Ukweli mchungu Ni kuwa Tundu Lisu Hawezi Kuwa Rais Wa Nchi Hii, Hana sifa za kiuongozi za kuwa Mkuu Wa nchi

Hivi kwenye kaghetto kako utakuwa umeandika CHADEMA makenchini.Unaipenda sana.
Nitakipendaje chama Kama hicho kilicho kosa Sera na ajenda za kueleweka? Mtu mwenye Akili Timamu utaanzaje kujiunga mkono au kushabikia chama Kama Chadema? CCM ndio Tumaini la wanyonge na Tegemeo letu vijana tunaojitambua
 

Akili ndogo hujadili watu baadala ya issues.
 
Akili ndogo hujadili watu baadala ya issues.
Issues Ni sifa za mtu anayeweza kuwa kiongozi na vipi mtu anaweza asiwe kiongozi hasa ngazi ya Urais asipokuwa na sifa hizo, mfano ndio huyo Lisu kuwa hawezi Kuwa Rais hapa Tanzania na hata asingezaliwa hapa Tanzania bado asingepata Urais popote na katika nchi yoyote Ile yenye watu wanaojitambu
 
Huyo mtu wenu hata Mbowe hakutaka awe mgombea wenu Ndio maana kwenye kampeni zake alitengwa hata na Mwenyekiti wake,
Nani alikuambia hayo maneno yenye uongo?Ukaacha kumfuatilia "maliyemu" anasemaje ukawa umetega sikio CHADEMA wanasemaje?Huo ni umbeya.Hiyo tabia acha.Ukiendelea nayo hautahama hapo kwa shemeji yako.
 
Nani alikuambia hayo maneno yenye uongo?Ukaacha kufuatilia "maliyemu" ukawa umetega sikio CHADEMA wanasemaje?Huo ni umbeya.Hiyo tabia acha.Ukiendelea nayo hautahama hapo kwa shemeji yako.
uliona Mbowe akiambatana na huyo mtu wenu kwenye kampeni Kama ilivyokuwa uchaguzi wa 2015 wakati wa mh lowasa au 2010 wakati wa Dr Slaa? Kwa ufupi Ni kuwa hata Mbowe mwenyewe hamkubali jamaa maana anajuwa jamaa Hana sifa za Urais Wala hawezi Kuwa Rais Wa Nchi hii
 
Kaa utulie basi.Hadi umechachamaa kama umeambiwa umedokoa kichwa cha samaki kwenye chungu!
 
Kaa utulie basi.Hadi umechachamaa kama umeambiwa umedokoa kichwa cha samaki kwenye chungu!
Mimi sijachachamaa Ila nimewaambia ukweli ambao Ni mchungu kwenu, Najuwa mnachanganyikiwa hasa baada ya kuwa mnajuwa ukweli kuwa huko kwenu mna uhaba mkubwa wa viongozi ndio sababu ya kuokotezana okotezana hasa baada ya wenye akili kuwakimbia na kuwaacha wenyewe mkihangaika
 
Na ndiyo maana wakitoka CDM wanapewa uongozi huko jalalani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…