Ukweli Mchungu: Halima Mdee hawezi kukubalika kwa wanachama wa CCM ndani ya CCM

Ukweli Mchungu: Halima Mdee hawezi kukubalika kwa wanachama wa CCM ndani ya CCM

Yawezekana hiki Ni kitu ambacho baadhi ya wana ccm pamoja na Mdee mwenyewe wasingependa kukisikia, lakini ukweli Ni kwamba Hata Kama Halima Mdee atahamia CCM, hawezi kuaminika ndani ya chama Cha mapinduzi. Hii Ni kutokana na namna wengi wanavyomfahamu Mdee, hivyo wengi wanaamini cheo itakuwa ndio sababu ya kuhamia CCM na siyo mapenzi ya chama.

Kwa ufupi mwisho wa umaarufu wa Halima Mdee kwenye Siasa za Tanzania unakaribia kufika tamati.
Tusubirie tuone mwisho wa picha hii.
Atakubalika sana na kupewa UENYEKITI wa UWT Taifa
 
Yawezekana hiki Ni kitu ambacho baadhi ya wana ccm pamoja na Mdee mwenyewe wasingependa kukisikia, lakini ukweli Ni kwamba Hata Kama Halima Mdee atahamia CCM, hawezi kuaminika ndani ya chama Cha mapinduzi. Hii Ni kutokana na namna wengi wanavyomfahamu Mdee, hivyo wengi wanaamini cheo itakuwa ndio sababu ya kuhamia CCM na siyo mapenzi ya chama.

Kwa ufupi mwisho wa umaarufu wa Halima Mdee kwenye Siasa za Tanzania unakaribia kufika tamati.
Tusubirie tuone mwisho wa picha hii.
Kwani akihamia ccm,kiti cha ubunge viti maalumu kwa tiketi ya chadema atakipata?
 
Chadema ina hazina kubwa Sana ya wanawake kwa hiyo usitegemee Halima ameacha pengo lolote. Waliondoka akina Dr Slaa, Zitto, Kitila, N.k lakini Chadema bado imekuwa tishio
Sasa kama chadema inahazina nyingi, kwa nini bado munawaota hawa wamama wasio na chama chochote??
 
Wampokee tu, kwasasa she is no longer the same.
 
Yawezekana hiki Ni kitu ambacho baadhi ya wana CCM pamoja na Mdee mwenyewe wasingependa kukisikia, lakini ukweli ni kwamba Hata Kama Halima Mdee atahamia CCM, hawezi kuaminika ndani ya Chama Cha Mapinduzi.

Hii Ni kutokana na namna wengi wanavyomfahamu Mdee, hivyo wengi wanaamini cheo itakuwa ndio sababu ya kuhamia CCM na siyo mapenzi ya chama.

Kwa ufupi mwisho wa umaarufu wa Halima Mdee kwenye Siasa za Tanzania unakaribia kufika tamati.

Tusubirie tuone mwisho wa picha hii.
Ameshajimaliza.
 
Tofauti yake ni nini?
Mwanasiasa lengo lake kuu ni kushinda uchaguzi ili akatekeleze sera za itikadi ya chama chake wakati mwanaharakati lengo lake kuu ni kupigania kubadili sera za kitaifa kwa ujumla na mara nyingi anatakiwa asiwe na itikadi ya chama chochote, lkn kwa hali ya sasa ni vigumu sana kuwatenganisha.

Mwanaharakati yuko tayari kufa kwa anachokitetea wakati mwanasiasa hayuko tayari kufa kwa anachokitetea anaweza kubadilika au kubadili itikadi.
 
Kama mliweza kumpokea LIJUALIKALI basi mnaweza kupokea chochote. Tetesi zinadai huyo anayejiita mwendawazimu bado ana nafasi nne za viti maalum. Hivyo katika COVID19 wane wataambulia hivyo viti Mzee Halima, Bulaya, Matiko na mwingine. Tetesi pia zinadai Bashite mfoji vyeti anachukua nafasi ya Chakubanga.
 
Kwa maelezo ya Mbowe, Halima na wenzie bado wana options mbili za kurudi kundini

1) Waandike barua kuomba radhi
2) Wakate rufaa ili kesi yao iende kwenye Mkutano Mkuu wa Chama

Kwa kuwa siasa za Bongo hazieleweki na kwa kuwa hakuna adui wala rafiki wa kudumu kwenye siasa, lolote linaweza kutokea.
Hiyo option ya kwanza ndo nzuri zaidi.

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Kwa akili ya kawaida unaona ni ngumu kukubalika lakini kisiasa( ushabiki) inawezekana.

Mfano tumeshuhudia wanasiasa kadhaa baada ya kushindwa kufikia malengo yao katika chama tawala, wakahamia upinzani wakapokelewa.

Tena kwa kupitishwa kugombea uraisi kupitia vyama hivyo.

Sasa hayo kama sio maajabu ni nini?

Ndio maana sishabikii siasa mimi.
Sasa tupe mfano wa mwanasiasa wa Upinzani aliyehamia CCM na akakubalika hadi kugombea Uraisi.

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Halima ameweka kuiimarisha Bawacha kuwa jumuia bora ya kinamama, ukizingatia pesa za Chadema si kama za CCM. Iwapo atakabidhiwa UWT chama chenye matawi mpaka vitongojini Tanzania nzima. Ataleta mabadiliko makubwa.

Wasichana wengi vyuoni watajiunga na CCM kupitia UWT. Halima ni mbunifu, mtekelezaji na anajitambua.
 
Halima ameweka kuiimarisha Bawacha kuwa jumuia bora ya kinamama, ukizingatia pesa za Chadema si kama za CCM. Iwapo atakabidhiwa UWT chama chenye matawi mpaka vitongojini Tanzania nzima. Ataleta mabadiliko makubwa.

Wasichana wengi vyuoni watajiunga na CCM kupitia UWT. Halima ni mbunifu, mtekelezaji na anajitambua.
Ndivyo unavyojidanganya.

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Halima James Mdee siyo mwanasiasa ni mwanaharakati!
Harakati za pimbi?

1606703816863.png
 
Back
Top Bottom