Watu hawana matumaini kwamba Stars itapata matokeo ktk mechi yoyote AFCON hivyo Basi wazee wa kuweka mzingo wamepanga 'kuiua' Stars Tena kwa stake kubwakubwa.
Nawaambia hivi, hamtaamini hi Stars ya kina Sonso itakavyofanya maajabu
mi nitamuoa dada yako kwa ndoa halali kabisa