Kwa akili ya kawaida unaona ni ngumu kukubalika lakini kisiasa( ushabiki) inawezekana.
Mfano tumeshuhudia wanasiasa kadhaa baada ya kushindwa kufikia malengo yao katika chama tawala, wakahamia upinzani wakapokelewa.
Tena kwa kupitishwa kugombea uraisi kupitia vyama hivyo.
Sasa hayo kama sio maajabu ni nini?
Ndio maana sishabikii siasa mimi.
Halima James Mdee siyo mwanasiasa ni mwanaharakati!
Kama unafahamu na kutofautisha matendo ya Mbowe na Lissu, hapo ni rahisi kuona mwanasiasa na mwanaharakati katika siasa.
Wate hao ni viongozi wakuu wa CHADEMA, ila mmoja ametulia anajibu hoja kwa hoja, bila ya jaziba na anakuwa na msisitizo kwa kile anacho kiamini - pia anatumia ushawishi kusudi wale ambao hawaoni kama yeye nao wafumbuke macho wamfuate. Wakati huo huo mwingine analazimisha watu wamfuate yeye - la sivyo ataitisha mgomo, atawashitaki kwenye vyombo vya kimataifa, ataswaga watu barabarani! Ukikataa maoni yake anakutukana matusi kibao! Akishindwa kumconvice mtu anazira, anasaga meno na kukimbilie nje! Anatumia mbinu za ulaghai na hasa anapenda kufadhiliwa na kutumia hela za wanaomtuma!
Ukiwaelewa hao watu wawili mashuhuri wa CHADEMA, utakuwa umeelewa tofauti kati ya mwanasiasa na mwanaharakati!
Mbowe = mwanasiasa
Lissu = mwanaharakati
Halima James Mdee na Tundu Antipas Lisu ni wanaharakati ndio maana Polepole hakuwahitaji!Wafuata mkumbo utawajua, ukisikia watu wamesema neno na ww unarukia, ukiulizwa utoe ufafanuzi kati ya uanaharakati na mwanasiasa huna maelezo yoyote ya maana.
Kama umeelewa, fanya hiyo homework.Je Magufuli na Kikwete nani mwanasiasa na yupi ni mwanaharakati kwenye muktadha huo huo? Ili nijue kama unajua usemalo.
Mbona unapenda kuandika comment hii kwa kila post?SI MUMEWATUKANA KUWA NI COVID 19, KWA NINI BADO MUNAWEWESEKA NDOTONI HUKO UFIPANI?? MUWAACHE WAMAMA WA WATU. MUMESHA WATIMUA KWENYE CHAMA CHENU, YANINI KUWASHINDISHA MIDOMONI MWENUU???
Ila mlango uko wazi kama atahiari kurudi nyumbani!!Yawezekana hiki Ni kitu ambacho baadhi ya wana CCM pamoja na Mdee mwenyewe wasingependa kukisikia, lakini ukweli ni kwamba Hata Kama Halima Mdee atahamia CCM, hawezi kuaminika ndani ya Chama Cha Mapinduzi.
Hii Ni kutokana na namna wengi wanavyomfahamu Mdee, hivyo wengi wanaamini cheo itakuwa ndio sababu ya kuhamia CCM na siyo mapenzi ya chama.
Kwa ufupi mwisho wa umaarufu wa Halima Mdee kwenye Siasa za Tanzania unakaribia kufika tamati.
Tusubirie tuone mwisho wa picha hii.
Kushabikia kama vile kushabikia mpira.Kushabikia SIASA maana ake nn ndgu!?
Wasira 2015 aligombea Urais ndani ya CCM ingawa hakufanikikwa kuteuliwa. Wasira alihamia CCM akitokea NCCRSasa tupe mfano wa mwanasiasa wa Upinzani aliyehamia CCM na akakubalika hadi kugombea Uraisi.
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Kinachofanya waongelewe siyo kuhitajika kwao ndani ya Chadema Bali Ni kitendo walichokifanya ambacho moja kwa moja kinawafanya watu waone Kama Ni watu ovyo tofauti na hadhi ambayo watu waliwapa mwanzoni. Hakuna mwanachadema ambaye amesimama upande wait kwamba wasifukuzwe Bali kila mwanachadema ameunga mkono kufukwa kwa Hawa vibaka.Kwaniini hamchoki kuwaota kama ni historia? Simumewatimua kwa matusi makubwa?? Hatabila ya kuwasikiliza? Waaachenikuwasengenya wamama wawatuuu.
We we chadema ndo tukuulize wanakuhusu nini watu amabao umewatimua kwa kuwasindikiza na tusi baya lakuwafananisha na gonjwa la covid 19. Hao watu hawawahusu tena nyie, maana hamuwataki tenaaa. Mumewadhalilisha vya kutoshaaa, sasa yanini kushinda mnawasengenya??
Ova!Atakubalika sana na kupewa UENYEKITI wa UWT Taifa
Nikuwakumbusha makamanda nikwajinsi gani wamekurupuka kuwakkandamiza wamama hawa, kisa wake zao hawamo kwenye hizo nafasi nyetii. Nitaandika hivyohivyo mpaka mtakapoacha kuwasengenya wamama hao.Mbona unapenda kuandika comment hii kwa kila post?
Sasa simumeshawatimua kwa mbwembwe na matusi, yanini kuwashindisha midomoni hao mliowabatiza covid 19?Kinachofanya waongelewe siyo kuhitajika kwao ndani ya Chadema Bali Ni kitendo walichokifanya ambacho moja kwa moja kinawafanya watu waone Kama Ni watu ovyo tofauti na hadhi ambayo watu waliwapa mwanzoni. Hakuna mwanachadema ambaye amesimama upande wait kwamba wasifukuzwe Bali kila mwanachadema ameunga mkono kufukwa kwa Hawa vibaka.
Naona wewe Hata siyo muelewaSasa simumeshawatimua kwa mbwembwe na matusi, yanini kuwashindisha midomoni hao mliowabatiza covid 19?
Haaaaa haaaaaa. Muwaaache wamama wawatu wasio na chama chochote.Naona wewe Hata siyo muelewa