Ukweli mchungu kwa Wana CHADEMA; MBOWE anapaswa kupumzika

Ukweli mchungu kwa Wana CHADEMA; MBOWE anapaswa kupumzika

Halafu Mimi sio KE kama unavyo nichukulia na siwezi nikawa Mwana CCM data siku moja……..Mimi ni kamanda maisha yangu yote na sitokubali watu wachache Kama nyie mnaofaidika na viposho vya Mbowe muendelee kuharibu Chama Kirahisi namna hyo…………..Ubaya ubwela
Mwambie mumeo aanzishe chama ugombee mkuu
 
Yeah Ila kuing’oa CCM sio simple kama bado upinzani ukiwa upo chini ya Mbowe……….anapaswa nafasi wapewe hwatu kama Tundu Lissu,John Heche,Sosopi au ata Abdul Nondo,hawa wakisema nyeupe ni nyeupe na kama nyeusi ni nyeusi kweli ila mbowe amekaa Kiswahili Swahili sana
Watanzania ni waoga hakuna cha Lissu au Heche. CCM kuitoa kwa nguvu haiwezekani pia angalia Zanzibar au angalia Lissu alivyoshindwa kuitisha maandamano yasiyo na kikomo baada ya uchaguzi 2020. Kinachotakiwa ni wananchi kuwajengea uelewa ili waunge mkono jitihada za mapambano(long term strategy) vinginevyo itabaki kubadli viongozi bila impact kama ICT wazalendo
 
Mbowe yuko pale kuiaminisha dunia kuwa Tz ni democratic country!

Dunia imejaa unafiki sana


YESU NI BWANA&MWOKOZI
 
Watanzania ni waoga hakuna cha Lissu au Heche. CCM kuitoa kwa nguvu haiwezekani pia angalia Zanzibar au angalia Lissu alivyoshindwa kuitisha maandamano yasiyo na kikomo baada ya uchaguzi 2020. Kinachotakiwa ni wananchi kuwajengea uelewa ili waunge mkono jitihada za mapambano(long term strategy) vinginevyo itabaki kubadli viongozi bila impact kama ICT wazalendo
Wala sio waoga bali amekosekana mtu wa kuwatoa kwenye usingizi ili waamke
 
Mfano chama angekuwa amepewa Msigwa? Au unataka kiwe kama ACT.. Liwe tawi la watawala.
 
Asalaam ndugu zangu!!!

Ifahamike;Mimi ni Mwana CHADEMA tena sio Mwana CHADEMA wa kuhamia lahasha!!! Bali ni Mwana CHADEMA wa kuzaliwa…….nimezaliwa nikamkuta mzazi wangu mmoja ni Mwana mageuzi,hivyo nami nikawa Mwana Chama wa hiki Chama kwa kwa Kurithi kutoka kwa Bi’Mkubwa wangu…………Nikienda kujenga hoja msinichukulie Kama Chawa wengine kutoka CCM,Mimi ni kamanda kweli kweli✊🏿✊🏿

Kwanini nasema Mbowe apumzike au asigombee kabisa Muhula huu;


•Mbinu za kuendeshea Chama kwa sasa zimemuishia,Amekaa kwenye Uenyekiti wa Chama kwa zaidi ya miaka 20 na kila siku mbinu za harakati za Siasa zinabadilika ila yeye bado anaamini kwenye Siasa za kiungwana yaani bado anafikiri CCM anaweza kutoka kwa kuombwa aachie nchi😂😂😂………..CHADEMA inawahitaji watu majasiri kama Tundu LISSU,John Heche,Ezekiel Wenje etc

•Kiongozi anaposhindwa kuleta ushindi,anapaswa kupumzika ili kuachia mtu mwenye mawazo mbadala asongeshe gurudumu mbele la harakati………Mbowe kashindwa kwa sasa na anapaswa kuachia ngazi

•Aking’atuka atakiwezesha Chama kutoka kile zile tuhuma kuwa Chama kinaendeshwa kama Mali ya familia na ukoo wa kina Mbowe……….kwa hapa atakuwa amewafunga mdogo Ma-CCM pamoja na vibaraka wao ACT-Wazalendo

Ni hayo tu kwa Leo ila kiukweli,nitamshangaa sana tena sana kama huyu Kamanda Mkuu atachukua fomu ya kugombea wadhifa wowote ndani ya chama……anapaswa kuwa Mshauri tu kama walivyo kina Mabere Marando,Jakaya Kikwete, au Zitto Kabwe (japo huyu ameachia Chama kwa wapemba coz huku bara Chama hakina mvuto kabisa)

Akiendelea ipo siku Wanachama tunao jielewa tutampindua Kama alivyofanywa James Mbatia

Aluta continua,victory ascalerta✊🏿
Mbowe anakusanya kodi? mjunga wewe pesa BOT zimepigwa Trilon kadhaa wewe uoommko busy ba Mbowe?

Mbowe hakusanyi kodi, tuna dili na wanao kusanya kodi
 
Mbowe anakusanya kodi? mjunga wewe pesa BOT zimepigwa Trilon kadhaa wewe uoommko busy ba Mbowe?

Mbowe hakusanyi kodi, tuna dili na wanao kusanya kodi
You’re not open minded person……you’re fooolish and highly stupid person
 
You’re not open minded person……you’re fooolish and highly stupid person
Your over stupidy, wajinga nyie, Mbowe ndio anasababisha matatizo kwenye hii nchi? Uganda wana komaa na Mseven ndio mkusanya kodi, Kenya wanakomaa na Ruto ndio mkusanya kodi, SOuth wana komaa na Ramaposa na chama chake cha ANC, Zambia wanakomaa na Hechilema kwa ababu ndio anakusanya kaodi.

Wajinga nyie wapumbavu mko busy na Mbowe mbowe, kwani Mbowe ndio mkusanya kodi wa hili Taifa? acheni kuwaza kwa kutumia kamasi hasa hasa wewe hapo.
 
Ni ukweli mchungu pia ccm imechokwa na wananchi walio wengi! Nikiwemo mimi. Ni vile tu inahonga wapiga kura wajinga, na kuchakachua kura; ndiyo inaendelea kubakia madarakani. Ila tukija kwenue uhalisia; ccm ni 🚮 tu kama zilivyo 🚮 nyingine.
Hapana. CCM ni zaidi ya "...tukija kwenye uhalisia; ccm ni kama zilivyo nyingine". Kama nimekuelewa maana uliyo lenga na haya maneno, siyo kweli kabisa kuwa CCM ni sawa kama vilivyo vyama vingine.
Hivi vingine, pamoja na ubovu ulivyo nao, ubovu wao hauwezi kuwa zaidi ya huu wa CCM, ambao walikwisha jiapiza kabisa kutoachia madaraka kwa njia yoyote ile.
Hawa wengine wakiingia madarakani, bado tutakuwa na uwezo wa kuwaondoa wakivuruga, siyo CCM!
 
Your over stupidy, wajinga nyie, Mbowe ndio anasababisha matatizo kwenye hii nchi? Uganda wana komaa na Mseven ndio mkusanya kodi, Kenya wanakomaa na Ruto ndio mkusanya kodi, SOuth wana komaa na Ramaposa na chama chake cha ANC, Zambia wanakomaa na Hechilema kwa ababu ndio anakusanya kaodi.

Wajinga nyie wapumbavu mko busy na Mbowe mbowe, kwani Mbowe ndio mkusanya kodi wa hili Taifa? acheni kuwaza kwa kutumia kamasi hasa hasa wewe hapo.
Taifa kama Marekani,mtu mweusi aliteseka sana Ila mpaka kizazi cha Malcolm X na Martin Luther kilipokuja ndio wakaanza kupata mwanga,hapa kwenu Tanzania tunahitaji kiongozi jasiri atuongoze hapa tulipo na huyo mtu sio Mbowe

Nchi Kama Kenya(Gen Z Movement),wale hawawezi kufanikiwa kitu kwa sababu wanaongozwa na akili zao binafsi ambazo zinatawaliwa na hisia kuliko akili……….Hakuna mapinduzi yaliyo fanyika bila uwepo wa kiongozi jasiri na mwenye akili ya kutosha mfano;
China-Mao Ze Dong
Russia-Vladimir Lenin
Cuba-Fidel casto………sasa hawa wa Africa unafikiri watafika wapi!??
 
Back
Top Bottom