Ukweli Mchungu: Haji Manara ni mkubwa kuliko TFF

Ukweli Mchungu: Haji Manara ni mkubwa kuliko TFF

1658489007951.png
 
Haji Manara ni mkubwa kuliko Yanga ndiyo maana licha ya matusi yote aliyowatukana bado mnamnyenyekea hata kwenye mambo yake ya kipumbavu bado mnamuunga mkono. Kweli nyie ni wapuuzi
FB_IMG_1655579378566.jpg
 
Huu ndiyo ukweli Mchungu
1. Watanzania wengi wanamjua Haji Manara na hawaijui TFF wala viongozi wake.

2. Haji Manara amechangia uhamasishaji wa watu kupenda soka, nakumbuka kipindi kile akiwa Simba na Jerry Muro akiwa Yanga ilikuwa burudani murua sana.

3. Japo Haji amefungiwa lakini namsihi aendelee kujihusisha na soka kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii na afungue channel ya michezo ya YouTube.

4. Taasisi kama TFF ingekuwa na ushawishi tungeona Ina followers wengi online lakini followers wa kurasa zote za TFF ukizijumlisha hazifikii hata robo ya followers wa Haji kwenye mtandao wa Instagram sasa hapo Kuna ukubwa gani?

5. Siku ya Mwananchi MC wa tukio ni Haji Manara na hapangiwi chakusema na wapuuzi wapuuzi. Siku hiyo ndo utaona ukubwa wa Haji ukilinganisha na tiefuefu.

6. Ndugu yangu Majaliwa wewe ndiye uliyemwingiza Karia madarakani hapo TFF, si unakumbuka simu ile ya sikuile? Unamkumbuka aliyekupa hayo maelekezo? Sasa umpigie simu Karia leo mwambie mambo yamebadilika.

7. Haji Manara usifuate uamuzi huu wa wahuni, endelea kutupa raha bila kutetereka, nyuma yako kuna ulinzi mkubwa wa wananchi.

NB: Baada ya uamuzi huu, Followers zaidi ya 40,000 wameongezeka kwa Haji Manara, hapo Kuna watu wanatanani kuwa unfolisha wote😂😂😂
Hilo ni kweli. Lakini Je umaarufu wake ni kinga dhidi ya uvunjaji sheria!? Sheria ya kubagua hadhi ya mtu haipo Duniani. Kama anaamini hakustahili hiyo adhabu basi akate rufaa.
 
Bro Bei Elekezi huyu Haji Manara haijapita hata miaka miwili (2yrs) toka alipishwe ile faini ya 5m mwaka 2020 akiwa Simba SC Tanzania.

Yeye na Hassan Bumbuli kama wakumbuka walitakiwa wasiwe watovu wa nidhamu in 2yrs.

Je, miaka hyo miwili imepita? Hongera @Tanfootball kwa kusimamia nidhamu
Kosa gani kafanya?? Kukibishana na karia ndo apigwe nyundo mbili na mil 20?? Huoni kuwa ni adhabu ya kukomoa??
 
Wewe na manara wote ni punguani wahedi mtu timamu hawezi kesha mitandaoni kama manara kupost utumbo badala ya kupost content za maana kwa siku anapost mara 30 halafu post zote utumbo yaani 30×30=900 hakuna mtu mwenye akili anafanya hvyo sema kwa vile watanzania tunapenda ujinga kuliko nchi yoyote africa ndo maana tunamuona manara wa maana sana.
Kwa hiyo unamfuatilia?? Ndege wafananao
 
Watz tunapenda udaku sana ndo maana ana follow wengi.

Unataka kusema raisi samia, JK kuna mtu hamjui lakini kazidiwa follower na wengi sana.
 
Huu ndiyo ukweli Mchungu
1. Watanzania wengi wanamjua Haji Manara na hawaijui TFF wala viongozi wake.

2. Haji Manara amechangia uhamasishaji wa watu kupenda soka, nakumbuka kipindi kile akiwa Simba na Jerry Muro akiwa Yanga ilikuwa burudani murua sana.

3. Japo Haji amefungiwa lakini namsihi aendelee kujihusisha na soka kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii na afungue channel ya michezo ya YouTube.

4. Taasisi kama TFF ingekuwa na ushawishi tungeona Ina followers wengi online lakini followers wa kurasa zote za TFF ukizijumlisha hazifikii hata robo ya followers wa Haji kwenye mtandao wa Instagram sasa hapo Kuna ukubwa gani?

5. Siku ya Mwananchi MC wa tukio ni Haji Manara na hapangiwi chakusema na wapuuzi wapuuzi. Siku hiyo ndo utaona ukubwa wa Haji ukilinganisha na tiefuefu.

6. Ndugu yangu Majaliwa wewe ndiye uliyemwingiza Karia madarakani hapo TFF, si unakumbuka simu ile ya sikuile? Unamkumbuka aliyekupa hayo maelekezo? Sasa umpigie simu Karia leo mwambie mambo yamebadilika.

7. Haji Manara usifuate uamuzi huu wa wahuni, endelea kutupa raha bila kutetereka, nyuma yako kuna ulinzi mkubwa wa wananchi.

NB: Baada ya uamuzi huu, Followers zaidi ya 40,000 wameongezeka kwa Haji Manara, hapo Kuna watu wanatanani kuwa unfolisha wote😂😂😂
Nakazia 🤣🤣🤣
 
Nashauri Sisiemu iwe makini sana hapa; usikute ukawa mkakati wa Hajj Manara kutafuta kuigawa makundi kama yale ya 2015.
 
Huu ndiyo ukweli Mchungu
1. Watanzania wengi wanamjua Haji Manara na hawaijui TFF wala viongozi wake.
Aisee, kumbe kipimo cha ukubwa ni kujulikana na watu wengi? Hapa mtaani kuna kichaa mmoja, sidhani kama kuna kaya yoyote haina walau mtu mmoja anayemjua. Lakini Mkuu wa wilaya hata mimi simjui! Labda kwa mtazamo wako huu, huyo kichaa ni mkubwa kuliko DC !

NB: post ya mleta uzi inazidi kudhihirisha kuwa ni wawili tu, JK na Baba yake Haji tu
 
Aisee, kumbe kipimo cha ukubwa ni kujulikana na watu wengi? Hapa mtaani kuna kichaa mmoja, sidhani kama kuna kaya yoyote haina walau mtu mmoja anayemjua. Lakini Mkuu wa wilaya hata mimi simjui! Labda kwa mtazamo wako huu, huyo kichaa ni mkubwa kuliko DC !
Wenye akili husoma andiko lote
 
Back
Top Bottom