Better devil you know than the devil you dontTeh teh teeh..! Kweli ukweli mchungu, mtachonga sana mwaka huu ila ukweli utabakia kuwa ukweli daima, Kinana ni jembe na ni pigo takatifu kwa upinzani..!
hAMNA HAYA magaidi nyie ambao Ulimboka na Kibanda hatawasahau milele na roho ya Mwangosi inawalilia, je roho ya Prof Mwaikusa na Kolimba ama kweli CCM ni Chama Cha MAGAIDDI YALIYOKWISHA THIBITISHWANdo maana CHADEMA wameshindwa sasa wanabuni mambo ya kigaid na kudhuru watu,Jedi ya Lwakatare iishe,wamfunge tushughulikie wengine.
Teh teh teeh..! Kweli ukweli mchungu, mtachonga sana mwaka huu ila ukweli utabakia kuwa ukweli daima, Kinana ni jembe na ni pigo takatifu kwa upinzani..![/QUOTE
Mkuu we ukiitwa JEMBE utakubali? au ndo utani wa Ngumi huo? Kama Kinana Jembe basi mi ni MPINI wake.
Nimeona tujumuishe yale yote ambayo ni chanya kwa huyu jamaa maana tukichelewa atatukimbia kama Mukama..karibuni
Maskini tembo wetu, nasikitika wanangu watamjua tembo kwa picha..huyu jangili kinana Mungu amlaani.Bavicha imeshaishiwa hoja!!!
Msigwa ni product ya bavicha...
Maskini hifadhi za taifa letu litabaki empty!Kwao Somalia kitu chenye miguu minne kilichobakia salama ni meza na viti tu, navyo vimepigwa risasi kuhakikisha sio wanyama PORI
Kwao Somalia kitu chenye miguu minne kilichobakia salama ni meza na viti tu, navyo vimepigwa risasi kuhakikisha sio wanyama PORI
Kwao Somalia kitu chenye miguu minne kilichobakia salama ni meza na viti tu, navyo vimepigwa risasi kuhakikisha sio wanyama PORI
Pole ndugu yangu, ni busara kuishi kwa matumaini. Hata sisi tuna imani kuwa tutaendelea kula bata baada ya 2015 kwani tuna uhakika wa ushindi japo hautakuwa ushindi wa kishindo kama tulivyozoea huko nyumaNakubaliana na wewe kuwa hili ni pigo takatifu,lakini si kwa wapinzani bali kwa watanzania wote! kwa maliasili zetu zote, ni pigo takatifu kwa tembo wetu.
NAkubali pia kama Kinana ni mtu makini,madhubuti ,jasiri na hodari wa mipango na mikakati lakini je wajuwa kuwa wahalifu wananidhamu ya hali ya juu linapokuja suala la mambo yao?
In short uhodari na umakini unomnasibisha mtu huyu si wa kuijenga nchi yetu bali kuiangamiza usinitake nikupe ushahidi kwani kwa uhodari wao ushahidi sina ,kutokana na umahiri wao k sina uwezo wa kuwazuia,kutokana na umakini wao sina uwezo wa kuwatia hatiani ,kutokana na mikakati yao sina uwezo wa kuondoa ulindanaji wao .
LAKINI kutokana na uwezo mkubwa wa KISANDUKU CHA KURA 2015 UWEZO WANGU UTAKUWA MKUBWA KUYASHINDA YOTE HAYO TUSUBIRI!
Akili yako haina tofauti na mgonjwa wa kigwangala,ukiona mtu amekomalia hoja ya kutungwa lazima upate wasiwasi na upeo wake.Ikiwa shutuma zinazotolewa dhidi ya katibu Mkuu wa CCM bwana Kinana kuhusika na ujangiri nizakweli basi, napata wasiwasi kuhusu uwezo wa serikali kudhibiti rasilimali za nchi. Au nd'o kusema kila mtu anachukua chake mapema?
Thibitisha kuwa ni hoja ya kutungwa.Akili yako haina tofauti na mgonjwa wa kigwangala,ukiona mtu amekomalia hoja ya kutungwa lazima upate wasiwasi na upeo wake.
Ikiwa shutuma zinazotolewa dhidi ya katibu Mkuu wa CCM bwana Kinana kuhusika na ujangiri nizakweli basi, napata wasiwasi kuhusu uwezo wa serikali kudhibiti rasilimali za nchi. Au nd'o kusema kila mtu anachukua chake mapema?