Ukweli mchungu ni kuwa Yanga havuki hatua ya makundi

Ukweli mchungu ni kuwa Yanga havuki hatua ya makundi

Kama kwel unajiamini na huo weledi wako wa hali ya juu, bas toa namba yako ya cm ili tutafutane iyo siku ikifika, ila usipotoa namba basi siwezi hata ku coment chochote make utakua unatafuta kick tu huna lolote
 
post kama hii kaandika shabiki wa tp mazembe Sasa wewe umetranslate na sehemu ya mazembe umeiweka yanga.
 
Ndugu zangu Wanayanga pamoja ya kuwa tumemfunga Geita Gold goli tatu baada ya mapumziko na simu nyingi kwa viongozi wa Geita ila bado ukweli kazima usemwe ya kuwa kuwa timu yetu itaishia MAKUNDI tu na Sio vinginevyo

Yanga tuna point 7 kibindoni huku tukiwa nafasi ya pili lakin kwa game zilizobaki bado hatuwez kushinda na kutoka na points 3 mbele ya mazembe ambae alishajeruhiwa mara mbili na timu kutoka tunusia

Pia hawa jamaa WA Tunisia hawawezi kufungwa na kina moloko na mzize sijui musonda , tusidanganyane.

That's why eng.hersi alishasema kuvuka MAKUNDI ni ziada tu

Lakin malengo ya yanga kwa mwaka huu yalishatimia siku nyingi huko kwingine ni kiherehere au bonus.

Tunashukuru kwa kushiriki ndugu zetu Wana jangwani tujipange na champion mwishoni mwa mwaka.

Nimeandika haya kwa kutumia weledi mkubwa sana na jicho kali mno.

Hifadhi hii post mtakuja kunikumbuka ndugu zangu

Wanapita tp mazembe
Na us monastir

Mwisho WA siku

Us monastir 14pts
Mazembe 9pts
Yanga (bahasha FC) 7pts
Real BAMAKO 2pts
Jicho Kali la wapi!?
 
Ningependa kuona Yanga na Simba zote zinaingia robo itakuwa ushindi kwa soka letu na ukweli tunahitaji sana kufanya hivyo.

Taratibu tuchukue nafasi ya Kongo kwenye ukanda huu wa afrika mashariki na kati,tukienda na nusu hii Sasa ni bonus.

NB: Mimi shabiki wa yanga
Ila kabla ya hapo Kila mtu apambane na timu yake
 
Ndugu zangu Wanayanga pamoja ya kuwa tumemfunga Geita Gold goli tatu baada ya mapumziko na simu nyingi kwa viongozi wa Geita ila bado ukweli kazima usemwe ya kuwa kuwa timu yetu itaishia MAKUNDI tu na Sio vinginevyo

Yanga tuna point 7 kibindoni huku tukiwa nafasi ya pili lakin kwa game zilizobaki bado hatuwez kushinda na kutoka na points 3 mbele ya mazembe ambae alishajeruhiwa mara mbili na timu kutoka tunusia

Pia hawa jamaa WA Tunisia hawawezi kufungwa na kina moloko na mzize sijui musonda , tusidanganyane.

That's why eng.hersi alishasema kuvuka MAKUNDI ni ziada tu

Lakin malengo ya yanga kwa mwaka huu yalishatimia siku nyingi huko kwingine ni kiherehere au bonus.

Tunashukuru kwa kushiriki ndugu zetu Wana jangwani tujipange na champion mwishoni mwa mwaka.

Nimeandika haya kwa kutumia weledi mkubwa sana na jicho kali mno.

Hifadhi hii post mtakuja kunikumbuka ndugu zangu

Wanapita tp mazembe
Na us monastir

Mwisho WA siku

Us monastir 14pts
Mazembe 9pts
Yanga (bahasha FC) 7pts
Real BAMAKO 2pts
Ww unayako tu .....ila sisi tunajua simba na YANGA zinavuka makundi zote
 
Yan tangu nimejua kusoma na kuandika sjawahi kusoma Matapishi km haya wala sjawahi ona mwandiko kinyaa km huu...Mazembe Amfunge nan? Labda akamfunge paka Kengele..😎hao monastir hpa Dar Wanapigwa goli 2 jumapili Kalili hii comment na jina Yanga kufuzu makundi ni mpango wa Mungu..mi ni mwanapaka anayejiita simba nipo palee📌🔨
 
Back
Top Bottom