UKWELI MCHUNGU Tanzania hatuna viongozi

UKWELI MCHUNGU Tanzania hatuna viongozi

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Huu uzi wangu simple&clear

Hauna maneno mengi ila ni kuwajulisha wale wote wenye imani na viongozi walio hapa nchini.

Kiukweli kama taifa hapa Tanzania hatuna kabisa viongozi wa kuipeleka hii nchi kwenye mafanikio ya kimaendeleo makubwa.

UKWELI MCHUNGU: Tanzania tuna viongozi ambao hawawezi kuwa hata wenyeviti wa mitaa huko Uchina kwa kuanza na the so called Rais mpaka mjumbe.

"Inshort tuna wapiga kelele wa majukwaani wanaoitwa viongozi".

Ni hayo tu machache over
 
Huu uzi wangu simple&clear

Hauna maneno mengi ila ni kuwajulisha wale wote wenye imani na viongozi walio hapa nchini.

Kiukweli kama taifa hapa Tanzania hatuna kabisa viongozi wa kuipeleka hii nchi kwenye mafanikio ya kimaendeleo makubwa.

UKWELI MCHUNGU: Tanzania tuna viongozi ambao hawawezi kuwa hata wenyeviti wa mitaa huko Uchina kwa kuanza na the so called Rais mpaka mjumbe.

Ni hayo tu machache over
Yapo lakini majizi
 
Huu uzi wangu simple&clear

Hauna maneno mengi ila ni kuwajulisha wale wote wenye imani na viongozi walio hapa nchini.

Kiukweli kama taifa hapa Tanzania hatuna kabisa viongozi wa kuipeleka hii nchi kwenye mafanikio ya kimaendeleo makubwa.

UKWELI MCHUNGU: Tanzania tuna viongozi ambao hawawezi kuwa hata wenyeviti wa mitaa huko Uchina kwa kuanza na the so called Rais mpaka mjumbe.

Ni hayo tu machache over
Tatizo hatuna SIASA SAFI TANZANIA.
 
Huu uzi wangu simple&clear

Hauna maneno mengi ila ni kuwajulisha wale wote wenye imani na viongozi walio hapa nchini.

Kiukweli kama taifa hapa Tanzania hatuna kabisa viongozi wa kuipeleka hii nchi kwenye mafanikio ya kimaendeleo makubwa.

UKWELI MCHUNGU: Tanzania tuna viongozi ambao hawawezi kuwa hata wenyeviti wa mitaa huko Uchina kwa kuanza na the so called Rais mpaka mjumbe.

Ni hayo tu machache over
Upo sahihi sn mkuu
 
Huu uzi wangu simple&clear

Hauna maneno mengi ila ni kuwajulisha wale wote wenye imani na viongozi walio hapa nchini.

Kiukweli kama taifa hapa Tanzania hatuna kabisa viongozi wa kuipeleka hii nchi kwenye mafanikio ya kimaendeleo makubwa.

UKWELI MCHUNGU: Tanzania tuna viongozi ambao hawawezi kuwa hata wenyeviti wa mitaa huko Uchina kwa kuanza na the so called Rais mpaka mjumbe.

"Inshort tuna wapiga kelele wa majukwaani wanaoitwa viongozi".

Ni hayo tu machache over
Akili kubwa. Kiongozi yupo kimya kuhusu rasilimali nyeti, muhimu kwa Taifa. Tuna kiongozi hapo?
 
Huu uzi wangu simple&clear

Hauna maneno mengi ila ni kuwajulisha wale wote wenye imani na viongozi walio hapa nchini.

Kiukweli kama taifa hapa Tanzania hatuna kabisa viongozi wa kuipeleka hii nchi kwenye mafanikio ya kimaendeleo makubwa.

UKWELI MCHUNGU: Tanzania tuna viongozi ambao hawawezi kuwa hata wenyeviti wa mitaa huko Uchina kwa kuanza na the so called Rais mpaka mjumbe.

"Inshort tuna wapiga kelele wa majukwaani wanaoitwa viongozi".

Ni hayo tu machache over
Mkuu uongozi ni nini? Wajibu wa kiongozi ni upi?
 
Back
Top Bottom