Ukweli mchungu kuhusu KINANA

Ukweli mchungu kuhusu KINANA

Nimeona tujumuishe yale yote ambayo ni chanya kwa huyu jamaa maana tukichelewa atatukimbia kama Mukama..karibuni
 
Mmmmmmmmh_mwizi wa meno na unga wa meno ya tembo.
 
Bavicha imeshaishiwa hoja!!!

Msigwa ni product ya bavicha...

Mapele ya bavicha yanakuuma duh pole waambie warudishe gari na laki tano zako ili uwe huru tukiingia tu humu unachojua ni bavicha Slaa,mbowe,Zitto,shida binti salum na mwanawe salum huna unaloliweza your too easy for any one predictions sorry maningi za mangungos clan
 
saaliiba mashine za kufulia nguo za wagonjwa katika hospitali ya mount meruwakati akiwa mbunge wa arusha mjini ambazo zilikuwa za msaada.
 
Kinana ni mwanajeshi amelitumikia jeshi kwa kipindi kirefu kwa cheo cha kanali...si mtu wa kupuuzwa
Kinana is using his military skills to be a poacher!Now i understand why people say that Kinana is not just a poacher, but a good poacher!
 
It is very rare for any foolish person to notice he/she is foolish, just the same applies to ccm members because of the posho they are given for posting on jamii forum as many as possible, the foolish unreasonable comments about any one criticizing ccm just for the sake of very liitle amounts your other relatives are suffering because of lack of medicine and other social facilities
 
Nimeona tujumuishe yale yote ambayo ni chanya kwa huyu jamaa maana tukichelewa atatukimbia kama Mukama..karibuni

Kuna watu kumbe hawajui tofauti ya hasi na chanya. Na wewe ni hii form four product ya Mulugo?
 
Yaani hapa nacheka sina mbavu. Wasifu wake tunaujuwa. Meno ya Tembo yako wapi mimi ndio "lead detective". Nauliza tena iko wapi ile meno ya Tembo. Mkononi nina kitu chenye ncha kali. Mara ya mwisho meno ya tembo yako wapi? Hutaki kusema eeh? Haya ncha hiyo yaja!!!!!!!!!!!!!
 
ZeMarcopolo hebu msafishe bosi wako.
Tope lake aliloliingia ni tope la kinyesi hata ukimsafisha ataendelea kunuka

Mkuu,

Hawa vijana wa bavicha ni watu wa ajabu sana. Badala ya kujadili masuala ya Bunge la bajeti wao wanajadili UDAKU.

Baadae watalalamika kuwa bajeti haijawajali.

Wakati wa mchakato wa mabaraza ya katiba tulikuwa tunauliza kwanini hawataki kujaidili mabaraza hayo wakakaa kimya, sasa wanalalamika mchakato haujawajali. Hawa vijana ni vituko sana...
 
It is very rare for any foolish person to notice he/she is foolish, just the same applies to ccm members because of the posho they are given for posting on jamii forum as many as possible, the foolish unreasonable comments about any one criticizing ccm just for the sake of very liitle amounts your other relatives are suffering because of lack of medicine and other social facilities

Kiingereza gani hiki wewe?
 
kama huna cha kupost uache,mambo ya kucopy na kupest,hii ilishapostiwa na watu wakajadili
 
Back
Top Bottom