mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Atakubalika sana na kupewa UENYEKITI wa UWT TaifaYawezekana hiki Ni kitu ambacho baadhi ya wana ccm pamoja na Mdee mwenyewe wasingependa kukisikia, lakini ukweli Ni kwamba Hata Kama Halima Mdee atahamia CCM, hawezi kuaminika ndani ya chama Cha mapinduzi. Hii Ni kutokana na namna wengi wanavyomfahamu Mdee, hivyo wengi wanaamini cheo itakuwa ndio sababu ya kuhamia CCM na siyo mapenzi ya chama.
Kwa ufupi mwisho wa umaarufu wa Halima Mdee kwenye Siasa za Tanzania unakaribia kufika tamati.
Tusubirie tuone mwisho wa picha hii.
Kwani akihamia ccm,kiti cha ubunge viti maalumu kwa tiketi ya chadema atakipata?Yawezekana hiki Ni kitu ambacho baadhi ya wana ccm pamoja na Mdee mwenyewe wasingependa kukisikia, lakini ukweli Ni kwamba Hata Kama Halima Mdee atahamia CCM, hawezi kuaminika ndani ya chama Cha mapinduzi. Hii Ni kutokana na namna wengi wanavyomfahamu Mdee, hivyo wengi wanaamini cheo itakuwa ndio sababu ya kuhamia CCM na siyo mapenzi ya chama.
Kwa ufupi mwisho wa umaarufu wa Halima Mdee kwenye Siasa za Tanzania unakaribia kufika tamati.
Tusubirie tuone mwisho wa picha hii.
Sasa kama chadema inahazina nyingi, kwa nini bado munawaota hawa wamama wasio na chama chochote??Chadema ina hazina kubwa Sana ya wanawake kwa hiyo usitegemee Halima ameacha pengo lolote. Waliondoka akina Dr Slaa, Zitto, Kitila, N.k lakini Chadema bado imekuwa tishio
Na bado ni tishioChadema ina hazina kubwa Sana ya wanawake kwa hiyo usitegemee Halima ameacha pengo lolote. Waliondoka akina Dr Slaa, Zitto, Kitila, N.k lakini Chadema bado imekuwa tishio
Hao imebaki historia mkuu, Wala Hakuna Chadema anayewaotaSasa kama chadema inahazina nyingi, kwa nini bado munawaota hawa wamama wasio na chama chochote??
Ameshajimaliza.Yawezekana hiki Ni kitu ambacho baadhi ya wana CCM pamoja na Mdee mwenyewe wasingependa kukisikia, lakini ukweli ni kwamba Hata Kama Halima Mdee atahamia CCM, hawezi kuaminika ndani ya Chama Cha Mapinduzi.
Hii Ni kutokana na namna wengi wanavyomfahamu Mdee, hivyo wengi wanaamini cheo itakuwa ndio sababu ya kuhamia CCM na siyo mapenzi ya chama.
Kwa ufupi mwisho wa umaarufu wa Halima Mdee kwenye Siasa za Tanzania unakaribia kufika tamati.
Tusubirie tuone mwisho wa picha hii.
Mwanasiasa lengo lake kuu ni kushinda uchaguzi ili akatekeleze sera za itikadi ya chama chake wakati mwanaharakati lengo lake kuu ni kupigania kubadili sera za kitaifa kwa ujumla na mara nyingi anatakiwa asiwe na itikadi ya chama chochote, lkn kwa hali ya sasa ni vigumu sana kuwatenganisha.Tofauti yake ni nini?
Hiyo option ya kwanza ndo nzuri zaidi.Kwa maelezo ya Mbowe, Halima na wenzie bado wana options mbili za kurudi kundini
1) Waandike barua kuomba radhi
2) Wakate rufaa ili kesi yao iende kwenye Mkutano Mkuu wa Chama
Kwa kuwa siasa za Bongo hazieleweki na kwa kuwa hakuna adui wala rafiki wa kudumu kwenye siasa, lolote linaweza kutokea.
Sasa tupe mfano wa mwanasiasa wa Upinzani aliyehamia CCM na akakubalika hadi kugombea Uraisi.Kwa akili ya kawaida unaona ni ngumu kukubalika lakini kisiasa( ushabiki) inawezekana.
Mfano tumeshuhudia wanasiasa kadhaa baada ya kushindwa kufikia malengo yao katika chama tawala, wakahamia upinzani wakapokelewa.
Tena kwa kupitishwa kugombea uraisi kupitia vyama hivyo.
Sasa hayo kama sio maajabu ni nini?
Ndio maana sishabikii siasa mimi.
MZEe wa Lumumba tumbo la kuhara limekushikaSI MUMEWATUKANA KUWA NI COVID 19, KWA NINI BADO MUNAWEWESEKA NDOTONI HUKO UFIPANI?? MUWAACHE WAMAMA WA WATU. MUMESHA WATIMUA KWENYE CHAMA CHENU, YANINI KUWASHINDISHA MIDOMONI MWENUU???
Haaaahaaaaa mnatapatapa nyieeee. Watu mumewatimua kwa mbwembwe na jazba, sasakwa nini mnawashindisha midomoni mwenuuuu??
Ndivyo unavyojidanganya.Halima ameweka kuiimarisha Bawacha kuwa jumuia bora ya kinamama, ukizingatia pesa za Chadema si kama za CCM. Iwapo atakabidhiwa UWT chama chenye matawi mpaka vitongojini Tanzania nzima. Ataleta mabadiliko makubwa.
Wasichana wengi vyuoni watajiunga na CCM kupitia UWT. Halima ni mbunifu, mtekelezaji na anajitambua.
Harakati za pimbi?Halima James Mdee siyo mwanasiasa ni mwanaharakati!
Kwaniini hamchoki kuwaota kama ni historia? Simumewatimua kwa matusi makubwa?? Hatabila ya kuwasikiliza? Waaachenikuwasengenya wamama wawatuuu.Hao imebaki historia mkuu, Wala Hakuna Chadema anayewaota
We Mzee na Mzee mwenzako Mgaya ni wachonganishi sana.Halima James Mdee siyo mwanasiasa ni mwanaharakati!
Wakina shoza na waitara mmewapa mpaka uwaziriSasa tupe mfano wa mwanasiasa wa Upinzani aliyehamia CCM na akakubalika hadi kugombea Uraisi.
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app