Ukweli Mchungu: Black race ni failed project!

Ukweli Mchungu: Black race ni failed project!

Kwa nini Korea ya Kaskazini ni masikini na ya Kusini ni tajiri ilhali ni jamii moja?
 
Hakuna salamu hapa, kwanza Sio chakula au mtaji wa kufungulia biashara!

Ni hivi kama kichwa kinavyojieleza hapo,

Hivi sisi watu weusi tuna shida gani aisee?

Kila alipo mtu mweusi katika Dunia hii ni shida tupu aisee,

Mwanzo nikajua Africa ni bara la giza kumbe watu wenyewe ndio giza lenyewe na Sio bara kama bara.

Haya sasa angalia wale WaAmerica Weusi shida tupu yaani saikolojikale ni Wabongo kabisa.

Kila kitu lawama tu mara oh watu weupe wanatubagua, mara ooh kisa utumwa ndio maana tumeathirika na bla bla kibao ila now wapo huru ndio wanaoongoza kuuana wenyewe kwa wenyewe, mitaani ni magenge na uhalifu wa Madawa na umalaya wa kijinga plus kupenda maisha ghari pasi na pesa wala Elimu.

Huku shithole ndio usiseme Chama chakavu kipo madarakani miaka zaidi ya 60 na serikali yake ila hata maajabu hakuna.

Bado huko zimbabwe na Somalia kote yale yale tu hakuna nafuu.

Yaani serikali zinazoshindwa hata kujenga mitaro ya maji machafu daaa basi tu,

Lengo la mada ilikua ni kwamba Waafrika ni failed project hatuna mchango kwa Dunia zaidi ya kuinyonya na kuharibu tu nothing more hivyo napendekeza kama nature inaweza kufanya kazi ni itumeze na Dunia ijirestart upya we are useless kama unabisha subirini muone comments zenu zinavyosadifu yaliyomo kwenye thread!

Nawatakia makasiriko mema na povu la buku jero maswali ya kiwaki kama
'wewe kama wewe umefanya nini?

Na so maoni yako ni nini au solution?

Kwa ufupi sina cha kufanya na nawatakia harakati njema!
Kwahiyo Mungu kafeli na project ya Blacks!?!!?😇😇
 
Hakuna salamu hapa, kwanza Sio chakula au mtaji wa kufungulia biashara!

Ni hivi kama kichwa kinavyojieleza hapo,

Hivi sisi watu weusi tuna shida gani aisee?

Kila alipo mtu mweusi katika Dunia hii ni shida tupu aisee,

Mwanzo nikajua Africa ni bara la giza kumbe watu wenyewe ndio giza lenyewe na Sio bara kama bara.

Haya sasa angalia wale WaAmerica Weusi shida tupu yaani saikolojikale ni Wabongo kabisa.

Kila kitu lawama tu mara oh watu weupe wanatubagua, mara ooh kisa utumwa ndio maana tumeathirika na bla bla kibao ila now wapo huru ndio wanaoongoza kuuana wenyewe kwa wenyewe, mitaani ni magenge na uhalifu wa Madawa na umalaya wa kijinga plus kupenda maisha ghari pasi na pesa wala Elimu.

Huku shithole ndio usiseme Chama chakavu kipo madarakani miaka zaidi ya 60 na serikali yake ila hata maajabu hakuna.

Bado huko zimbabwe na Somalia kote yale yale tu hakuna nafuu.

Yaani serikali zinazoshindwa hata kujenga mitaro ya maji machafu daaa basi tu,

Lengo la mada ilikua ni kwamba Waafrika ni failed project hatuna mchango kwa Dunia zaidi ya kuinyonya na kuharibu tu nothing more hivyo napendekeza kama nature inaweza kufanya kazi ni itumeze na Dunia ijirestart upya we are useless kama unabisha subirini muone comments zenu zinavyosadifu yaliyomo kwenye thread!

Nawatakia makasiriko mema na povu la buku jero maswali ya kiwaki kama
'wewe kama wewe umefanya nini?

Na so maoni yako ni nini au solution?

Kwa ufupi sina cha kufanya na nawatakia harakati njema!
Una
Watu weusi kinachofanya tunaishi hivi sasa ni kuchelewa kupata elimu. Elimu inamfanya mtu anastaarabika na kutumia zaidi akili kuliko nguvu.

Ukiangalia kwa Afrika, elimu imekuja miaka ya 1900(ni kama juzi tu) na bado sio wote walifanikiwa kupata, ni wachache sana walifanikiwa kupata. Hii ina maana kua wengi wetu tumelelewa na wazazi wasiokua na elimu ambao waliamini zaidi katika malezi ya kibabe kuliko kumjenga mtoto kua mtu bora. Matokeo yake wengi tunakua watu wazima tusio na busara na ustaarabu ambapo sasa ndo tunaishia kuishi kama wanyama.

Mi naona shida kubwa kwa watu weusi ni elimu. kwa mfano hata kiaangalia kwa makabila ambayo angalau yalipata elimu mapema zaidi kwa jinsi wanavyoishi(mfano Wachaga) utagundua elimu ina mchango mkubwa sana kwenye mfumo wa maisha ya binadamu.

Shida inayofatia hapa sasa ni ubora wa elimu. Hii inaweza kufanya watu wakaonekana wamepata elimu ila kutokana na ubovu wa elimu ikawa ni kama hawana elimu, na mbaya zaidi unawakuta wameshika nyadhifa
Una makasiriko makubwa sana. Yaani hata salamu umeona ni mzigo? Sogea karibu na Daktari wa Akili upate ushauri.
 
MTU yeyote anaye decline responsibility huwa anakuwa anapata sauti mbili tu.

Sauti ya kwake
Sauti ya vishawishi.

Hivyo huwa hapati sauti ya tatu yenye mantiki(maana)

Hapa Africa ndo unakuta MTU anamlalamikia MTU kuwa kamzuia asitoboe

Anamroga
Mara shetani kamzuia n.k

Hivyo ukiwa hauna sauti ya maana Akili Ina-block ule mtiririko wa maono na mafunuo revelation
Hakika, this bars are beyond measures👏
 
Hii Tabia ya kuona mtu mweusi ndio kateswa Dunian huu ni uongo.
Uongo kwamba hakuteswa ? Hizo Sugar Cane plantations ulikuwa unalima wewe ? Hao black Americans wote au Liberia waliorudishwa kutoka utumwani ni ndoto ? Nimemwambia mleta uzi huwezi kuweka mentality ya black American ukashangaa wanachofanya wakati ni uzao wa watumwa na watu waliobaguliwa..., Watu waliokuwa wanakuwa-lynched n.k. Na mada kubwa zaidi ni culture... wewe huwezi tangia unakua wazazi wako wanakwambia mtu mweupe ni mbaya na kukumbushia walichofanya alafu usiwe na negativity na huyo mtu....

Huwezi kila ukipinda kona police wanaku-harass sababu ya ngozi yako na unajua watu wanakuona inferior alafu uka-invest kwenye white collar jobs..., kuna kipindi ukiwa msongo au kusoma sana hata wenzako wanakuona unajifanya mzungu kwanini usitafute quick money na kuuza drugs.... Na iliendelea hivyo kwa muda mrefu role models kama Marvin Gaye kwenye miziki au Jack Johnson na watu kama Mike Jordan kuwafanya vijana waone huenda kwenye athletics they can make it
Nenda kafuatilie mateso ya wajapan na wachina. Ila Leo hii china na Japan ni mataifa makubwa.
Kusoma kwa mafungu na sio content yote...., nimeanza mwanzo kabisa kukwambia necessity is the mother of all invention..., Japan walikuwa hawana natural resources hivyo kutaka na kujaribu kuwa-colonize China.., Wachina katika mataifa duniani ambayo yalipiga hatua kubwa ni mojawapo... invention nyingi zilianzia China..., Europe kwa kuona hivyo na kujaribu kuwa-subjugate na ili biashara yao ya Bangi iendelee waliwafanyia mambo ya ajabu sana na kufanya majority wawe addicted....; Kipindi hicho mataifa hayo yanafanya yao na sisi huku tulikuwa na empires zetu na tunaishi civilized life...., hakuna Continent ambapo slavery ilikuwa na effect kama African content (among all the continents) Na huenda sisi hatukuhitaji kwenda kutafuta huko colonies sababu tulikuwa hatua shida...., Ingawa Egypt na shida zao / Jangwani huenda ndio maana civilization ilikuwepo huko wakati sehemu nyingine walikuwa wanaishi barbaric life.....
Kafuatilie Korea na Japan ila Leo Korea ni Habari nyingine.

Hiyo ulaya wenyewe Kwa wenyewe wametesana vita na mapanga ila Leo wamenyooka.

Huko Serbia ndio usiseme.
Na nimesema empires rise and fall kuna kipindi Greece, Rome, Baghdad n.k. walikuwa mbali..., kuna kipindi Great Britain ilikuwa Great kweli..., dunia ya leo isiyo na mabavu ishakuwa kijiji the rules of the game are different..., ingawa bado ingredient kubwa ni utamaduni...

Na ni mentality sababu the rules of the game are not fair...., leo unaambiwa mfanye biashara na European Union ila kila unakachowapelekea watakwambia low standards na cha kwao watakuletea (they are the ones who makes the rules)... na wewe badala ya kuvaa katambuga unatafuta dollar au pounds ili ununue Clarks Shoes au Nike / Timberland...., (Ni kwamba marketing imeshakufanya uamini kwamba they are superior hence utaendelea kuona their grass is greener)
 
Mku umeongea kwa hisia sana na ni kweli ,but hujajibu swali,kama unavyosema ni sahihi,ilikuwaje black people wakakubali kuwa conquered na whites,mpka kukubali kubebwa kama watumwa mpaka Amerika?Swali hapo ni je kwanini kwenye historia hakuna hata nchi moja ya black ime conquer white? Kama binadamu wote ni sawa?
Una-conquer ili kutafuta nini ? Necessity narudia tena is the mother of all invention.., sasa silaha zetu sisi zilikuwa ni za kuulia wanyama na sio kutengeneza merikebu kwenda kuvamia wengine...; Ingawa wa-Morroco - Moors wali-conquer spain...; sasa niambia hapo nani alikuwa civilized sisi wa kuishi within our boundaries na empires za hapa na pale au wale waliotoka huko (majambazi kuja kutafuta chakula huku)

Ni sawasawa wewe useme kwamba kwanini hawa ngedere wanakuja kuiba mahindi yangu na mimi hakuna hata siku moja nishaenda kuwaibia wao ? Swali takuuliza uibe nini ?

Na haya mambo ya kuona Wa-Africa ni inferior ndio Jack Johnson huko USA alivyowashangaza jamaa na kuwa Mshindi wa Ndondi sababu walidhani huyu jamaa ni inferior kwa kila kitu.... na watoto wengi wa ki-africa wakaona huenda huko ndio pa kwenda na kuanzia hapo wacheza ndondi mashuhuri wamekuwa of African Descent....
Na kwanini nchi zote duniani zenye watu weusi hakuna hata nchi moja imeendelea zaidi ya nchi za whites.
Maendeleo ni nini na kwa metric zipi ? Kama unaongelea maendeleo ambayo tunangojea tuletewe na viongozi wetu wenye fikra za utegemezi basi hatuwezi kuendelea sababu ni kama sisi ni wachezaji na refa ni mwingine na ukiwa na mawazo tofauti (kama kiongozi) hususan wakati ule yatakukuta yaliowakuta kina Sankara, Lumumba na Kwame to name just a few....

Nchi kama Belgium ilijengeka sababu ya kuiibia Congo..., Liverpool imekuwa vile kutokana na soko la utumwa..., (kwahio huenda na sisi tungeanza kuiba leo miaka 100 ijayo tutakula matunda ya wizi wetu wa leo) lakini why do that ?

USA kuna corporation iliamua kusaidia kupindua Rais ili mashamba ya Ndizi ya hio corporation yaendelee kufanya kazi baada ya Rais huyo kutaka kubinafisha mashamba...
Kwanini hata kwenye neighborhood za black kule South Afrika na Marekani hali ni ile ile je changamoto ya mwafrika(black) ni nini? Kwanini mwafrika yupo nyuma kila sekta?
Culture zao / kizazi cha watoto wa watu ambao wamekulia kwenye apartheid na wengine wamekulia kwenye lynching na kubaguliwa unategemea nini ? Community zao huko walipokuwa walichukuliwa na kwenda kutupwa kwingine hawana identity zaidi ya kujijengea nyingine..., full of hatred and mistrust (and with good reasons)...

Tukija huku kwetu sisi tuliobaki kama tumekuwa indoctrinated kwa kuona kila tunachofanya hakifai na cha wale ndio kinafaa na kipo juu zaidi utaona kwamba we will always play a second fiddle...

Lakini nimekwambia mbegu unazopanda leo huenda matokeo yake ni generation kadhaa zinazokuja ndio maana kwangu mimi naona kama tusipoharibu na tukaendelea na Utaifa wetu / Undungu hata nchi kama USA haituwezi kutokana na msingi mzuri tulionao huko watu hawaaminiani na its a Nation Divided... Western hivi karibuni ndio walikuwa juu ila kwa productivity ya jumla jumla sasa hivi Eastern wanakwenda vizuri.....

Kwahio its nothing to do with race bali culture ( na kama tutaendelea kushikana uchawi na kutoana majini na imani za kufikirika kwenye dunia ya sayansi na teknolojia tutaendele kuwa watazamaji)
 
Hakuna salamu hapa, kwanza Sio chakula au mtaji wa kufungulia biashara!

Ni hivi kama kichwa kinavyojieleza hapo,

Hivi sisi watu weusi tuna shida gani aisee?

Kila alipo mtu mweusi katika Dunia hii ni shida tupu aisee,

Mwanzo nikajua Africa ni bara la giza kumbe watu wenyewe ndio giza lenyewe na Sio bara kama bara.

Haya sasa angalia wale WaAmerica Weusi shida tupu yaani saikolojikale ni Wabongo kabisa.

Kila kitu lawama tu mara oh watu weupe wanatubagua, mara ooh kisa utumwa ndio maana tumeathirika na bla bla kibao ila now wapo huru ndio wanaoongoza kuuana wenyewe kwa wenyewe, mitaani ni magenge na uhalifu wa Madawa na umalaya wa kijinga plus kupenda maisha ghari pasi na pesa wala Elimu.

Huku shithole ndio usiseme Chama chakavu kipo madarakani miaka zaidi ya 60 na serikali yake ila hata maajabu hakuna.

Bado huko zimbabwe na Somalia kote yale yale tu hakuna nafuu.

Yaani serikali zinazoshindwa hata kujenga mitaro ya maji machafu daaa basi tu,

Lengo la mada ilikua ni kwamba Waafrika ni failed project hatuna mchango kwa Dunia zaidi ya kuinyonya na kuharibu tu nothing more hivyo napendekeza kama nature inaweza kufanya kazi ni itumeze na Dunia ijirestart upya we are useless kama unabisha subirini muone comments zenu zinavyosadifu yaliyomo kwenye thread!

Nawatakia makasiriko mema na povu la buku jero maswali ya kiwaki kama
'wewe kama wewe umefanya nini?

Na so maoni yako ni nini au solution?

Kwa ufupi sina cha kufanya na nawatakia harakati njema!

View: https://www.facebook.com/reel/197723196735663?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
 
"Black people are not complete human beings because THEY DON'T HAVE A GOOD BRAIN. They are still under the process of becoming the complete human beings."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.

[Emphasis is added]
hapa umemaliza kila kitu haya mkalale
 
Back
Top Bottom