Ukweli mchungu: Simba tuliingia mechi ya leo tukiwa hatujiamini

Ukweli mchungu: Simba tuliingia mechi ya leo tukiwa hatujiamini

Bwajilo

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2021
Posts
361
Reaction score
926
Ni ukweli usiopingika kama timu hatukupenda kuingia game hii kwa wakati huu.

Nilitazama barabarani, vibanda umiza na popote hata mashabiki wetu hawakujiamini kama msimu ulioishaId

Idadi ya watu waliovaa jezi zetu bado ilikuwa ni ndogo sana kulinganisha na miaka ya karibuni nafikiri ni kutokana na record yetu mbaya kwa vyura.

Matokeo: Si Simba wala Yanga anaethubutu kuyachukia kwa mechi ya leo.
 
Ni ukweli usiopingika kama timu hatukupenda kuingia game hii kwa wakati huu. Nilitazama barabarani, vibanda umiza na popote hata mashabiki wetu hawakujiamini kama msimu ulioisha. Idadi ya watu waliovaa jezi zetu bado ilikuwa ni ndogo sana kulinganisha na miaka ya karibuni nafikiri ni kutokana na record yetu mbaya kwa vyura.

Matokeo: Si Simba wala Yanga anaethubutu kuyachukia kwa mechi ya leo.
Ulisemalo ni kweli binafsi nimeshuhudia waliovalia njano wanashangilia timu makorokocho, Tena pale tu waliposhindwa kujizuia kama ni korokocho FC🤔.
 
Kisaikolojia Uongozi wa Simba ulishaitoa timu Mchezoni Tangu Jana walipoanza kulalamikia mabango mbaka kocha alihusishwa.
Kocha wa Simba kaingia uwanjani kucheza kama underdog, Kilicho msaidia Yanga hawakua na kasi yao ya kawaida. Yanga ili athirika kwa wachezaji kukaa muda mrefu bila kucheza, Waka kosa Ile kasi yao ya kawaida.
 
Kweli kabisa ndio mana uwanjani mashabiki wengi walikuwa wa vyura.
NB:Wewe ni utopwenga LUNYASI hakuna watu mazuzu kama wewe.
Mpira ni Mchezo wa wazi, Simba walijaribu kucheza kidogo dakika 10 za mwisho, Muda mwingi wakikaa nyuma shida ikawa wakipata mpira hawana mtu mwenye kasi ya kuwasumbua Yanga.
 
Uko vizuri umechambua vizuri,umeongea uhalisia wa kile kilichotokea.Kama Yanga wangekuwa na kasi kipindi cha kwanza wangeweza kupata goli.
Saidoo kasi yake ni ndogo Farid angeingia kipindi cha kwanza angeleta shida zaidi.Japo Simba game plan yao ilikuwa kipindi cha kwanza wahakikishe wanatoka bilabila then kipindi cha Pili waje kwa kushambulia zaidi,walifanikiwa sema bahati haikuwa upande wao.
Kipindi cha kwanza kilikuwa na Yanga kufunga na kipindi cha Pili kilikuwa cha Simba kufunga wote wakashinda kuzitumia nafasi zao.
 
Sio kweli.

Yanga waliingia kwa hofu na waliogopa kucheza mpira wao.Kucheza mpira wao ilikuwa ni sawa na kung'oa koki...wangeyaoga bila hiari
Kisaikolojia Uongozi wa Simba ulishaitoa timu Mchezoni Tangu Jana walipoanza kulalamikia mabango mbaka kocha alihusishwa.
Kocha wa Simba kaingia uwanjani kucheza kama underdog, Kilicho msaidia Yanga hawakua na kasi yao ya kawaida. Yanga ili athirika kwa wachezaji kukaa muda mrefu bila kucheza, Waka kosa Ile kasi yao ya kawaida.
 
Mpira ni Mchezo wa wazi, Simba walijaribu kucheza kidogo dakika 10 za mwisho, Muda mwingi wakikaa nyuma shida ikawa wakipata mpira hawana mtu mwenye kasi ya kuwasumbua Yanga.
Yanga waliocheza vizuri kipindi cha kwanza attempt zao kwenye goli zilikuwa ngapi?Timu ya kwanza leo kufanya attempt kwenye goli ambayo ilikuwa on target ilikuwa Simba

Jambo la Simba kukaa nyuma kama unavyosema ni approach ya mechi tu.
 
Simba mpira pekee kipindi Cha Kwanza ambo walipiga golini ni ule wa Morrison alio pokea kwa kifua na kubutua.
Simba hawakua tishio kabisa Langoni mwa Yanga kipindi chote Cha Kwanza, Ila Mikimbio ya Mayele na Faisal ilikua tishio kubwa kwa Simba Kama si kuteleza na kukosa utulivu Mayele na Aucho walipata na fasi nzuri za kufunga.
Mayele alishindwa ku connect mpira wa Feisal wakati manula Alisha pote, Mpira mwingine Aliteleza wakati onyango Alisha kubali na Manula Alisha potea.
 
Kweli kabisa ndio mana uwanjani mashabiki wengi walikuwa wa vyura.
NB:Wewe ni utopwenga LUNYASI hakuna watu mazuzu kama wewe.
Duh kwahiyo unamaanisha simba haina watu wanaosema ukweli wote ni kuongea kwa maslahi ya timu
 
Kisaikolojia Uongozi wa Simba ulishaitoa timu Mchezoni Tangu Jana walipoanza kulalamikia mabango mbaka kocha alihusishwa.
Kocha wa Simba kaingia uwanjani kucheza kama underdog, Kilicho msaidia Yanga hawakua na kasi yao ya kawaida. Yanga ili athirika kwa wachezaji kukaa muda mrefu bila kucheza, Waka kosa Ile kasi yao ya kawaida.
Hiyo underdog unajua wewe yani favorite kwa michezo wa Leo alikuwa ni simba na wameonyesha hilo bati haikuwa kwa upande wa simba,
Ukiangalia hata mashabiki wa simba uwanjani Walikuwa wengi kuliko hata utopolo
 
Back
Top Bottom