Ukweli mchungu wa chanzo cha Mahusiano na Ndoa kuvunjika ni Wanawake kukataza Waume zao kuwa na Wanawake wengi

Ukweli mchungu wa chanzo cha Mahusiano na Ndoa kuvunjika ni Wanawake kukataza Waume zao kuwa na Wanawake wengi

Sio wewe umekream maisha tatizo . Hujui mwanaume anakeraje mwanamke kama unaye mtu tulia . Usipende madharau, kejeli , hasira na matusi na vipigo nenda katombee uje kimya kimya usije na usumbufu na majigambo .
Maana hukumkuta mkeo bila bikra so anatimu yake kaamua kuituliza kwanza maana anakuheshimu jichanganye. Sasa utalia mwenyewe
WE KIBOKO, KWAHIYO ANA TIMU YAKE YA KUMWAZIBU KAITULIZA KWANZA
 
Ukweli mchungu wa chanzo cha Mahusiano na Ndoa kuvunjika ni Wanawake kukataza Waume zao kuwa na Wanawake wengi bila kukumbuka kuwa Mwanaume anatulia na mke mmoja anapofikisha angalao miaka 60 hivyobasi namna ya kuenjoy mahusiano na ndoa zao wakubali waume zao kurusha risasi nje pia wasitake warushiwe wao tu manake risasi zitawachakaza sana

Miaka 60 kurudi nyuma ni vigumu sana Mwanaume kutulia na mke mmoja kwasababu mwili bado wa moto simu muda wote inaita

Ushauri wangu kwa akina dada wanaotaka kuolewa na waume wa peke yao wasubiri hao Wanaume wazeeeke angalao miaka 60 kwasababu kinyume na hapo ni kujitaftia tu stress na magonjwa ya msongo wa mawazo
View attachment 3038242
Presha za kupanda, visukari na tezi dume hazijachangia kufupisha hii miaka iwe kabla ya 60??
 
Ukweli mchungu wa chanzo cha Mahusiano na Ndoa kuvunjika ni Wanawake kukataza Waume zao kuwa na Wanawake wengi bila kukumbuka kuwa Mwanaume anatulia na mke mmoja anapofikisha angalao miaka 60 hivyobasi namna ya kuenjoy mahusiano na ndoa zao wakubali waume zao kurusha risasi nje pia wasitake warushiwe wao tu manake risasi zitawachakaza sana

Miaka 60 kurudi nyuma ni vigumu sana Mwanaume kutulia na mke mmoja kwasababu mwili bado wa moto simu muda wote inaita

Ushauri wangu kwa akina dada wanaotaka kuolewa na waume wa peke yao wasubiri hao Wanaume wazeeeke angalao miaka 60 kwasababu kinyume na hapo ni kujitaftia tu stress na magonjwa ya msongo wa mawazo
View attachment 3038242
Hivi hata huko ulaya wanaoa wake wengi? china ukizaa na mwanamke zaidi ya mmoja nasikia ni kesi ikibainika
 
Hivi hata huko ulaya wanaoa wake wengi? china ukizaa na mwanamke zaidi ya mmoja nasikia ni kesi ikibainika
Wanawake wa Marekani hawafai kuoa wanaishi maisha ya dada poa
 
Back
Top Bottom