Ukweli mchungu: Katika hawa wajumbe wa Kamati Kuu aliowateua Lissu, Lema pekee ndiye alistahili

Ukweli mchungu: Katika hawa wajumbe wa Kamati Kuu aliowateua Lissu, Lema pekee ndiye alistahili

Master Legendary

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
576
Reaction score
876
NInavyofahamu Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama ni nafasi kubwa sana, uteuzi wake inabidi uwe wa umakini mkubwa na utulivu na siyo lazima ufanywe baada ya Uchaguzi tu kwa karibu nafasi zote kama alivyofanya Lissu.

Nimepitia Majina ya hao watu Lissu aliowateua zaidi ya Lema wengine naona uwezo wao ungebakia hukohuko waliko kuliko katika nafasi ya Ujumbe wa Kamati Kuu, kidogo huyo Rose Mayemba ila na yeye nasema kidogo angalau but bado.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%


Sijajua Lissu hajiamini anaona Kamati Kuu ana watu wachache watamgeuka ndiyo maana kajaza tu watu harakaharaka kwa hofu au ni kweli alifanya analysis ya kutosha ya hao watu.

Anyway wacha ya Ngoswe tumuachie Ngoswe, Napokea Povu.
 
NInavyofahamu Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama ni nafasi kubwa sana, uteuzi wake inabidi uwe wa umakini mkubwa na utulivu na siyo lazima ufanywe baada ya Uchaguzi tu kwa karibu nafasi zote kama alivyofanya Lissu.

Nimepitia Majina ya hao watu Lissu aliowateua zaidi ya Lema wengine naona uwezo wao ungebakia hukohuko waliko kuliko katika nafasi ile, kidogo huyo Rose Mayemba ila na yeye nasema kidogo angalau but bado.

Sijajua Lissu hajiamini anaona Kamati Kuu ana watu wachache watamgeuka ndiyo maana kajaza tu watu harakaharaka kwa hofu au ni kweli alifanya analysis ya kutosha ya hao watu.

Anyway wacha ya Ngoswe tumuachie Ngoswe, Napokea Povu.
Hayo ni maoni yako, ni haki yako. Tuwape muda, tuwapime kwa utendaji wao.
 
Kama angemuweka Wenje, Boni Yai na Jongwe, sasa hivi angekuwa anahangaika kutafuta majina mengine
 
Inakuhusu nini mkuu?

Chakula ndo kwanza kiipo jikoni, tayari ushaonja na radha yake?

Nyie ndo huwa mnamaliza mboga bado ikiwa jikoni

Tulia hivo hivo
 
hauna hoja ww.. kwani kina yericko nyerere,ntobi,kigaila na wenzao wana maajabu gani kwenye ujumbe wa kamati kuu wote si wapo kamati kuu wana lolote jipya au utakuwa hujui kazi na majukumu ya wajumbe wa kamati kuu.. kwani ww ulikuwa unatakaje labda tuambie unataka waweje.? nafasi hizo watahudumu miaka mitano ila ww kidampa unataka ndani ya wiki mbili tu tangu wamechaguliwa unataka uwe umeona maajabu na sarakasi nyingi kwani unaharaka gani ewe chawa wa ccm.! subiri kwanza watu wanapanga mipango na kuchora ramani. so tuliza kipago.maccm mtatafutana mda si mrefu
 
Kwahiyo hata yule Mwanasheria mwenyewe Ph.D ya Havard hafai? Utakuwa unaumwa wewe au maumizi ya kushindwa bado yapo.
 
Lissu kateua watano.
1. Lema
2. Yule wakili mwenye Ph.D ya Havard na alikuwa hata rais wa TLS
3. Wakili mmoja kijana kutoka Zanzibar
4. Rose Mayemba yule dada Mpambanaji kutoka Mkoa wa Njombe
5. Dada mwingine kutoka Mwanza

Sasa hapo nani hafai?
 
NInavyofahamu Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama ni nafasi kubwa sana, uteuzi wake inabidi uwe wa umakini mkubwa na utulivu na siyo lazima ufanywe baada ya Uchaguzi tu kwa karibu nafasi zote kama alivyofanya Lissu.

Nimepitia Majina ya hao watu Lissu aliowateua zaidi ya Lema wengine naona uwezo wao ungebakia hukohuko waliko kuliko katika nafasi ya Ujumbe wa Kamati Kuu, kidogo huyo Rose Mayemba ila na yeye nasema kidogo angalau but bado.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Sijajua Lissu hajiamini anaona Kamati Kuu ana watu wachache watamgeuka ndiyo maana kajaza tu watu harakaharaka kwa hofu au ni kweli alifanya analysis ya kutosha ya hao watu.

Anyway wacha ya Ngoswe tumuachie Ngoswe, Napokea Povu.
ulitaka uwepo kwenye list au yule mchepuko wako
 
Back
Top Bottom