Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Huu ndiyo ukweli Mchungu
1. Watanzania wengi wanamjua Haji Manara na hawaijui TFF wala viongozi wake.
2. Haji Manara amechangia uhamasishaji wa watu kupenda soka, nakumbuka kipindi kile akiwa Simba na Jerry Muro akiwa Yanga ilikuwa burudani murua sana.
3. Japo Haji amefungiwa lakini namsihi aendelee kujihusisha na soka kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii na afungue channel ya michezo ya YouTube.
4. Taasisi kama TFF ingekuwa na ushawishi tungeona Ina followers wengi online lakini followers wa kurasa zote za TFF ukizijumlisha hazifikii hata robo ya followers wa Haji kwenye mtandao wa Instagram sasa hapo Kuna ukubwa gani?
5. Siku ya Mwananchi MC wa tukio ni Haji Manara na hapangiwi chakusema na wapuuzi wapuuzi. Siku hiyo ndo utaona ukubwa wa Haji ukilinganisha na tiefuefu.
6. Ndugu yangu Majaliwa wewe ndiye uliyemwingiza Karia madarakani hapo TFF, si unakumbuka simu ile ya sikuile? Unamkumbuka aliyekupa hayo maelekezo? Sasa umpigie simu Karia leo mwambie mambo yamebadilika.
7. Haji Manara usifuate uamuzi huu wa wahuni, endelea kutupa raha bila kutetereka, nyuma yako kuna ulinzi mkubwa wa wananchi.
NB: Baada ya uamuzi huu, Followers zaidi ya 40,000 wameongezeka kwa Haji Manara, hapo Kuna watu wanatanani kuwa unfolisha wote😂😂😂
1. Watanzania wengi wanamjua Haji Manara na hawaijui TFF wala viongozi wake.
2. Haji Manara amechangia uhamasishaji wa watu kupenda soka, nakumbuka kipindi kile akiwa Simba na Jerry Muro akiwa Yanga ilikuwa burudani murua sana.
3. Japo Haji amefungiwa lakini namsihi aendelee kujihusisha na soka kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii na afungue channel ya michezo ya YouTube.
4. Taasisi kama TFF ingekuwa na ushawishi tungeona Ina followers wengi online lakini followers wa kurasa zote za TFF ukizijumlisha hazifikii hata robo ya followers wa Haji kwenye mtandao wa Instagram sasa hapo Kuna ukubwa gani?
5. Siku ya Mwananchi MC wa tukio ni Haji Manara na hapangiwi chakusema na wapuuzi wapuuzi. Siku hiyo ndo utaona ukubwa wa Haji ukilinganisha na tiefuefu.
6. Ndugu yangu Majaliwa wewe ndiye uliyemwingiza Karia madarakani hapo TFF, si unakumbuka simu ile ya sikuile? Unamkumbuka aliyekupa hayo maelekezo? Sasa umpigie simu Karia leo mwambie mambo yamebadilika.
7. Haji Manara usifuate uamuzi huu wa wahuni, endelea kutupa raha bila kutetereka, nyuma yako kuna ulinzi mkubwa wa wananchi.
NB: Baada ya uamuzi huu, Followers zaidi ya 40,000 wameongezeka kwa Haji Manara, hapo Kuna watu wanatanani kuwa unfolisha wote😂😂😂