Ukweli Mchungu kwa Wana Yanga Wote

Ukweli Mchungu kwa Wana Yanga Wote

Unapobishia facts inabidi na wewe uwe na facts. Usibwabwaje tu kama chura alieshiba maji ya chemba za jangwani.

Hebu kosoa mada ya alieandika kwa facts sio unabwabwaja bwabwaja tu.
Sasa Simba kacheza game moja tu unasema anamafanikio makubwa,angalau hata round 2-3 hivi, mbumbumbu pekee ndo atachekelea uzi huu....ngoja baadaye al ahaly leo waongoze kundi na Kesho mpigwe tutaheshimiana tu
 
Naitwa Charles Mafuru shabiki na mwanachama wa Young Africans,
Nikiwa na akili timamu na pasipo kushawishiwa na yeyote pia nikiwa kama mwanasoka, sio dhambi wala sio ujinga kutoa mtazamo wangu.


Nimeamua kuandika haya kutokana na wanayanga wenzangu wengi kuendelea kuibeza Simba katika hatua walofikia kimataifa.

Sisi Yanga tumekua kimataifa takribani miaka 7 hadi 8 mfululizo lakini tumeshindwa kufanya vizuri hasa kwenye ligi ya Mabingwa Africa yani hatukua tunafika popote zaidii ya tunapofeli kuangukia Shirikisho kila mwaka kwa miaka 7.

Lakini wenzetu Simba Sc ndani ya miaka miwili tu wamefuzu hadi Makundi ya Ligi ya Mabingwa Africa hatua ambayo sisi yanga imetushinda kwa Miaka 7 mfululizo.

Ukweli utasimama tu, wenzetu Simba kwenye level ya kimataifa Hatuwawezi na ni makosa makubwa sana sisi kujilinganisha nao katka level za CAF.

Ona sasa kwa sasa Simba wanaongoza kundi D lenye timu za Al ahly, As Vita Club na JS Saoura iyo sio kitu cha mchezo mchezo, kwenye ili yanga tumefumbwa midomo kabisaaa, Ebu tuwaache awa jamaa kuwafatilia kwani kufanya ivo ni kupoteza muda tu, sisi tujiandae tu kucheza ligi na wakina Ndanda, Stand,Mwadui nk.

Hivi ni mchezaji wetu gani pale yanga sasa hivi tumpeleke Simba aingie kwenye kikosi cha kwanza moja kwa moja,mm simuoni yaani labda yondani napo mpaka yule Uchebe amuhurumie maana kwenye Wawa,Nyoni na Juuko siioni nafasi ya Yondani.

Sasa mimi nadhani wanayanga wenzangu tuwaheshimu Simba hatua waliyopo sisi tulishindwa kufika hata pale tulipokua bora, yaani mara ya mwisho ni 1998 napo tuliambulia pointi 2 wakati wenzetu mechi yao moja tu tayari wana points 3.

Namaliza kwa kusema wanayanga tuache kujitoa ufahamu katika hili.
Waaambie hao.... Asante kwakuwa mkweli

Jr[emoji769]
 
Naitwa Charles Mafuru shabiki na mwanachama wa Young Africans,
Nikiwa na akili timamu na pasipo kushawishiwa na yeyote pia nikiwa kama mwanasoka, sio dhambi wala sio ujinga kutoa mtazamo wangu.


Nimeamua kuandika haya kutokana na wanayanga wenzangu wengi kuendelea kuibeza Simba katika hatua walofikia kimataifa.

Sisi Yanga tumekua kimataifa takribani miaka 7 hadi 8 mfululizo lakini tumeshindwa kufanya vizuri hasa kwenye ligi ya Mabingwa Africa yani hatukua tunafika popote zaidii ya tunapofeli kuangukia Shirikisho kila mwaka kwa miaka 7.

Lakini wenzetu Simba Sc ndani ya miaka miwili tu wamefuzu hadi Makundi ya Ligi ya Mabingwa Africa hatua ambayo sisi yanga imetushinda kwa Miaka 7 mfululizo.

Ukweli utasimama tu, wenzetu Simba kwenye level ya kimataifa Hatuwawezi na ni makosa makubwa sana sisi kujilinganisha nao katka level za CAF.

Ona sasa kwa sasa Simba wanaongoza kundi D lenye timu za Al ahly, As Vita Club na JS Saoura iyo sio kitu cha mchezo mchezo, kwenye ili yanga tumefumbwa midomo kabisaaa, Ebu tuwaache awa jamaa kuwafatilia kwani kufanya ivo ni kupoteza muda tu, sisi tujiandae tu kucheza ligi na wakina Ndanda, Stand,Mwadui nk.

Hivi ni mchezaji wetu gani pale yanga sasa hivi tumpeleke Simba aingie kwenye kikosi cha kwanza moja kwa moja,mm simuoni yaani labda yondani napo mpaka yule Uchebe amuhurumie maana kwenye Wawa,Nyoni na Juuko siioni nafasi ya Yondani.

Sasa mimi nadhani wanayanga wenzangu tuwaheshimu Simba hatua waliyopo sisi tulishindwa kufika hata pale tulipokua bora, yaani mara ya mwisho ni 1998 napo tuliambulia pointi 2 wakati wenzetu mechi yao moja tu tayari wana points 3.

Namaliza kwa kusema wanayanga tuache kujitoa ufahamu katika hili.
Yaani hata kuandika hujui ndio utoe ushawishi. Nenda kwanza Bakita ukajifunze jinsi ya kuandika Kiswahili fasaha ndio uje kutushawishi na hiyo mikia yako.
 
Utajijua mwenyewe,Simba uwezo ni mdogo halafu kuongoza kundi kwa mechi moja haimaanishi wao ni bora kuliko hao wengine,hapo umeonyesha uwezo mdogo sana kwenye kuelewa mambo. Yanga daima mbele Nyuma mwiko. Kaa na huo ukweli wako mchungu
 
Yeye si mwanachama wala shabiki wa Yanga. Ni shabiki wa mikia. Understood!
Nlikwambia zungumzia alichosema sasa mbona upo tofauti na mada? Hata mm naamini sio mshabiki wa yanga, ila nlikuuliza alichosema ni kweli au ni uongo? Ukasema ni uongo ndo nimekwambia sema hilo la ukweli ili tujue ukweli shida ipo wapi mkuu au lugha ngumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina wasiwasi na wewe kama kweli ni Yanga na kama kweli unaufahamu mchezo wa mpira wa miguu...Awali ya yote kama ni mwanachama wa Yanga tuwekee hapa namba ya kadi yako...Yanga imewahi kushiriki kwenye makundi ya klabu bingwa barani Afrika na hata kwenye ligi ya kombe la washindi...Yaani mechi moja tu imechezwa halafu unakuja na hoja kwamba eti Simba inaongoza kundi hapo ni uchambuzi wa kiwango cha chini kabisa...
 
Back
Top Bottom