Ukweli Mchungu: Marehemu Benard Membe hana mchango mkubwa kwenye taifa hili kama alivyokuwa Lyatonga Mrema

Ukweli Mchungu: Marehemu Benard Membe hana mchango mkubwa kwenye taifa hili kama alivyokuwa Lyatonga Mrema

Ishu ni mchango wake kwa taifa letu
Sasa hizo mission alizokuwa anazifanya alikuwa anafanya kwa ajili ya zimbabwe.

Usione timefika hapa tulipo leo,jua kuna watu wanakesha na kupambana kwa jasho na damu hata kuhatarisha maisha yao kwa ajili ya nchi yetu.

Na bahati mbaya huwa hatuambiwi kamwe mission zao walizofanya hata kama wakifa huyo ameajiriwa usalama akiwa na miaka 20 kipindi cha mwalimu na amefanya mission ngum mno ambazo siwezi zielezea hapa

Na mpaka anakufa ni kwamba alikuwa akilitumikia taifa japo wewe kwa jicho lako unaweza kuona alikuwa tu mstaafu au otherwise.
 
Sasa hizo mission alizokuwa anazifanya alikuwa anafanya kwa ajili ya zimbabwe.

Usione timefika hapa tulipo leo,jua kuna watu wanakesha na kupambana kwa jasho na damu hata kuhatarisha maisha yao kwa ajili ya nchi yetu.

Na bahati mbaya huwa hatuambiwi kamwe mission zao walizofanya hata kama wakifa huyo ameajiriwa usalama akiwa na miaka 20 kipindi cha mwalimu na amefanya mission ngum mno ambazo siwezi zielezea hapa

Na mpaka anakufa ni kwamba alikuwa akilitumikia taifa japo wewe kwa jicho lako unaweza kuona alikuwa tu mstaafu au otherwise.
We need vivid examples
 
We need vivid examples
Mchoro mzima wa wapi tuanzie na wapi tumalizie kule congo mpaka tukamtoa M23 kule DRC mchoro ote ulipangwa na huyo mzee mastermind akiwa kama waziri wa mambo ya nje lakini upande wa pili akiwa commando na jasusi hatari mno.

Huyo bwana ndo alifanikisha safari za Bush/Obama/Clinton na wengine wengi kuja Tanzania nini walileta na miradi gani waliifanikisha kwa kuja kwao hiyo nakuachia home work.

Amewezesha miradi mingi sana ya uwekezaji toka makampuni ya nje kwa kuwavuta wawekezaji kutoka nchi zilizoendelea kwa kuwashawishi kuja kuwekeza kama vile Halotel nk

Kwa upande wa mission nmekupa moja ila za ndani ni nyingi na nyingi zinabakia kuwa siri na zote alizifanikisha kwa 95% mpaka wakampachika jina la jasusi mbobevu
 
Duh wabongo kwa kusimanga Marehemu tupo vizuri
 
Chuki bana, huyu ni moja ya watumishi wakubwa wa idara ya usalama toka enzi za Mwalimu. Mapungufu kila mtu anayo!
 
Mchoro mzima wa wapi tuanzie na wapi tumalizie kule congo mpaka tukamtoa M23 kule DRC mchoro ote ulipangwa na huyo mzee mastermind akiwa kama waziri wa mambo ya nje lakini upande wa pili akiwa commando na jasusi hatari mno.

Huyo bwana ndo alifanikisha safari za Bush/Obama/Clinton na wengine wengi kuja Tanzania nini walileta na miradi gani waliifanikisha kwa kuja kwao hiyo nakuachia home work.

Amewezesha miradi mingi sana ya uwekezaji toka makampuni ya nje kwa kuwavuta wawekezaji kutoka nchi zilizoendelea kwa kuwashawishi kuja kuwekeza kama vile Halotel nk

Kwa upande wa mission nmekupa moja ila za ndani ni nyingi na nyingi zinabakia kuwa siri na zote alizifanikisha kwa 95% mpaka wakampachika jina la jasusi mbobevu
Lakini kafia hapo kairuki, kiwepesiii kabisaa.
Sasa nguvu na ujuzi huo angetumia hata kuepuka kifo km hicho.
 
Je majukumu yake yalikua yanamuwezesha kufanya hadharani kama bangi zako zinavyokutuma?
Bwashee mbona povu, imepiga kwenye mshono? Kwani yeye na Mrema walikuwa na tofauti gani? Wote mashushu, wote wakawa wabunge, wote wakawa mawaziri. Hoja yako inakosa mashiko
 
Lakini kafia hapo kairuki, kiwepesiii kabisaa.
Sasa nguvu na ujuzi huo angetumia hata kuepuka kifo km hicho.
Alikufa muhammad (S.A.W) atakuwa membe?
Hapa hatuzungumzii atakufa au hatokufa bali tunazungumzia mchango wake kwa taifa letu
 
Naona tribute zimekuwa nyingi sana . Lakini mbona mnasahau ule upigaji kupitia ubalozi wa Libya?

Mrema alizuia dhahabu za taifa letu zisiibiwe.

Alisema siku saba majambazi wakabizi bunduki polizi na walikabidhi.

Tuwe wakweli juu ya mashujaa wa taifa letuView attachment 2619462
Sidhani kama ni sahihi kusikia fulani kafa halafu wewe unasema hakuacha mchango wowote kwa taifa. It is simply incorrect and unexpected. Tuchukulie kuwa unashangilia hicho kifo? Kwani amekwenda kuzuia kifo chako? Kwa hata asiyemwamini Mungu anajua kuwa hakuna mtu ajuaye siku ydke ya kufa na wala kifo chake kitatokeaje.
 
Huko alipo naona hata marehemu anapaliwa au kujing'ata maana siyo kwa nyuzi hizi za leo....
Kila mtu Membe Membe mpaka huku kwetu Nanjilinji...
 
Mlema.alifanya makubwa kwenye taifa hili,alijichanganya tu alipoenda NCCR/TLP .
 
Kama Mh SSH ametambua mchango wa Jasusi Mbobezi wa miaka 40 serikalini wewe ni nani?
 
Back
Top Bottom