Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Huu uzi wangu simple&clear
Hauna maneno mengi ila ni kuwajulisha wale wote wenye imani na viongozi walio hapa nchini.
Kiukweli kama taifa hapa Tanzania hatuna kabisa viongozi wa kuipeleka hii nchi kwenye mafanikio ya kimaendeleo makubwa.
UKWELI MCHUNGU: Tanzania tuna viongozi ambao hawawezi kuwa hata wenyeviti wa mitaa huko Uchina kwa kuanza na the so called Rais mpaka mjumbe.
"Inshort tuna wapiga kelele wa majukwaani wanaoitwa viongozi".
Ni hayo tu machache over
Hauna maneno mengi ila ni kuwajulisha wale wote wenye imani na viongozi walio hapa nchini.
Kiukweli kama taifa hapa Tanzania hatuna kabisa viongozi wa kuipeleka hii nchi kwenye mafanikio ya kimaendeleo makubwa.
UKWELI MCHUNGU: Tanzania tuna viongozi ambao hawawezi kuwa hata wenyeviti wa mitaa huko Uchina kwa kuanza na the so called Rais mpaka mjumbe.
"Inshort tuna wapiga kelele wa majukwaani wanaoitwa viongozi".
Ni hayo tu machache over