UKWELI MCHUNGU: Wakatoliki wenzangu Papa Francis ni mjumbe wa shetani ndani ya kanisa

UKWELI MCHUNGU: Wakatoliki wenzangu Papa Francis ni mjumbe wa shetani ndani ya kanisa

Ina maana taarifa zilizotolewa ni za uongo? Na kama ni za uongo kwanini hao BBC wasishtakiwe na kuwajibishwa kwa kupotosha ulimwengu ukizingatia hatua ya kimaendeleo iliyopo huku dunia ya kwanza?
BBC ndiyo ulimwengu wenyewe na ndiyo sheria yenyewe ya kidunia pepo haliwezi fukuza pepo lakini kwao ukweli na uongo unashonwa
 
Papaa Frasis hataki utani kabisa anataka kanisa katoliki la kisasa kabisa
 
Ndio tabia yenu wasabato , kuwapinga wakristu wengine .
Duuuh mdogo wangu kua basi, achana na hao wasabato japo ni wajinga ila kwa huu uzi hawahusiki, kwnaza kabla ya yote unamjua Robert Strickland?
 
Ina maana taarifa zilizotolewa ni za uongo? Na kama ni za uongo kwanini hao BBC wasishtakiwe na kuwajibishwa kwa kupotosha ulimwengu ukizingatia hatua ya kimaendeleo iliyopo huku dunia ya kwanza?
Siyo kazi ya Simba kushughulika na propaganda zilizopo kwenye app ya Yanga.

Ujinga kama huo unaweza kushabikiwa na Waafrica tu, ukitaka taarifa sahihi za Simba nenda kwenye media za Simba.

Wakatoliki wana redio Maria, wana Tumaini, ukitaka taarifa sahihi za kanisa nenda huko.

Mpaka leo Biblia hii hii ya kiswahili bado inafanyiwa tafsiri ili ieleweke kwa lugha sahihi.

Papa anaongea Kilatini, BBC wanaripoti Uingereza halafu wanakutafsiria kwa kiswahili lazima uingizwe king na watu wenye agenda binafsi.

Ukiweza kutumia akili zako hata kama ni ndogo tu, jiulize kuna media ngapi duniani ni kwa nini ni BBC na Vatican tu?

Hata waislamu media zao huoni kuzipa uzito hizo propaganda za Illuminati.

Kuna vita ya miaka Mingi kati ya Illuminati na Vaticano.
 
Punguza roho mbaya na kashfaa bwana mdogo!!
 
Dini zote na madhehebu yake zina upande wa mauzauza ndio maana akina sisi tumeamua kumuamini Mungu bila kumhusisha na dini.
Na Mungu atakubariki kwa hakika, japo lengo la dini ni kuwaweka watu pamoja wenye tumaini moja ikiwa una moyo mdogo utaumizwa sana na matendo ya washirika wenzako
 
Punguza roho mbaya na kashfaa bwana mdogo!!
Janja unaijua elimu yangu ya nje na ya
Sindano huwa inauma makalioni ila ndio inaponya

Hakika lazima tuwekane wazi ili mwenye kutoboa pua atoboe na mwenye kutuga sikio atuge na mwenye kufanya au kuacha vyote afanye apendavyo

Hatuwezi kuficha asali ndani ya mfuko wa suruali
 
Dini zote na madhehebu yake zina upande wa mauzauza ndio maana akina sisi tumeamua kumuamini Mungu bila kumhusisha na dini.
Hakuna dini hata moja itakayompa mtu pepo.

Dini ya kweli ni matendo mema tu na kusaidia wenye uhitaji haya zile zinazoitwa Zambia zinafutika na mema utakayotendea binadamu wenzako.

Dini Utapeli ambao investment yake inalipa Africa.

Vijana wa ulaya baada ya kujitambuwa siku nyingi tu walishaachana na mambo ya dini.

Ndio unakuta kuna wanaompigania Mungu sasa hivi wanauziwa mpaka makanisa ulaya wageuze misikiti mzungu anachukuwa Bingo huku akienda kuinvest vitu vya maendeleo wao wanajidanganya ni ushindi kwa Allah kumbe ujinga mtupu.
 
Ina maana taarifa zilizotolewa ni za uongo? Na kama ni za uongo kwanini hao BBC wasishtakiwe na kuwajibishwa kwa kupotosha ulimwengu ukizingatia hatua ya kimaendeleo iliyopo huku dunia ya kwanza?
Nani wa kuwashitaki? Maana BBC ni wapotoshaji wakubwa. Sio kwenye mambo ya dini tu hata kwenye mambo mengine duniani mfano vita. Ni wapotoshaji wakubwa sana.

Kama kuna siku bbc swahili wameandika upotoshaji mkubwa kuhusu Papa bahati yao mbaya walikutana na watu ambao walisikia alichosema Papa, wakatuma comments za kuwasema mpaka wakaomba radhi. Sio mara ya kwanza bbc kutumika kupotosha taarifa. Na ubaya watu hatupendi kufuatilia mambo.
 
Hadi Sasa nimepata sakramenti ya ubatizo, kitubio, ekaristi TAKATIFU, kipaimara bado ndoa na mpako mtakatifu na uote nayaamini katika imani, matumaini na mapendo
Mlei wa kawaida hawezi kuyajua yote haya, wewe utakuwa padre-mshindwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nani wa kuwashitaki? Maana BBC ni wapotoshaji wakubwa. Sio kwenye mambo ya dini tu hata kwenye mambo mengine duniani mfano vita. Ni wapotoshaji wakubwa sana.

Kama kuna siku bbc swahili wameandika upotoshaji mkubwa kuhusu Papa bahati yao mbaya walikutana na watu ambao walisikia alichosema Papa, wakatuma comments za kuwasema mpaka wakaomba radhi. Sio mara ya kwanza bbc kutumika kupotosha taarifa. Na ubaya watu hatupendi kufuatilia mambo.
BBC haipotoshi kwa bahati Mbaya, cha kwanza inatakiwa uelewe wamiliki wa hizo media ni kina nani?

Behind the scene uhalisia huwa uko hivi.
 

Attachments

  • FB_IMG_1699462240284.jpg
    FB_IMG_1699462240284.jpg
    84.1 KB · Views: 18
Back
Top Bottom