Madawa na umalaya wa kijinga plus kupenda maisha ghari pasi na pesa wala Elimu.

Huku shithole ndio usiseme Chama chakavu kipo madarakani miaka zaidi ya 60 na serikali yake ila hata maajabu hakuna.

Bado huko zimbabwe na Somalia kote yale yale tu hakuna nafuu.

Yaani serikali zinazoshindwa hata kujenga mitaro ya maji machafu daaa basi tu,

Lengo la mada ilikua ni kwamba Waafrika ni failed project hatuna mchango kwa Dunia zaidi ya kuinyonya na kuharibu tu nothing more hivyo napendekeza kama nature inaweza kufanya kazi ni itumeze na Dunia ijirestart upya we are useless kama unabisha subirini muone comments zenu zinavyosadifu yaliyomo kwenye thread!

Nawatakia makasiriko mema na povu la buku jero maswali ya kiwaki kama
'wewe kama wewe umefanya nini?

Na so maoni yako ni nini au solution?

Kwa ufupi sina cha kufanya na nawatakia harakati njema!
[emoji16][emoji16]
 
Nenda popote zao la immigrants second generation au first generation huwa linafanya vizuri..., sababu wazazi wamepata shida wana-instill kujituma kwa watoto wao hivyo wenzao wakitembea wao wanakimbia.., trust me ubaguzi waliofanyiwa na kubaniwa opportunities watu weusi huko USA inachukua muda kuondoka..., na mentality ndio hio kwamba hata wakijitahidi hawatapata opportunities same as whites (ndio maana wengi walijikita kwenye michezo n.k.), sababu their role models ndio walifanya vyema / kufanikiwa huko....

Sio rangi inayomfanya mtu afanikiwe au adumae ni culture / utamaduni..., kwahio hata sisi huku mambo ya kuamini vitu vimepangwa na mungu, kushikana uchawi na kutegemea mwanasiasa ndio atutoe hapa kutupeleka pale inatudumaza..., kizazi kikizaliwa na watu kama kina Diamond wote watataka kuwa kama Diamond na kuingia kwenye usanii..., Kizazi kikizaliwa na kujiuliza na kujaribu kuboresha (age of enlightenment) utapata thinkers na watu wanaotaka kuboresha....

Kizazi kikizaliwa kwamba wale HAMAS ni wabaya au hawa Israel ni wabaya n.k. utapata kizazi cha chuki na kulipizana visasi...

Kizazi kikizaliwa kwa kuona kwamba wizi / ufisadi ndio ujanja na siasa ni biashara ya kupata kura ili kwenda kula utapata kizazi cha watu walaghai..., kizazi kikizaliwa kwamba tunahitaji wawekezaji na sisi hatuna akili kitu atafanya ajaye utapata watu tegemezi....

Yote hayo ni utamaduni (the way we do things around here) na kutoka kwenye mentality moja mpaka nyingine itachukua generations na in black americans case mabadiliko ya leo huenda matokea yake ni generation nne zijazo....
Hii Tabia ya kuona mtu mweusi ndio kateswa Dunian huu ni uongo.


Nenda kafuatilie mateso ya wajapan na wachina. Ila Leo hii china na Japan ni mataifa makubwa.


Kafuatilie Korea na Japan ila Leo Korea ni Habari nyingine.


Hiyo ulaya wenyewe Kwa wenyewe wametesana vita na mapanga ila Leo wamenyooka.


Huko Serbia ndio usiseme.
 
Kwanza kabisa umeitendea haki Avatar,
Cha pili umepiga kwenye mshono so ni kwamba sisi bado tupo kwenye Evolution basi sawa hupingwi mkuu!
[emoji16][emoji16]
Ngozi nyeusi bado ina matatizo sehemu,angalia mfano Haiti ambayo wengi wa watu kule ni weusi kama sisi,haipo kwenye bara hili la Africa,labda tungesema hali ya geografia inachangia,ipo huko kwenye visiwa karibu na Marekani lakini kule ni machafuko mwanzo mwisho.
 
Indeed and the world is still evolving China had made great strides and invented a lot of inventions which western took credit for but bad decisions made them to become stranded same applies to Baghdad and the likes....

There are historical remnants which shows iron was also smelted in Africa.., If gold counted for anything Mr Mansa Kankan Musa was once known as one of the wealthiest individual (though myself don't count wealthy as the amount of gold one has, rather for me the welfare of the society trumps any amount of gold...

As for guns why should they have guns ? Can't a Bow and Arrow kill an antelope ?

Why should they conquer Europe ? To steal cold and snow..., Conquering is Thievery and barbarism... and as I said before Necessity... Africa had no use of Guns and to me for one race to colonize or take others as slaves that's not civilization rather its the opposite...
Mku umeongea kwa hisia sana na ni kweli ,but hujajibu swali,kama unavyosema ni sahihi,ilikuwaje black people wakakubali kuwa conquered na whites,mpka kukubali kubebwa kama watumwa mpaka Amerika?Swali hapo ni je kwanini kwenye historia hakuna hata nchi moja ya black ime conquer white? Kama binadamu wote ni sawa?

Na kwanini nchi zote duniani zenye watu weusi hakuna hata nchi moja imeendelea zaidi ya nchi za whites.

Kwanini hata kwenye neighborhood za black kule South Afrika na Marekani hali ni ile ile je changamoto ya mwafrika(black) ni nini? Kwanini mwafrika yupo nyuma kila sekta?
 
Hii Tabia ya kuona mtu mweusi ndio kateswa Dunian huu ni uongo.


Nenda kafuatilie mateso ya wajapan na wachina. Ila Leo hii china na Japan ni mataifa makubwa.


Kafuatilie Korea na Japan ila Leo Korea ni Habari nyingine.


Hiyo ulaya wenyewe Kwa wenyewe wametesana vita na mapanga ila Leo wamenyooka.


Huko Serbia ndio usiseme.
Je hao wameteswa na Mwafrika?(Ngozi nyeusi)
 
Ngozi nyeusi bado ina matatizo sehemu,angalia mfano Haiti ambayo wengi wa watu kule ni weusi kama sisi,haipo kwenye bara hili la Africa,labda tungesema hali ya geografia inachangia,ipo huko kwenye visiwa karibu na Marekani lakini kule ni machafuko mwanzo mwisho.
Daa Haiti inasikitisha sana walipata Uhuru long time tena kibabe sana ila ajabu lake black mindset za kigiza giza ndio zimewafunga!
 
Mku umeongea kwa hisia sana na ni kweli ,but hujajibu swali,kama unavyosema ni sahihi,ilikuwaje black people wakakubali kuwa conquered na whites,mpka kukubali kubebwa kama watumwa mpaka Amerika?Swali hapo ni je kwanini kwenye historia hakuna hata nchi moja ya black ime conquer white? Kama binadamu wote ni sawa?

Na kwanini nchi zote duniani zenye watu weusi hakuna hata nchi moja imeendelea zaidi ya nchi za whites.

Kwanini hata kwenye neighborhood za black kule South Afrika na Marekani hali ni ile ile je changamoto ya mwafrika(black) ni nini? Kwanini mwafrika yupo nyuma kila sekta?
"Black people are not complete human beings because THEY DON'T HAVE A GOOD BRAIN. They are still under the process of becoming the complete human beings."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.

[Emphasis is added]
 
"Black people are not complete human beings because THEY DON'T HAVE A GOOD BRAIN. They are still under the process of becoming the complete human beings."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.

[Emphasis is added]
evolution process!
Still Zinjanthropus!
😁😁
 
Back
Top Bottom