Uchaguzi 2020 Ukweli mchungu kwa Lissu, sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT

Uchaguzi 2020 Ukweli mchungu kwa Lissu, sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT

by the way kwa utafiti ulofanywa unaonesha upinzani wa safari umekua zaifu sababu
1.hawana cha kusimamia
2.ushiriki wao na watu toka nje ya nchi
3.swala la corona
4.wabunge wao kususasusa bunge
5.magu kuwambia wananchi ukweli kua wana/watajichelewesha kwa kuchagua upinzani
6.wapinzani kuchochea vurugu.

☆so nahitimisha kwa kufuta yale nloandika post#1 ya uzi huu maana kile nilichokiwaza hakita totea na badala yake ushindi kwa ccm ni sa2 asbuhi na mapema

kazi kwenu
"Hakita TOTEA saa2 ASBUHI" ndiyo watu wake, akili kisoda, hata lugha yao ya taifa hawaijui.
 
by the way kwa utafiti ulofanywa unaonesha upinzani wa safari umekua zaifu sababu
1.hawana cha kusimamia
2.ushiriki wao na watu toka nje ya nchi
3.swala la corona
4.wabunge wao kususasusa bunge
5.magu kuwambia wananchi ukweli kua wana/watajichelewesha kwa kuchagua upinzani
6.wapinzani kuchochea vurugu.

☆so nahitimisha kwa kufuta yale nloandika post#1 ya uzi huu maana kile nilichokiwaza hakita totea na badala yake ushindi kwa ccm ni sa2 asbuhi na mapema

kazi kwenu
Tunasimamia weaknesses za kimeo wenu. Hatubanduki hadi mkohoe damu
 
Back
Top Bottom