Ukweli mchungu kuhusu KINANA

Huna hoja, kinana ni very smart katika utendaji na ni hatari kubwa kwa survival ya upinzani ndio mana wanajaribu kumtungia uongo na uzushi

Njoo udake buku 7 Lumumba hapa muda si mredu mtaongezewa dau kwa kazi nzuri mnavyo ponda upinzani
 
Yap hatutakiwi kumbeza tembo wetu wanateketea
 
nimepoteza muda wangu kusoma ----- huuuu jinga sana
 
Huu uzi wa vilaza wa Lumumba, haunihusu, am out!!!
 
F...ck you .what about our elphant. Kinana is the greatest poacher
 
Kinana ni mwanajeshi amelitumikia jeshi kwa kipindi kirefu kwa cheo cha kanali...si mtu wa kupuuzwa
Vile vile JK ni alikuwa mwanajeshi amelitumikia jeshi kwa nafasi yake lakini hajui kwanini tanzania ni maskini, mauji ya albino yameshamiri akiwa kiongozi, deni la taifa linetripple, wanafunzi wamefeli kuliko wakati wowote kwenye historia ya taifa hili. Si hivyo tu, serikali yake ina waliokuwa wanajeshi kama mkuchika lakini hali ni mbaya kuliko kawaida. Kawaweka wanajeshi wastaafu wengi kama wasaidizi wake huko mikoani kama machibya, aliyekuwepo pia kalembo, etc lakini hakuna uafadhali. Hitimisho: kuwa mwanajeshi haimaanishi una leseni ya kuweza kila kitu. Uongozi unahitaji dhamira safi, nia ya kutumikia unaowaongoza, uwezo wa kufanya maamuzi sahihi na kwa wakati sahihi na kufuata sheria na taratibu.
 
Kinana ni mwanajeshi amelitumikia jeshi kwa kipindi kirefu kwa cheo cha kanali...si mtu wa kupuuzwa

Kwani kuna vita vya kijeshi? au ni imapambano ya matabaka kati ya walionacho na wasionacho?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Aisee. Kutokana na uwezomhuo wa kinana, ndo maana chadema wanaweweseka na kutafuta kila mbinu chafu kumchafua
Msipende kusema vitu visivyo na uhalisia kama Kinana ni Mzoefu na anakubalika katika jamii katika mikutano yake kule Morogoro alifanya pia Ruaha na matokeo yake katika uchaguzi wa kijiji na kitongoji CCM imeshindwa, kushindwa huko kwa CCM kunamaanisha nini kwa huyo kinana wenu?
 
Tatizo la wanaCCM wengi ni kupenda kuzunguka saaana. Je unadhani tatizo la CCM lilikua Mukama? Ona mwendo wa chama tangu mwaka 2005 hadi leo. Acheni ujinga na unafiki wa kuanza kupambana kwa sifa zisizokua na kichwa wala miguu.

Tatizo la CCM ni mwenyekiti na wala sio kiongozi mwingine yeyote, na bahati mbaya sana hakuna mwanaCCM yeyote mwenye ujasiri wa kulisema hili hadharani au kwenye vikao vyenu vya chama.
 
Wakati unahangaika kuleta utumbo wako hapa kuhusu Kinana, kuna habari kuwa shehena yake nyingine ya pembe za ndovu imekamatwa huko Hongkong jana>>>> Hebu soma habari hii>>>>>>

[TABLE="class: cms_table_contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: cms_table_contentheading"]Hong Kong seizes $400,000 ivory from Tanzania, Kenya [/TD]
[TD="class: cms_table_buttonheading, align: right"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: cms_table_contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: cms_table_createdate"] Thursday, 02 May 2013 10:16
The Citizen
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]

Upon X-ray image analysis, the consignment was detected to contain elephant tusks instead of spare parts, a statement said Hong Kong.

Hong Kong customs officers have seized 113 elephant tusks worth nearly $400,000 on the Chinese ivory market, officials said yesterday. The smuggled ivory was seized at the airport on Tuesday in a container marked “spare parts” from Burundi which was bound for Singapore, said an official statement.

The total seizure, weighing 300 kilograms (660 pounds), was worth an estimated HK$3 million ($390,000). “Upon X-ray image analysis, the consignment was detected to contain ivory tusks instead of spare parts,” the statement said.

Customs officers made the city’s largest ivory seizure last October when they intercepted almost four tonnes worth about $3.4 million, hidden in shipments from Kenya and Tanzania. In January, customs officers intercepted another container from Kenya carrying 779 pieces of ivory weighing 1.3 tonnes.

Anyone found guilty of importing ivory into Hong Kong faces up to two years in jail and a maximum HK$5 million fine. Even so, the city remains a major trading centre for processed ivory goods such as carvings and jewellery.

The international trade in elephant ivory, with rare exceptions, has been outlawed since 1989 after elephant populations in Africa dropped rapidly from millions in the mid-20th century to around 600,000 by the end of the 1980s.

However, a rise in the illegal trade in ivory has been fuelled by demand in Asia and the Middle East, where elephant tusks are used in traditional medicines and to make ornaments.

Africa is home to an estimated 472,000 elephants whose survival is threatened by poaching, illegal game hunting and habitat loss. (AFP)
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Kama Kinana ni mtu makini na mwenye busara, basi naamini hiyo busara na umakini utamuongoza kutafuta (m)wanasheria kutafuta haki baada ya kuchafuliwa jina lake kwa kutuhumiwa kuwa JANGILI...ndiyo nimesema JANGILI. Kama angekuwa makini angekuwa ameshatafakari (Just to think about it) hata kurudisha zile mashine za kufulia zilizokuwa zimetolewa kwa ajili ya Mount Meru Hosp.

Hatutaki kusikia porojo za Kigwangalla eti Marando alimshauri awasamehe waliomtuhumu au ile list ya mafisadi aliyoitoa Slaa na wengi wao wakasema wataenda mahakamani...F%&#@k that. Kama yeye ni mtu makini akiamini kuwa ana makende mawili aende mahakamani kufungua kesi ya madai. Wanasheria wako tu hata wa bure (Lamwai). Kutuma watu mahususi tena wengine wageni hapa JF (Mnakaribishwa though) kuja kumtetea kwenye social media haitasaidia lolote zaidi ya kuongeza maswali juu ya umakini wa KINANA.

Mkuu uliyeleta huu uzi, unakaribishwa maana nimeona una kamba mguuni. Mpelekee salamu na ushauri wa bure kuwa anatakiwa kutafuta haki yake mahakamani na si kwenye social media, hata Ndugulile anajua hilo. Kwa msemo wa Mwanakijiji, anatakiwa kuchora mstari na si kukimbilia kwenye social media.
 

Angalia huyu ana post ngapi ?
 
Kweli Kinana ni Jemedari...ni Kiongozi shupavu....Mpiga kampeni mzuri wa CCM...Sijui kanali na mengineyo....ila tatizo sio mzalendo
Ametumia CV yake hiyo na umaarufu wake huo kufanya ujangili....Tanzania tuna mpango wa kuufanya utalii kuwa ndio source kubwa ya mapato nchini...wakati Kinana anapambana kumaliza kile kinachowaleta watalii.....
Hapa ndio nataka kuamini Kinana ni msomali!
 
Kibanda aliwahi kuandika kua Kinana ataleta tabu...watu hatukumuelewa
 
Wewe ni Absolom Kibamba?... Umempamba kweli, nilidhani hujapona bado uko hospitalini!!
 

Watu wengine bana wakilewa kahawa na kashata wakati wanacheza dhumna pale Saigon basi hujiamuliatu kutoa uzi hapa JF,kisa naye ajulikane eti anamuelewa sana Kinana,mbona ya Loliondo na pembe za ndovu huyaandiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…