Ukweli mchungu: Hamtaamini Stars itakavyocha mikeka yenu

naziona goli nyingi mno game ya kwanza watapigwa 5 ya pili 5 na yatatu 3 jumla goli 13 wao watafunha goli 3 tuu ktk match zote.
 
Mm naamini hivi:Stars haitaongoza kundi na wala haitashika nafasi ya mwisho kwenye kundi.Nafasi yake itakuwa 2 au 3.Kumbuka timu zote hizi zinacheza ugenini.
 
Kila laheri Taifa Star's! Ila nyie hater's kumbukeni kuweka akiba ya maneno msije kulamba matapishi yenu kwa aibu.
 
Uzalendo ni kitu chema lakini usitupofushe sana tukasahau uhalisia.

Wote tunataka Taifa Stars ifanye vizuri lakini lazima tuwe realistic. Wenzetu wanaomba kwa Mungu kama tunavyofanya sisi. Mungu hamtuoi mja wake. Wote sisi ni watu wake. Kinachobaki ni ubora wa vikosi, maandalizi yalikuwaje na kukaa vizuri kisaikolojia.
 
Nipo na STAZ!
Kwa Jua!
Kwa Mvua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…