Watu hawana matumaini kwamba Stars itapata matokeo ktk mechi yoyote AFCON hivyo Basi wazee wa kuweka mzingo wamepanga 'kuiua' Stars Tena kwa stake kubwakubwa.
Nawaambia hivi, hamtaamini hi Stars ya kina Sonso itakavyofanya maajabu
www.jamiiforums.com
Nawaambia hivi, hamtaamini hi Stars ya kina Sonso itakavyofanya maajabu
Ahadi yako iwapo Stars itafuzu 16 bora
mi nitamuoa dada yako kwa ndoa halali kabisa