mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ni kweli. Lakini Je umaarufu wake ni kinga dhidi ya uvunjaji sheria!? Sheria ya kubagua hadhi ya mtu haipo Duniani. Kama anaamini hakustahili hiyo adhabu basi akate rufaa.Huu ndiyo ukweli Mchungu
1. Watanzania wengi wanamjua Haji Manara na hawaijui TFF wala viongozi wake.
2. Haji Manara amechangia uhamasishaji wa watu kupenda soka, nakumbuka kipindi kile akiwa Simba na Jerry Muro akiwa Yanga ilikuwa burudani murua sana.
3. Japo Haji amefungiwa lakini namsihi aendelee kujihusisha na soka kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii na afungue channel ya michezo ya YouTube.
4. Taasisi kama TFF ingekuwa na ushawishi tungeona Ina followers wengi online lakini followers wa kurasa zote za TFF ukizijumlisha hazifikii hata robo ya followers wa Haji kwenye mtandao wa Instagram sasa hapo Kuna ukubwa gani?
5. Siku ya Mwananchi MC wa tukio ni Haji Manara na hapangiwi chakusema na wapuuzi wapuuzi. Siku hiyo ndo utaona ukubwa wa Haji ukilinganisha na tiefuefu.
6. Ndugu yangu Majaliwa wewe ndiye uliyemwingiza Karia madarakani hapo TFF, si unakumbuka simu ile ya sikuile? Unamkumbuka aliyekupa hayo maelekezo? Sasa umpigie simu Karia leo mwambie mambo yamebadilika.
7. Haji Manara usifuate uamuzi huu wa wahuni, endelea kutupa raha bila kutetereka, nyuma yako kuna ulinzi mkubwa wa wananchi.
NB: Baada ya uamuzi huu, Followers zaidi ya 40,000 wameongezeka kwa Haji Manara, hapo Kuna watu wanatanani kuwa unfolisha wote😂😂😂
Kosa gani kafanya?? Kukibishana na karia ndo apigwe nyundo mbili na mil 20?? Huoni kuwa ni adhabu ya kukomoa??Bro Bei Elekezi huyu Haji Manara haijapita hata miaka miwili (2yrs) toka alipishwe ile faini ya 5m mwaka 2020 akiwa Simba SC Tanzania.
Yeye na Hassan Bumbuli kama wakumbuka walitakiwa wasiwe watovu wa nidhamu in 2yrs.
Je, miaka hyo miwili imepita? Hongera @Tanfootball kwa kusimamia nidhamu
Sawa, lakini sio hiyo aliyopewa.Anastahili adhabu hata iweje
Kwa hiyo unamfuatilia?? Ndege wafananaoWewe na manara wote ni punguani wahedi mtu timamu hawezi kesha mitandaoni kama manara kupost utumbo badala ya kupost content za maana kwa siku anapost mara 30 halafu post zote utumbo yaani 30×30=900 hakuna mtu mwenye akili anafanya hvyo sema kwa vile watanzania tunapenda ujinga kuliko nchi yoyote africa ndo maana tunamuona manara wa maana sana.
Mfanye awe msemaji wako, ila TFF imekwisha funga ukurasaKosa gani kafanya?? Kukibishana na karia ndo apigwe nyundo mbili na mil 20?? Huoni kuwa ni adhabu ya kukomoa??
Hakuna kufungiwa mtu, Haji ni Msemaji wa Yanga.Mfanye awe msemaji wako, ila TFF imekwisha funga ukurasa
Nakazia 🤣🤣🤣Huu ndiyo ukweli Mchungu
1. Watanzania wengi wanamjua Haji Manara na hawaijui TFF wala viongozi wake.
2. Haji Manara amechangia uhamasishaji wa watu kupenda soka, nakumbuka kipindi kile akiwa Simba na Jerry Muro akiwa Yanga ilikuwa burudani murua sana.
3. Japo Haji amefungiwa lakini namsihi aendelee kujihusisha na soka kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii na afungue channel ya michezo ya YouTube.
4. Taasisi kama TFF ingekuwa na ushawishi tungeona Ina followers wengi online lakini followers wa kurasa zote za TFF ukizijumlisha hazifikii hata robo ya followers wa Haji kwenye mtandao wa Instagram sasa hapo Kuna ukubwa gani?
5. Siku ya Mwananchi MC wa tukio ni Haji Manara na hapangiwi chakusema na wapuuzi wapuuzi. Siku hiyo ndo utaona ukubwa wa Haji ukilinganisha na tiefuefu.
6. Ndugu yangu Majaliwa wewe ndiye uliyemwingiza Karia madarakani hapo TFF, si unakumbuka simu ile ya sikuile? Unamkumbuka aliyekupa hayo maelekezo? Sasa umpigie simu Karia leo mwambie mambo yamebadilika.
7. Haji Manara usifuate uamuzi huu wa wahuni, endelea kutupa raha bila kutetereka, nyuma yako kuna ulinzi mkubwa wa wananchi.
NB: Baada ya uamuzi huu, Followers zaidi ya 40,000 wameongezeka kwa Haji Manara, hapo Kuna watu wanatanani kuwa unfolisha wote😂😂😂
Aisee, kumbe kipimo cha ukubwa ni kujulikana na watu wengi? Hapa mtaani kuna kichaa mmoja, sidhani kama kuna kaya yoyote haina walau mtu mmoja anayemjua. Lakini Mkuu wa wilaya hata mimi simjui! Labda kwa mtazamo wako huu, huyo kichaa ni mkubwa kuliko DC !Huu ndiyo ukweli Mchungu
1. Watanzania wengi wanamjua Haji Manara na hawaijui TFF wala viongozi wake.
Wenye akili husoma andiko loteAisee, kumbe kipimo cha ukubwa ni kujulikana na watu wengi? Hapa mtaani kuna kichaa mmoja, sidhani kama kuna kaya yoyote haina walau mtu mmoja anayemjua. Lakini Mkuu wa wilaya hata mimi simjui! Labda kwa mtazamo wako huu, huyo kichaa ni mkubwa kuliko DC !
Wenye maarifa haweweki kipande cha andiko kinachopingana na maudhui yoteWenye akili husoma andiko lote
Wenye ufahamu wanaelewa muktadha wa kila kipengeleWenye maarifa haweweki kipande cha andiko kinachopingana na maudhui yote