Ukweli mchungu kuhusu KINANA

Ukweli mchungu kuhusu KINANA

Teh teh teeh..! Kweli ukweli mchungu, mtachonga sana mwaka huu ila ukweli utabakia kuwa ukweli daima, Kinana ni jembe na ni pigo takatifu kwa upinzani..!
Better devil you know than the devil you dont
 
slaa hoye,2015 chadema tunachuku nchii hii
 
Hata rage achunguzwe ile silaha ya igunga nasikia aliachiwa na baba yake, Siamini wasomali. Huko kwao mpaka leo hakuna amani. Hizo pembe kinana alianza ameanza tangu zamani, na huo ukatibu wa cha ja majangili ndo kabisa. kinana = jangili
 
Ndo maana CHADEMA wameshindwa sasa wanabuni mambo ya kigaid na kudhuru watu,Jedi ya Lwakatare iishe,wamfunge tushughulikie wengine.
hAMNA HAYA magaidi nyie ambao Ulimboka na Kibanda hatawasahau milele na roho ya Mwangosi inawalilia, je roho ya Prof Mwaikusa na Kolimba ama kweli CCM ni Chama Cha MAGAIDDI YALIYOKWISHA THIBITISHWA
 
Teh teh teeh..! Kweli ukweli mchungu, mtachonga sana mwaka huu ila ukweli utabakia kuwa ukweli daima, Kinana ni jembe na ni pigo takatifu kwa upinzani..![/QUOTE

Mkuu we ukiitwa JEMBE utakubali? au ndo utani wa Ngumi huo? Kama Kinana Jembe basi mi ni MPINI wake.
 
Mleta mada kaelezea facts za Kinana ambazo sina shida nazo. Vile vile ni fact kuwa meli za kampuni yake zimeshikwa zikisafirisha nyara za taifa. Hivyo basi kwa kiongozi aliyekuwa makini kama yeye angetakiwa ajiuzulu maana kashfa hii hawezi kumdanganya yeyote kama hahusiki. Lahkini kwa siasa za kwetu wananchi tutatupiwa changa la macho tuendelee kummwagia sifa kemkem kama ndugu yangu mleta mada.
 
Nimeona tujumuishe yale yote ambayo ni chanya kwa huyu jamaa maana tukichelewa atatukimbia kama Mukama..karibuni

vizuri kwa kutambua kua kinana ni mjeshi na unatakiwa utambue kunawachungaji wa kuku na mbuzi na wachungaji nguruwe
 
Kwao Somalia kitu chenye miguu minne kilichobakia salama ni meza na viti tu, navyo vimepigwa risasi kuhakikisha sio wanyama PORI
 
Nakubaliana na wewe kuwa hili ni pigo takatifu,lakini si kwa wapinzani bali kwa watanzania wote! kwa maliasili zetu zote, ni pigo takatifu kwa tembo wetu.
NAkubali pia kama Kinana ni mtu makini,madhubuti ,jasiri na hodari wa mipango na mikakati lakini je wajuwa kuwa wahalifu wananidhamu ya hali ya juu linapokuja suala la mambo yao?
In short uhodari na umakini unomnasibisha mtu huyu si wa kuijenga nchi yetu bali kuiangamiza usinitake nikupe ushahidi kwani kwa uhodari wao ushahidi sina ,kutokana na umahiri wao k sina uwezo wa kuwazuia,kutokana na umakini wao sina uwezo wa kuwatia hatiani ,kutokana na mikakati yao sina uwezo wa kuondoa ulindanaji wao .
LAKINI kutokana na uwezo mkubwa wa KISANDUKU CHA KURA 2015 UWEZO WANGU UTAKUWA MKUBWA KUYASHINDA YOTE HAYO TUSUBIRI!
Pole ndugu yangu, ni busara kuishi kwa matumaini. Hata sisi tuna imani kuwa tutaendelea kula bata baada ya 2015 kwani tuna uhakika wa ushindi japo hautakuwa ushindi wa kishindo kama tulivyozoea huko nyuma
 
Ikiwa shutuma zinazotolewa dhidi ya katibu Mkuu wa CCM bwana Kinana kuhusika na ujangiri nizakweli basi, napata wasiwasi kuhusu uwezo wa serikali kudhibiti rasilimali za nchi. Au nd'o kusema kila mtu anachukua chake mapema?
 
Ikiwa shutuma zinazotolewa dhidi ya katibu Mkuu wa CCM bwana Kinana kuhusika na ujangiri nizakweli basi, napata wasiwasi kuhusu uwezo wa serikali kudhibiti rasilimali za nchi. Au nd'o kusema kila mtu anachukua chake mapema?
Akili yako haina tofauti na mgonjwa wa kigwangala,ukiona mtu amekomalia hoja ya kutungwa lazima upate wasiwasi na upeo wake.
 
Kwa kweli, heri katibu mkuu, muongo, mfitini, mnafiki, mzinzi, mwezi mchanga na kibabu.
 
Ikiwa shutuma zinazotolewa dhidi ya katibu Mkuu wa CCM bwana Kinana kuhusika na ujangiri nizakweli basi, napata wasiwasi kuhusu uwezo wa serikali kudhibiti rasilimali za nchi. Au nd'o kusema kila mtu anachukua chake mapema?

Weka mbali na Tembo.
 
Back
Top Bottom