Ukweli mchungu Ni kuwa Tundu Lisu Hawezi Kuwa Rais Wa Nchi Hii, Hana sifa za kiuongozi za kuwa Mkuu Wa nchi

Ukweli mchungu Ni kuwa Tundu Lisu Hawezi Kuwa Rais Wa Nchi Hii, Hana sifa za kiuongozi za kuwa Mkuu Wa nchi

Hapana sitaki kupewa maana hata umri wa kugombea nafasi hiyo sijafikisha, pia ndani ya CCM tuna hazina ya viongozi wengi baada ya mama kumaliza muda wake 2030 kwa utumishi wake uliotukuka

Ww ni mzee ila unajifanya kijana, na kama ni kijana kweli basi utakuwa na mawazo ya kizee ile mbaya.
 
Urais nizaidi ya hayo, Kujuwa kwake Sheria siyo sufa pekee ya yeye kuwa Mkuu Wa nchi, anakosa vitu vingi Sana anavyopaswa kuwa navyo mkuu wa nchi, Akae na aendelee kujifunza kwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani
Yaani Lisu ajifunze kwa huo uchafu wa CCM?
 
Mtoabmada upo sahihi kabisa inagawa ni kweli Lisu ana karama ya uongozi lakini kuwa Rais hizo sifa hana .Anajiamini kupita kiasi na kwa huluka yake na maamuzi kumshinda hadi Jpm ni zaidi ya Simba maana haogopi mtu.Sasa kwa Hali ya uongozi hyo Hali sio nzuri .

..lakini Lissu amesema mara nyingi kwamba hataki uraisi ambao utamfanya awe sawa na mungu mtu.

..uraisi anaoutaka Lissu ni ule ambao umewekewa uwigo wa uwajibikaji kwa bunge na wananchi.

..kwa mfano, Lissu hataki kuwa raisi mwenye kinga ya kutoshtakiwa.

..mtoa mada anakosea kumpima Lissu ktk aina ya uraisi ambao ameshaeleza kwamba hautaki.
 
Tindo nakwambia kuwa kwanza uwe na adabu, pili ukweli Ni kuwa Ni kwa vile tu huko mna uhaba wa viongozi wenye sifa ndio maana mnaona huyo mtu wenu ana unafuu japo kila mtu anajuwa kuwa hafai hata kidogo
Yaani Lisu ajifunze kwa huo uchafu wa CCM?
 
Ww ni mzee ila unajifanya kijana, na kama ni kijana kweli basi utakuwa na mawazo ya kizee ile mbaya.
Hayo Ni mawazo yako, lakini mawazo ya mamilioni ya watanzania Ni kuwa Tundu Lisu Hawezi Kuwa Rais Wa Nchi Hii, Ndio sababu hata alipojaribu kugombea aliishia kuvuna aibu asiyoweza kuisahau
 
..lakini Lissu amesema mara nyingi kwamba hataki uraisi ambao utamfanya awe sawa na mungu mtu.

..uraisi anaoutaka Lissu ni ule ambao umewekewa uwigo wa uwajibikaji kwa bunge na wananchi.

..kwa mfano, Lissu hataki kuwa raisi mwenye kinga ya kutoshtakiwa.

..mtoa mada anakosea kumpima Lissu ktk aina ya uraisi ambao ameshaeleza kwamba hautaki.
Hawezi kuupata Urais wa aina yoyote labda wa hapo ufipani
 
Tindo nakwambia kuwa kwanza uwe na adabu, pili ukweli Ni kuwa Ni kwa vile tu huko mna uhaba wa viongozi wenye sifa ndio maana mnaona huyo mtu wenu ana unafuu japo kila mtu anajuwa kuwa hafai hata kidogo

Narudia tena,huyo ni uchafu kama uchafu mwingine, ww ndio una muda wa kusujudia viongozi wanaongia madarakani kwa chaguzi za kihayawani, kwasababu wanakuhakikishia familia yako Kupata choo laini. Huko upinzani kuna viongozi kibao tena wenye uwezo, ila ww unajua lisu pekee ndio kiongozi wa upinzani, sasa hilo ni kosa lako wala sio la upinzani.
 
Hayo Ni mawazo yako, lakini mawazo ya mamilioni ya watanzania Ni kuwa Tundu Lisu Hawezi Kuwa Rais Wa Nchi Hii, Ndio sababu hata alipojaribu kugombea aliishia kuvuna aibu asiyoweza kuisahau

Aibu itoke wapi kwa uchaguzi wa kihayawani vile? Kama huamini kama ulikuwa uchaguzi wa kihayawani, ingia kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi kama utapata matokeo ya uchaguzi ule kama sheria itakavyo.
 
Narudia tena,huyo ni uchafu kama uchafu mwingine, ww ndio una muda wa kusujudia viongozi wanaongia madarakani kwa chaguzi za kihayawani, kwasababu wanakuhakikishia familia yako Kupata choo laini. Huko upinzani kuna viongozi kibao tena wenye uwezo, ila ww unajua lisu pekee ndio kiongozi wa upinzani, sasa hilo ni kosa lako wala sio la upinzani.
Kuna viongozi gani huko wewe mvivu wa kufikiri? Huko Ni mkusanyiko wa wasaka tonge tu na ujanja ujanja wakutafuna Ruzuku za chama, ndio maana watanzania walishawapuuza
 
Aibu itoke wapi kwa uchaguzi wa kihayawani vile? Kama huamini kama ulikuwa uchaguzi wa kihayawani, ingia kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi kama utapata matokeo ya uchaguzi ule kama sheria itakavyo.
Niingie kufanya Nini badala ya kuangalia kazi ya kutukuka inayofanywa na mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania wanyonge mama Samia suluhu Hassani
 
Niingie kufanya Nini badala ya kuangalia kazi ya kutukuka inayofanywa na mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania wanyonge mama Samia suluhu Hassani

Haya ni mawazo ya mzee anayetegemea mbeleko ya viongozi kuendesha maisha yake hapa mjini.
 
Ndugu zangu huo ndio ukweli kuwa Tundu Lisu Hawezi Kuwa Rais Wa Nchi Hii ya Tanzania, Hata Kama angezaliwa kabla ya Uhuru na kuwepo wakati huo na ikatokea uchaguzi, bado Lisu asingepewa nafasi ya kuwa Mkuu Wa nchi Hii ya Tanzania, kwa kuwa anakosa sifa za kiuongozi anazopaswa kuwa nazo Mkuu Wa nchi

Tundu Lisu Ni Mtu asiye na kifua, busara, Wala hekima za kiuongozi, Hana Subira Wala uvumilivu wa Jambo lililo katika kifua chake, Amejaa mihemuko na jazba kubwa Sana, Amejaa ujana ambao tunasema anawaka Kama Moto wa petroli mahali panapohitaji busara na hekima za kiuongozi, Ni mtu ambaye Hawezi kuwaunganisha watu wa makundi yote, Rika zote, vyama vyote na wenye mitizamo na mielekeo tofauti ya kisera na kiitikadi katika ujenzi wa Taifa letu, kwake yeyote atakayetofautiana Naye Basi huyo mtu ataitwa Hana akili au Ni mpumbavu, Ndio maana ya kauli zake za kusema hayo Ni Maccm au policcm

Lisu amenyimwa kipawa na uwezo wa kuweza kuwaunganisha watu hata anaotofautiana nao maana asio elewana nao kimtizamo au kisera au kiitikadi anawaona akili hazipo kichwani, Ni mtu anayeweza kutoa hata Siri za Taifa letu kwa kujuwa kuwa hiyo ndio demokrasia yenyewe au uwazi bila kujari kuwa Kuna Mambo yanapaswa kubaki Siri za Taifa kwa usalama wa Taifa letu,Ndio maana Lisu anaweza kutoka kufanya mazungumzo na Mtu ambayo yanapaswa kufanywa Siri kwa muda fulani wakati baadhi ya mambo yanasubiliwa kukamilika lakini yeye akitoka hapo akabanwa kidogo utakuta anaanza kuyaongea yote hadharani ili kuwafurahisha watu wake.

Lisu Ni Mtu ambaye Hana sifa ya kuviongoza vyombo vyetu vya ulinzi na usalama Kama Amiri Jeshi mkuu ,maana Hana busara Wala hekima ya kuweza kuviunganisha na kuviweka pamoja na kuvijengea morali kutokana na kauli zake za dharau na kianaharakati harakati kwa kila Jambo

Lisu Hawezi kutujengea umoja na mshikamano wa kitaifa zaidi anaweza kulisambalatisha Taifa letu ndani ya muda mfupi Sana, maana kwake yeye anahisi anajuwa na kufahamu kila kitu na haupaswi Wala hapaswi kupingwaa Wala kukosolewa maamuzi yake au kauli zake au mtizamo wake , Ni Rahisi Sana kupandikiza chuki ndani ya Taifa letu kwa kujenga Hisia za sisi na wao yaani Hawa Ni wenzetu na wale siyo wenzetu na hawana akili

Lisu Hawezi utatuzi wa migogoro Wala kuwa mfariji wa Taifa letu kwa kuwa Hana kauli Nzuri afunguapo mdomo wake au kinywa chake,

Lisu hajuwi Ni wakati gani wakuongea na wakati gani wakukaa kimya, hajuwi wakati gani wakujibu na wakati gani wakukaa kimya, hajuwi aongee maneno gani na wakati gani, hajuwi kuwa ukiwa kiongozi mkubwa hupaswi kujibu kila swali la mwandishi au mtu unalojuwa litaleta hisia tofauti au migogoro au chuki fulani au kuhatarisha usalama wa Taifa au kufichua Siri fulani yenye maslahi ya Taifa

Hajuwa Kama kiongozi Kuna wakati wa kukaa kimya kuvuta Subira kuwa mvumilivu kujishusha kusubiri taarifa sahihi , kusema subiri kwanza Hilo Jambo litatolewa ufafanuzi Baadaye kidogo, yeye Lisu anataka ajibu kila kitu hata ambacho hakipaswi kujibiwa na kufahamika kwa wakati huo kwa maslahi mapana ya Taifa letu, Lisu anaweza akataja hata idadi na aina ya silaha zetu, mizinga au ndege Vita na Hadi zinakokaa Kama akiulizwa na waandishi wazungu huko ulaya

Lisu Hafahamu kuwa mdomo wa kiongozi unapaswa kuwa na breki na kuzungumza pale panapohitajika, hajuwi kuwa mdomo wa kiongozi haupaswi kuongea kila kitu hata Kama shangwe zinaunguluma kila Kona ya jukwaa, Hafahamu kuwa mdomo wa kiongozi unapaswa kuwa Kama chujio na siyo kuwa Kama dodoki linalozoa na kunyonya kila kitu na ukilikamua linatoa Tena yote


Lisu Ni mjuaji Sana anayehisi anajuwa kila kitu, anahisi anaweza kila kitu, anahisi hastahili kujifunza kutoka kwa yeyote, anahisi hapaswi kushauriwa na yeyote, anahisi Hakuna darasa jingine au taaluma nyingine zaidi ya madarasa aliyopita na taaluma aliyonayo, anahisi hata walimu wake hawana akili kwa Sasa ya kumueleza kitu, anahisi yeye ndio katiba itembeayo na maktaba ya kila kitu,hajuwi kuwa uongozi na kiongozi Kuna wakati unapaswa ukubali mawazo ya wenzio kwa kupunguza kidogo kutoka uliyokuwa unayaamini awali na kuyasimamia,

Lisu abaki kuwa mwanaharakati na mtu anayepaswa kuongozwa, Lisu hapaswi kuwa ndio top, Hapaswi kuwa wamwisho kimaamuzi Anapaswa kuwa na mtu juu yake Aliyejaa hekima busara upendo unyenyekevu uvumilivu Subira utu uzima na moyo mkubwa ili kumtuliza muda wote Na kumuelekeza kwa hekima na busara bila mikwaruzano, maana naamini Lisu Hawezi kubadilika hivyo alivyo kwa kuwa ndivyo alivyo zaliwa,

Kazi iendeleee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka

Lucas Mwashambwa kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Buku 7 sio hadhi yako kabisa . nitumie namba yako nikuunganishe na yule utopolo toka zenji mgawa vyeo . wewe unastahili ukuu wa wilaya.
 
Ndugu zangu huo ndio ukweli kuwa Tundu Lisu Hawezi Kuwa Rais Wa Nchi Hii ya Tanzania, Hata Kama angezaliwa kabla ya Uhuru na kuwepo wakati huo na ikatokea uchaguzi, bado Lisu asingepewa nafasi ya kuwa Mkuu Wa nchi Hii ya Tanzania, kwa kuwa anakosa sifa za kiuongozi anazopaswa kuwa nazo Mkuu Wa nchi

Tundu Lisu Ni Mtu asiye na kifua, busara, Wala hekima za kiuongozi, Hana Subira Wala uvumilivu wa Jambo lililo katika kifua chake, Amejaa mihemuko na jazba kubwa Sana, Amejaa ujana ambao tunasema anawaka Kama Moto wa petroli mahali panapohitaji busara na hekima za kiuongozi, Ni mtu ambaye Hawezi kuwaunganisha watu wa makundi yote, Rika zote, vyama vyote na wenye mitizamo na mielekeo tofauti ya kisera na kiitikadi katika ujenzi wa Taifa letu, kwake yeyote atakayetofautiana Naye Basi huyo mtu ataitwa Hana akili au Ni mpumbavu, Ndio maana ya kauli zake za kusema hayo Ni Maccm au policcm

Lisu amenyimwa kipawa na uwezo wa kuweza kuwaunganisha watu hata anaotofautiana nao maana asio elewana nao kimtizamo au kisera au kiitikadi anawaona akili hazipo kichwani, Ni mtu anayeweza kutoa hata Siri za Taifa letu kwa kujuwa kuwa hiyo ndio demokrasia yenyewe au uwazi bila kujari kuwa Kuna Mambo yanapaswa kubaki Siri za Taifa kwa usalama wa Taifa letu,Ndio maana Lisu anaweza kutoka kufanya mazungumzo na Mtu ambayo yanapaswa kufanywa Siri kwa muda fulani wakati baadhi ya mambo yanasubiliwa kukamilika lakini yeye akitoka hapo akabanwa kidogo utakuta anaanza kuyaongea yote hadharani ili kuwafurahisha watu wake.

Lisu Ni Mtu ambaye Hana sifa ya kuviongoza vyombo vyetu vya ulinzi na usalama Kama Amiri Jeshi mkuu ,maana Hana busara Wala hekima ya kuweza kuviunganisha na kuviweka pamoja na kuvijengea morali kutokana na kauli zake za dharau na kianaharakati harakati kwa kila Jambo

Lisu Hawezi kutujengea umoja na mshikamano wa kitaifa zaidi anaweza kulisambalatisha Taifa letu ndani ya muda mfupi Sana, maana kwake yeye anahisi anajuwa na kufahamu kila kitu na haupaswi Wala hapaswi kupingwaa Wala kukosolewa maamuzi yake au kauli zake au mtizamo wake , Ni Rahisi Sana kupandikiza chuki ndani ya Taifa letu kwa kujenga Hisia za sisi na wao yaani Hawa Ni wenzetu na wale siyo wenzetu na hawana akili

Lisu Hawezi utatuzi wa migogoro Wala kuwa mfariji wa Taifa letu kwa kuwa Hana kauli Nzuri afunguapo mdomo wake au kinywa chake,

Lisu hajuwi Ni wakati gani wakuongea na wakati gani wakukaa kimya, hajuwi wakati gani wakujibu na wakati gani wakukaa kimya, hajuwi aongee maneno gani na wakati gani, hajuwi kuwa ukiwa kiongozi mkubwa hupaswi kujibu kila swali la mwandishi au mtu unalojuwa litaleta hisia tofauti au migogoro au chuki fulani au kuhatarisha usalama wa Taifa au kufichua Siri fulani yenye maslahi ya Taifa

Hajuwa Kama kiongozi Kuna wakati wa kukaa kimya kuvuta Subira kuwa mvumilivu kujishusha kusubiri taarifa sahihi , kusema subiri kwanza Hilo Jambo litatolewa ufafanuzi Baadaye kidogo, yeye Lisu anataka ajibu kila kitu hata ambacho hakipaswi kujibiwa na kufahamika kwa wakati huo kwa maslahi mapana ya Taifa letu, Lisu anaweza akataja hata idadi na aina ya silaha zetu, mizinga au ndege Vita na Hadi zinakokaa Kama akiulizwa na waandishi wazungu huko ulaya

Lisu Hafahamu kuwa mdomo wa kiongozi unapaswa kuwa na breki na kuzungumza pale panapohitajika, hajuwi kuwa mdomo wa kiongozi haupaswi kuongea kila kitu hata Kama shangwe zinaunguluma kila Kona ya jukwaa, Hafahamu kuwa mdomo wa kiongozi unapaswa kuwa Kama chujio na siyo kuwa Kama dodoki linalozoa na kunyonya kila kitu na ukilikamua linatoa Tena yote


Lisu Ni mjuaji Sana anayehisi anajuwa kila kitu, anahisi anaweza kila kitu, anahisi hastahili kujifunza kutoka kwa yeyote, anahisi hapaswi kushauriwa na yeyote, anahisi Hakuna darasa jingine au taaluma nyingine zaidi ya madarasa aliyopita na taaluma aliyonayo, anahisi hata walimu wake hawana akili kwa Sasa ya kumueleza kitu, anahisi yeye ndio katiba itembeayo na maktaba ya kila kitu,hajuwi kuwa uongozi na kiongozi Kuna wakati unapaswa ukubali mawazo ya wenzio kwa kupunguza kidogo kutoka uliyokuwa unayaamini awali na kuyasimamia,

Lisu abaki kuwa mwanaharakati na mtu anayepaswa kuongozwa, Lisu hapaswi kuwa ndio top, Hapaswi kuwa wamwisho kimaamuzi Anapaswa kuwa na mtu juu yake Aliyejaa hekima busara upendo unyenyekevu uvumilivu Subira utu uzima na moyo mkubwa ili kumtuliza muda wote Na kumuelekeza kwa hekima na busara bila mikwaruzano, maana naamini Lisu Hawezi kubadilika hivyo alivyo kwa kuwa ndivyo alivyo zaliwa,

Kazi iendeleee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka

Lucas Mwashambwa kijana mzalendo na mpenda nchi yangu

Upo sahihi kabisa, ni kama Miguna Miguna wa Kenya aliyepo uhamishoni Canada!
 
Akili ndogo hujadili watu baadala ya issues. Unamjadili Lissu ambaye hayupo nchini , unaacha kujadili mfumuko wa Bei ya vyakula. Wewe tukuite Nani?.

Yani kwako Lissu anakuumiza kuliko mfumuko wa Bei. Unashida kwenye system yako.
Bro hili ni litaulo la kudekia.
Linadekia uchafu wa mwenye nyumba na kukamulia maji machafu barazani mwa jirani (TL)
 
Back
Top Bottom