Nyankurungu2020 JF-Expert Member Joined Oct 2, 2020 Posts 4,170 Reaction score 6,757 Nov 10, 2023 #1 Wanachi wanalia kila kona kwa ugumu wa maisha. Kila kona ufisadi umetamalaki kila kona alafu mtu kama Makonda alete siasa za kwenda kuongea na wafu? Siasa za kupigia viongozi simu viongozi na kuhadaa kutatua kero zao wakati wameshaumia.
Wanachi wanalia kila kona kwa ugumu wa maisha. Kila kona ufisadi umetamalaki kila kona alafu mtu kama Makonda alete siasa za kwenda kuongea na wafu? Siasa za kupigia viongozi simu viongozi na kuhadaa kutatua kero zao wakati wameshaumia.
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Nov 10, 2023 #2 Idadi Hiyo Ya Wananchi Ni Wapi Hapo
F FUSO JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 34,181 Reaction score 41,563 Nov 10, 2023 #3 Huyu hana uwezo wa kusaidia wananchi, yeye anatumia fursa hii kujaribu kujijenga kisiasa.. lazima utasikia anaibuka na ubunge 2025
Huyu hana uwezo wa kusaidia wananchi, yeye anatumia fursa hii kujaribu kujijenga kisiasa.. lazima utasikia anaibuka na ubunge 2025
S Sexless JF-Expert Member Joined Mar 11, 2017 Posts 23,683 Reaction score 55,898 Nov 10, 2023 #4 Makonda ni jambazi lililo huru. Muda wowote anaweza kuwekwa magereza