Ukweli mchungu: Iwapo Yanga ataingia fainali CL msimu huu, jitihada zote za Simba kwa miaka sita nyuma zitakuwa na maana!?

Kwasasa katika bara zima la Afrika zipo timu chache sana zinazo weza kumzuia Yanga, Nafikiri hazi zidi 3/4 kwaiyo Yanga kucheza nusu fainali ya klabu bingwa msimu huu ni swala la muda tu.
Na ikawe hivyo
 
Hili la simba kucheza nusu fainali CL hata CAF wenyewe hawalitambui, nihuko kwenu Mechepe tu.
 
Kwasasa Kila shabiki was yanga amejitengenezea dunia yake au kasha km la konokono na kuamini Mpira wa Africa kwa Sasa Ni wa yanga na Afruka Ni Yanga. Yaani hakuna tiny bora km Yanga kwa Sasa.

Ni mawazo yanayoshangaza Sana, sijui Ni ujinga au uelewa ndogo, sijui!

Hii Ni timu yenye miaka 25 BILA kucheza makundi klabu bingwa Afruka, imefanikiwa na Sasa tayari wanajiona wao Ni mabingwa. Inachekesha Sana!

Kila la kheri mtani ktk ndoto zenu! Tafsiri ya ndoto hii Ni uwanjani!
 
Kaaziwezi zikawa bure. Kumbuka, pamoja na haya mambo ya utano lakini kitendo cha Simba kufika hatua za makundi mara kwa mara kiliwaongezea points walizo nazo hivi sasa ambapo ni namba 9 katika vilabu kumi bora Afrika.
Kingine wamesaidia kuongeza thamani ya ligi yetu na kuipa mileage, so hakuna jitihada zilizoenda bure. Jitihada zinazoenda bure ni pale unapochukua Ubingwa na kuwa bora kabisa kwenye ligi ya nchi yako halafu kila wakati unaishia kutolewa kwenye mtoano.
 

MAWAZO YA AJABU SANA HAYA;
KWANI YANGA WANASHINDANA NA SIMBA KOMBE LA AFRICA???
MIMI NI MSHABIKI WA YANGA KINDAKI NDAKI LAKINI NILIKUWA NAWAOMBEA SANA SIMBA WAFUZU NA NILITAMANI TUWE HATA NA TIMU NNE ZILIZO FUZU
HII NI KWA SABABU; TIMU ZIKIINGIA HUKO; NCHI INAPATA NAFASI YA KUTAMBULIKA KIMATAIFA NA KUFAIDIKA MAMBO MENGI ZAIDI YA MPIRA
USHABIKI WETU UWE WA HUKU NDANI ILA HUKO KIMATAIFA, TUUNGANE KUITANGAZA NCHI YETU!!!
 
Nilicheki Fainali CL iliyopita Warabu wako vizuri......Al Ahal aliedeshwa haswaa na WayD. Yanga wange MN bakisha Mayele pale ningewapa fainali
 
Sawa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…