Ukweli mchungu ni kuwa Yanga havuki hatua ya makundi

Ukweli mchungu ni kuwa Yanga havuki hatua ya makundi

Ndugu zangu WAna yanga pamoja ya kuwa tumemfunga geita gold goli tatu baada ya mapumziko na simu nyingi kwa viongozi WA geita ila bado ukweli kazima usemwe ya kuwa kuwa timu yetu itaishia MAKUNDI tu na Sio vinginevyo...
Hii post yako inatusaidia nini?

Ni sawa na kusema umeota shule fulani haitafaulisha wakati wanafunzi wapo wanaendelea na masomo.

Sioni jipya sana sana utakuwa umewakatisha tamaa!
 
Ningependa kuona Yanga na Simba zote zinaingia robo itakuwa ushindi kwa soka letu na ukweli tunahitaji sana kufanya hivyo.

Taratibu tuchukue nafasi ya Kongo kwenye ukanda huu wa afrika mashariki na kati,tukienda na nusu hii Sasa ni bonus.

NB: Mimi shabiki wa yanga
 
Jamani ndugu zangu wanasimba ukweli mchungu ni kwamba hatuvuki hatua ya makundi maana pamoja na kwamba tumemfunga Vipers home and away tusidhani tutamfunga na Horoya kwa mkapa ukiachilia mbali yule Raja casablanca ambae atatupiga dazani tukienda arabuni. Faken
Ukimaliza kujifariji, kaa chini urudie kusoma uzi kwa makini
 
Ndugu zangu WAna yanga pamoja ya kuwa tumemfunga geita gold goli tatu baada ya mapumziko na simu nyingi kwa viongozi WA geita ila bado ukweli kazima usemwe ya kuwa kuwa timu yetu itaishia MAKUNDI tu na Sio vinginevyo...
Pole kwa frustration baada ya yanga kurudisha goli na kushinda tatu
Ndo game lilivyo
 
Ndugu zangu Wanayanga pamoja ya kuwa tumemfunga Geita Gold goli tatu baada ya mapumziko na simu nyingi kwa viongozi wa Geita ila bado ukweli kazima usemwe ya kuwa kuwa timu yetu itaishia MAKUNDI tu na Sio vinginevyo

Yanga tuna point 7 kibindoni huku tukiwa nafasi ya pili lakin kwa game zilizobaki bado hatuwez kushinda na kutoka na points 3 mbele ya mazembe ambae alishajeruhiwa mara mbili na timu kutoka tunusia

Pia hawa jamaa WA Tunisia hawawezi kufungwa na kina moloko na mzize sijui musonda , tusidanganyane.

That's why eng.hersi alishasema kuvuka MAKUNDI ni ziada tu

Lakin malengo ya yanga kwa mwaka huu yalishatimia siku nyingi huko kwingine ni kiherehere au bonus.

Tunashukuru kwa kushiriki ndugu zetu Wana jangwani tujipange na champion mwishoni mwa mwaka.

Nimeandika haya kwa kutumia weledi mkubwa sana na jicho kali mno.

Hifadhi hii post mtakuja kunikumbuka ndugu zangu

Wanapita tp mazembe
Na us monastir

Mwisho WA siku

Us monastir 14pts
Mazembe 9pts
Yanga (bahasha FC) 7pts
Real BAMAKO 2pts
yanga anaongoza hili kundi,huo ndo ukweli mchungu.
 
Kipindi msimu unaanza

"Yanga msahau kuhusu ubingwa kabisa" sasa hivi gape ni point 8

" Yanga inabebwa ngoja mechi za kimataifa zianze " zilipoanza sasa michuano hiyo ni myepesi.

" Mazembe hawezi fungwa na Yanga " baada ya mechi
mazembe hii sio mazembe Ile.

" Bamako anakuja kumpiga Yanga hapa kwa mkapa" baada ya mechi Bamako hana tofauti na ruvu shooting.

Wana Simba tutaacha kujifariji lini? Mpira ni uwanjani na sio mapambio .
 
Kipindi msimu unaanza

"Yanga msahau kuhusu ubingwa kabisa" sasa hivi gape ni point 8

" Yanga inabebwa ngoja mechi za kimataifa zianze " zilipoanza sasa michuano hiyo ni myepesi.

" Mazembe hawezi fungwa na Yanga " baada ya mechi
mazembe hii sio mazembe Ile.

" Bamako anakuja kumpiga Yanga hapa kwa mkapa" baada ya mechi Bamako hana tofauti na ruvu shooting.

Wana Simba tutaacha kujifariji lini? Mpira ni uwanjani na sio mapambio .
Yule Kiongozi wao mstaafu aliyewaita mbumbumbu mashabiki wa aina hii, hakika aliwaza mbali sana.
 
Ndugu zangu Wanayanga pamoja ya kuwa tumemfunga Geita Gold goli tatu baada ya mapumziko na simu nyingi kwa viongozi wa Geita ila bado ukweli kazima usemwe ya kuwa kuwa timu yetu itaishia MAKUNDI tu na Sio vinginevyo

Yanga tuna point 7 kibindoni huku tukiwa nafasi ya pili lakin kwa game zilizobaki bado hatuwez kushinda na kutoka na points 3 mbele ya mazembe ambae alishajeruhiwa mara mbili na timu kutoka tunusia

Pia hawa jamaa WA Tunisia hawawezi kufungwa na kina moloko na mzize sijui musonda , tusidanganyane.

That's why eng.hersi alishasema kuvuka MAKUNDI ni ziada tu

Lakin malengo ya yanga kwa mwaka huu yalishatimia siku nyingi huko kwingine ni kiherehere au bonus.

Tunashukuru kwa kushiriki ndugu zetu Wana jangwani tujipange na champion mwishoni mwa mwaka.

Nimeandika haya kwa kutumia weledi mkubwa sana na jicho kali mno.

Hifadhi hii post mtakuja kunikumbuka ndugu zangu

Wanapita tp mazembe
Na us monastir

Mwisho WA siku

Us monastir 14pts
Mazembe 9pts
Yanga (bahasha FC) 7pts
Real BAMAKO 2pts
Madunduka mnapitia katika wakati mgumu ubora Yanga unawafanya muifuatilie zaidi kuliko timu yenu
 
Ndugu zangu Wanayanga pamoja ya kuwa tumemfunga Geita Gold goli tatu baada ya mapumziko na simu nyingi kwa viongozi wa Geita ila bado ukweli kazima usemwe ya kuwa kuwa timu yetu itaishia MAKUNDI tu na Sio vinginevyo

Yanga tuna point 7 kibindoni huku tukiwa nafasi ya pili lakin kwa game zilizobaki bado hatuwez kushinda na kutoka na points 3 mbele ya mazembe ambae alishajeruhiwa mara mbili na timu kutoka tunusia

Pia hawa jamaa WA Tunisia hawawezi kufungwa na kina moloko na mzize sijui musonda , tusidanganyane.

That's why eng.hersi alishasema kuvuka MAKUNDI ni ziada tu

Lakin malengo ya yanga kwa mwaka huu yalishatimia siku nyingi huko kwingine ni kiherehere au bonus.

Tunashukuru kwa kushiriki ndugu zetu Wana jangwani tujipange na champion mwishoni mwa mwaka.

Nimeandika haya kwa kutumia weledi mkubwa sana na jicho kali mno.

Hifadhi hii post mtakuja kunikumbuka ndugu zangu

Wanapita tp mazembe
Na us monastir

Mwisho WA siku

Us monastir 14pts
Mazembe 9pts
Yanga (bahasha FC) 7pts
Real BAMAKO 2pts
yote kheri
 
Back
Top Bottom