Nakubaliana na wewe kuwa hili ni pigo takatifu,lakini si kwa wapinzani bali kwa watanzania wote! kwa maliasili zetu zote, ni pigo takatifu kwa tembo wetu.
NAkubali pia kama Kinana ni mtu makini,madhubuti ,jasiri na hodari wa mipango na mikakati lakini je wajuwa kuwa wahalifu wananidhamu ya hali ya juu linapokuja suala la mambo yao?
In short uhodari na umakini unomnasibisha mtu huyu si wa kuijenga nchi yetu bali kuiangamiza usinitake nikupe ushahidi kwani kwa uhodari wao ushahidi sina ,kutokana na umahiri wao k sina uwezo wa kuwazuia,kutokana na umakini wao sina uwezo wa kuwatia hatiani ,kutokana na mikakati yao sina uwezo wa kuondoa ulindanaji wao .
LAKINI kutokana na uwezo mkubwa wa KISANDUKU CHA KURA 2015 UWEZO WANGU UTAKUWA MKUBWA KUYASHINDA YOTE HAYO TUSUBIRI!