Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka kila mbuzi hula kulingana na urefu wa kamba yake.Naona tribute zimekuwa nyingi sana . Lakini mbona mnasahau ule upigaji kupitia ubalozi wa Libya?
Mrema alizuia dhahabu za taifa letu zisiibiwe.
Alisema siku saba majambazi wakabizi bunduki polizi na walikabidhi.
Tuwe wakweli juu ya mashujaa wa taifa letuView attachment 2619462
Membe hatasahulika soon,Duh wabongo kwa kusimanga Marehemu tupo vizuri
Yani mkuu, Kuna damu iliingia nchini anzia 2016 hivi.. hadi leo haijatoka..Tumekuwa taifa la ki sadist sadist hivi, wasifu wa mtu watu wanachukia huo si ndio uchawi wenyewe sasa
Wachaaa wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alikufa muhammad (S.A.W) atakuwa membe?
Hapa hatuzungumzii atakufa au hatokufa bali tunazungumzia mchango wake kwa taifa letu
Na hyo damu imekuwa ka kirusi flani hivi kinachoambukiza chukiYani mkuu, Kuna damu iliingia nchini anzia 2016 hivi.. hadi leo haijatoka..
Ukiwa waziri kwa miaka mingi unakosaje mchango katika taifa?Oyaa this is non sense kwan lazima awe na mchango mkubwa, ww kwa taif ili unae mchango gani kaka?? Guys plz focus on your problems kwnza achanen na nyuzi za kipuuzi!
Sorry Kama nimekosea
Kwa mfano yule mkuchika ana mchango gani kwa taifa. Au wasiraUkiwa waziri kwa miaka mingi unakosaje mchango katika taifa?
Genge la msoga ndo linamtukuza kupitia kwa samiaNaona tribute zimekuwa nyingi sana . Lakini mbona mnasahau ule upigaji kupitia ubalozi wa Libya?
Mrema alizuia dhahabu za taifa letu zisiibiwe.
Alisema siku saba majambazi wakabizi bunduki polizi na walikabidhi.
Tuwe wakweli juu ya mashujaa wa taifa letuView attachment 2619462
Kifo ni njia ya kiumbe chochote kilichopewa uhadi na mola wetu. Siyo tembo, wala nzi wala panya wala watu wazuri au watu washamba wote wataishia kwenye kifo. Kauli za "Watu wazuri hawafi" au "Mungu kamaliza ubishi" siyo maneno ya kistaarabu kutoka mdomoni mwa kiongozi kwani yanapoanza kuwarudi inakuwa wote wanaonekana ni wapumbavu zaidi ingawa ndio wana nguvu serikalini kwetu, na hivyo kuifanya serikali yetu ya kipumbavu pia.Naona leo utakesha ukisheherekea kifo cha membe. Sukumagang hatimae leo mmepata faraja.
Nyambaff