Ukweli mchungu: Perfume ya Diamond (Chibu) haina quality

Ukweli mchungu: Perfume ya Diamond (Chibu) haina quality

Uliyesema haina quality ulitakiwa utupe hata sababu kwanini utasema hivyo, tungeheshimu mawazo yako pia.
Binafsi nimenunua nakuitumia
Wametendea haki hako kashilingi kwa kweli, kwanza ukiipuliza haichuruziki maji yaani inakauka hapo hapo, then haiachi doa kwenye nguo, kama mtumiaji wa perfume na unajua Og na fake utanielewa , afu harufu yake inatulia haraka after kupuliza, pia harufu yake ina last, kwa kiwango cha bidhaa ya mtanzania wamejitahidi kwa kweli, tujifunze kutoa credit when its due.
 
Uliyesema haina quality ulitakiwa utupe hata sababu kwanini utasema hivyo, tungeheshimu mawazo yako pia.
Binafsi nimenunua nakuitumia
Wametendea haki hako kashilingi kwa kweli, kwanza ukiipuliza haichuruziki maji yaani inakauka hapo hapo, then haiachi doa kwenye nguo, kama mtumiaji wa perfume na unajua Og na fake utanielewa , afu harufu yake inatulia haraka after kupuliza, pia harufu yake ina last, kwa kiwango cha bidhaa ya mtanzania wamejitahidi kwa kweli, tujifunze kutoa credit when its due.
harufu yake ina last kwa muda gani?
 
Mtu mkubwa kama Neyo anaponunua chbu pafyum ujue ipo vzr sana coz hata ww inapaswa ushuru umeweza kutumia ktu ambacho neyo anatumia unadhan had bidhaa inaingia marekani masikhara sema nyie ni watu wa roho mbaya tunawajua [emoji13] [emoji12] mtabak kuchakua jalalank ivo ivo et haina kwalit we kuku kwel wakat hyo sabun unayoogea ya elf 1
We jamaa bhana,sasa Neyo akiinunua ndo anaifanya iwe bora?
 
Sijainunua kwa kweli.... nahisi itakuwa nzuri
 
Uliyesema haina quality ulitakiwa utupe hata sababu kwanini utasema hivyo, tungeheshimu mawazo yako pia.
Binafsi nimenunua nakuitumia
Wametendea haki hako kashilingi kwa kweli, kwanza ukiipuliza haichuruziki maji yaani inakauka hapo hapo, then haiachi doa kwenye nguo, kama mtumiaji wa perfume na unajua Og na fake utanielewa , afu harufu yake inatulia haraka after kupuliza, pia harufu yake ina last, kwa kiwango cha bidhaa ya mtanzania wamejitahidi kwa kweli, tujifunze kutoa credit when its due.

Ila ina harufu ya ajabu ajabu
 
Back
Top Bottom