Abby Uladu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 2,194
- 4,549
- Thread starter
- #21
Na bay saidoYah,
Ni kama yanga ilivyofanya bila Feisal
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bay saidoYah,
Ni kama yanga ilivyofanya bila Feisal
Kwa siasa za timu za Kariakoo hilo linawezekana mkuu, kwani Mkude walikuwa na mahitaji naye kivile?Nitakuwa wa mwisho kuamini kama yanga wanataka kumsajiri chama maana namba anayo cheza yeye wapo wengi pale
Huyo chama labda akajaribu bahati huko Azam kwa waramba vijiti
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Bro hii kazi Nina miaka miwili sasa nilikuwa nafanya uchambuzi Hadi redio seroul ya ruvuma kuleabby uchambuzi umeanza lini acha uongo uongo
Sahihi ila Zama zinabadilika na kama unavyojua chama akiwa Tanzania hataki kuanzia benchi unafikiri yanga wataweza kummudi wa tabia zake uchwara kama hizoKwa siasa za timu za Kariakoo hilo linawezekana mkuu, kwani Mkude walikuwa na mahitaji naye kivile?
Hahaha utopolo wanakukwazaUliposema Jr. nikahisi ni kipa wa Yanga aise. Kidogo niseme sichungulii magame hayo tena. Kajama mi nakapenda. Kumbe mshikaji wa Simba
Job true true [emoji16][emoji16] ausioKila la kheri kwake.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Ndio Mkuu wangu.
Uto= UtoboeHahaha utopolo wanakukwaza
Rasmi nataka nianze kuwapa madini Jamii forum kwenye soka
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
NAKAZIAKama uyasemayo ni kweli basi Simba ishinde mechi zake bila Chama amani itakuwepo, ikitokea Simba ikafungwa au kutoa sare bila Chama kuwepo Kuna mambo matatu lazima yatokee.
1.Kocha kufukuzwa
2. Mangungu kupewa shinikizo lakuachia
madaraka.
3.Chama kurudishwa kundini haraka, ili kutuliza upepo, kitu ambacho Benchika hatakubali na kuondoka.
4.Suluhisho pekee ni Simba kushinda mechi zake bila Chama kuwepo uwanjani.
Ahsante mkuu ila hakikisha na wewe upo right Kila angleAjitumi=hajitumi
Ajishughulishi=hajishughulishi.
Zingatieni uandishi mzuri ili kuleta ladha na hamu ya kusoma.
Inawezekana ulichoandika ni cha kweli ila uandishi mbovu hupunguza ladha.
Tema ukweliUto= Utoboe
Mdudu sijui nini,kiungo cha msosi jina kapuni
Naam boss
Simba wala hawana shida naye Sana ispokuwa mkataba wake ni wa Pesa ndefu so kuna kizungumtuti cha kumvunjia mkataba ndio maana alipotaka kuvunja mkataba wakashkuru gafla chama akabadili gia angani akaanza vitukoViongozi watafute mbadala wa huyo "Chawa", mchezaji hawezi kuwa mkubwa kuliko timu.
Tena uloshiba kwa herufi kubwaaaa