Uchaguzi 2020 Ukweli mchungu kwa Lissu, sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT

Uchaguzi 2020 Ukweli mchungu kwa Lissu, sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT

Screenshot_20201025-170231.png
Screenshot_20201025-165426.png
IMG_20201024_192100.jpg
IMG_20201024_192045.jpg
 
eti system?,Who is system by now?? you mean Government official appointed by JPM??
 
siwezi mpa chizi(mate kujaa pembeni ya mdomo wakat wa kuongea ni dalili ya uchizi)

siwezi mpa kura mtu asie jua maana ya uhuru tulopata
Kama wewe mwenzetu upo huru hongera Sana. Ndio mpambane sasa muendelee Kula matunda ya Uhuru.

Ila msiwasumbue kuwaambia wasio Huru wampe Kura mgombea wenu mana wana machungu ya kupoteza Uhuru na Haki.
 
Wakuu nawasalimu,

Naomba muelewe kitu kimoja kuwa sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT hili mliweke akilini. Kwa ufupi tu hata kama Lissu akishinda uchaguzi na CCM kuamua kukubali kushindwa na ku backdown 'system haiwezi kumkubali Lissu abadani. Vyovyote itavyokua hatuwezi kuongozwa na Rais mbeambea, Rais asieweza kusimama peke yake katika maamuzi.

Rais huandaliwa na kuchunguzwa uadilifu wake kwa nchi yake, nikimuangalia Lissu sioni akiwa na sifa hiyo hata robo
bora Membe, Maalim hata Mbowe. Hawa wana uadilifu kwa nchi yao kuliko Lissu

Kama nilivyosema huu ni ukweli mchungu kwa wafuasi wake ila ni bora mkajua mapema kabisa!!

Pia naomba mjifunze historia ya nchi hii nzuri, mjifunze misingi ya uendeshaji wa nchi hii nzuri pia mjifunze sera mbalimbali zinazotumika kitaifa na kimataifa za nchi hii nzuri.

Imeisha hiyo mkuu
28102020
 
Kama wewe mwenzetu upo huru hongera Sana. Ndio mpambane sasa muendelee Kula matunda ya Uhuru.

Ila msiwasumbue kuwaambia wasio Huru wampe Kura mgombea wenu mana wana machungu ya kupoteza Uhuru na Haki.
Kwan mkuu.... ni uhuru gani unauzungumzia hapa?
 
Kwan mkuu.... ni uhuru gani unauzungumzia hapa?
Ahsante Kwa Kuuliza. TL ameelezea na kufundisha kwa kina Sana kwenye mikutano yake. Nadhan ulikuwa huifwatilii pengine kutokana na ushabiki. Ila busara inaelekeza usikilize Sera zote ili ufanye informed decisions.

Anyway, umepoteza fursa adhimu ya kujifunza. Moja ya Uhuru ulioongelewa ni Uhuru wa kuamua Mazao yako Umuuzie nani. Alitolea mfano namba wakulima wa korosho walivyolazimisha kutoa korosho Yao Kwa wanajeshi.

Uhuru mwingine ni wa kuchagua Kiongozi unaye mtaka. Hapa alitolea mfano Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambapo viongozi wababaishaji wakiingia bila ridhaa ya Wananchi. Enguaengua ya NEC, Maagizo ya Rais Kwa Wasimamiz wa Uchaguzi kwamba Watangaze wa CCM hata wasiposhinda, na sasa ni hii mikakati ovu ya Kutaka kulazimisha wagombea waliopoteza kibali cha wananchi kuingia tena madarakani.

Nchi zenye Uhuru wa Kweli huwezi ona upuuzi kama huu unatokea. Kimsingi tupo chini ya Utawala wa wakoloni/makaburu wazawa.
 
Kwan mkuu.... ni uhuru gani unauzungumzia hapa?

Hatuko tayari tena kuongozwa na chama cha karne iliyopita. Uwezo wa ccm kutawala nchi hii kama chama chenye nguvu enzi hizo zilishapita. Kutawaliwa kama makondoo sasa imetosha. Tutafurahishana ili tuheshimiane.
 
Kwa maslahi hayohayo ya taifa, Lissu hawezi kuwa rais hata kwa siku1
Ndio CCM ilishindwa kumnunua ila mabeberu waliweza tena kwa kujipeleka mwenyewe sokoni..
Ni vile tuu taasisi ya urais imeshuka heshma miongoni mwetu lakini trust me haijashuka heshma kwe mfumo hata chembe.

Wacha blah blah. Eti taasisi. Unajua maana yake? Unajua maana ya mfumo? Usiandike kwa ujuaji. Unaweza kutuwekea hiyo bei ya Lissu hapa? Na ni kwa nini unadhani alinunuliwa?
 
Ahsante Kwa Kuuliza. TL ameelezea na kufundisha kwa kina Sana kwenye mikutano yake. Nadhan ulikuwa huifwatilii pengine kutokana na ushabiki. Ila busara inaelekeza usikilize Sera zote ili ufanye informed decisions.

Anyway, umepoteza fursa adhimu ya kujifunza. Moja ya Uhuru ulioongelewa ni Uhuru wa kuamua Mazao yako Umuuzie nani. Alitolea mfano namba wakulima wa korosho walivyolazimisha kutoa korosho Yao Kwa wanajeshi.

Uhuru mwingine ni wa kuchagua Kiongozi unaye mtaka. Hapa alitolea mfano Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambapo viongozi wababaishaji wakiingia bila ridhaa ya Wananchi. Enguaengua ya NEC, Maagizo ya Rais Kwa Wasimamiz wa Uchaguzi kwamba Watangaze wa CCM hata wasiposhinda, na sasa ni hii mikakati ovu ya Kutaka kulazimisha wagombea waliopoteza kibali cha wananchi kuingia tena madarakani.

Nchi zenye Uhuru wa Kweli huwezi ona upuuzi kama huu unatokea. Kimsingi tupo chini ya Utawala wa wakoloni/makaburu wazawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa ndugu mbona unalalamikia hewa?
je serkali iliingilia mchakato wa korosho mara ngapi? yan misimu mingapi from 2015?
isitoshe mkulima sio korosho tuu hata mazao mengine mkulima humuuzia anaemtaka so hapo huna hoja tukubaliane.

serkali za mitaa sio nyie mlosusia uchaguzi? sasa apa msilalamike maana ni ujinga wenu wenyewe.

hayo mafundisho ya lisu nisiwe muongo sijayaskia nna mda mchache wa kufatilia campaign
 
Hatuko tayari tena kuongozwa na chama cha karne iliyopita. Uwezo wa ccm kutawala nchi hii kama chama chenye nguvu enzi hizo zilishapita. Kutawaliwa kama makondoo sasa imetosha. Tutafurahishana ili tuheshimiane.
[emoji23][emoji23][emoji23]endelea kuota au nikushauri hama nchi maana usiempenda kaja au meza viwembe ili usimuone kabisa
au kama unàhasira sana meza boga


serious hauwezi kufanya chochote na ukaachwa iviivi
 
Wacha blah blah. Eti taasisi. Unajua maana yake? Unajua maana ya mfumo? Usiandike kwa ujuaji. Unaweza kutuwekea hiyo bei ya Lissu hapa? Na ni kwa nini unadhani alinunuliwa?
mada imekupanda tayari haya anzaga kukatikia sasa
 
Wacha blah blah. Eti taasisi. Unajua maana yake? Unajua maana ya mfumo? Usiandike kwa ujuaji. Unaweza kutuwekea hiyo bei ya Lissu hapa? Na ni kwa nini unadhani alinunuliwa?
ilo swali muuliza Amsterdam
 
Wakuu nawasalimu,

Naomba muelewe kitu kimoja kuwa sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT hili mliweke akilini. Kwa ufupi tu hata kama Lissu akishinda uchaguzi na CCM kuamua kukubali kushindwa na ku backdown 'system haiwezi kumkubali Lissu abadani. Vyovyote itavyokua hatuwezi kuongozwa na Rais mbeambea, Rais asieweza kusimama peke yake katika maamuzi.

Rais huandaliwa na kuchunguzwa uadilifu wake kwa nchi yake, nikimuangalia Lissu sioni akiwa na sifa hiyo hata robo
bora Membe, Maalim hata Mbowe. Hawa wana uadilifu kwa nchi yao kuliko Lissu

Kama nilivyosema huu ni ukweli mchungu kwa wafuasi wake ila ni bora mkajua mapema kabisa!!

Pia naomba mjifunze historia ya nchi hii nzuri, mjifunze misingi ya uendeshaji wa nchi hii nzuri pia mjifunze sera mbalimbali zinazotumika kitaifa na kimataifa za nchi hii nzuri.
Ukweli mchungu
Watz tuliingizwa choo cha kike kwa kukubali kuletewa magufuli awe rahisi wetu 2015, tusikubali tena kuongozwa na mtu ambaye hatukumchagua
 
[emoji23][emoji23][emoji23]endelea kuota au nikushauri hama nchi maana usiempenda kaja au meza viwembe ili usimuone kabisa
au kama unàhasira sana meza boga


serious hauwezi kufanya chochote na ukaachwa iviivi
Hilo la kupigwa halina mjadala maana ndio mabadiliko yalipo. Hata mwanauke huzaa kwa uchungu. Hakuna mabadiliko yasiyo ya kuvuja jasho.
 
Hilo la kupigwa halina mjadala maana ndio mabadiliko yalipo. Hata mwanauke huzaa kwa uchungu. Hakuna mabadiliko yasiyo ya kuvuja jasho.
hakuna ataeandamana so obviously hakuna atae pigwa
 
Ukweli ni kwamba, Chadema inaenda kupoteza kila kitu, si upande wa Rais au ubunge! Wote kifo cha mende
 
Back
Top Bottom