UKWELI MCHUNGU: Wakatoliki wenzangu Papa Francis ni mjumbe wa shetani ndani ya kanisa

Mawazo kama haya bure kabisa! Halafu kwenye maendeleo mtasingizia wakoloni wakati maendeleo yenyewe yananzia kwenye fikira. Kama hatuwezi kubadilika tutaendelea hivi hivi tu hadi siku ya kushika udongo.
 
Mawazo kama haya bure kabisa! Halafu kwenye maendeleo mtasingizia wakoloni wakati maendeleo yenyewe yananzia kwenye fikira. Kama hatuwezi kubadilika tutaendelea hivi hivi tu hadi siku ya kushika udongo.
Hio version ya maendeleo umeniletea wewe, nilikua navaa zangu ngozi na mifugo yangu, nawinda life linaenda,, shida ni wewe ulipoanza kuja na majahazi yenu,,,,shida nyingine za kwenu tusipeane mizigo
 
Hio version ya maendeleo umeniletea wewe, nilikua navaa zangu ngozi na mifugo yangu, nawinda life linaenda,, shida ni wewe ulipoanza kuja na majahazi yenu,,,,shida nyingine za kwenu tusipeane mizigo
Sasa si rudi porini kuwinda na kuvaa ngozi, ulale mapangoni.
 
Umeshabarikiwa kanisani?

Umeisoma post namba moja? Una nini la kusema kuhusu hilo?
kwahiyo bibi kizee pamoja na ushungi wako kumbe rinda huna. sikuamini kama na wewe unaweza kusema yule binti wa RC Namwanda ni malaya na alistahili kulawitiwa na kwamba icho ni kitu cha kawaida. kwako kulawitiana ni kitu cha kawaida. RIP rinda lako mama.
 
Fake subtitles
 
Fake subtitles
They are not fake at all,you are pleasing yourself.People who know Italian within the Catholic Church have proved them to be authentic.It's common sense,why should one fake anything about Pope Francis,for what benefit.This is a wake up call for you people.Furthermore,why should a Jesuit become a leader of a Christian Church.Remember that Jesuit is an underground Society.

By the way, have you ever pondered why Benedict resigned?That was a satanic coup brother.The Catholic Denomination has completely been taken over by Satan and that is why you have a Jesuit at the helm of the Catholic Denomination.Brother,the symbology of the Catholic denomination tells it all,it is demonic,wake up.
 
Siyo papa tu, kanisa lote ni wakala wa shetani.
Faizal wewe unalisema Kanisa la Roma,je Uislam?Hivi unajua Ukatoliki ndio ulioanzisha Uislam?Toa kwanza boriti lililopo kwenye jicho lako, ndio uweze kutoa kibanzi kilichopo kwenye jicho la mwenzio.
 
What you've written only shows how your mind is corrupted by Satan your master. All this is absolute nosense!
 
Faizal wewe unalisema Kanisa la Roma,je Uislam?Hivi unajua Ukatoliki ndio ulioanzisha Uislam?Toa kwanza boriti lililopo kwenye jicho lako, ndio uweze kutoa kibanzi kilichopo kwenye jicho la mwenzio.
Ooh kumbe neno Uislam ni ki-Roma eeh?

Nini maana yake?
 
Ooh kumbe neno Uislam ni ki-Roma eeh?

Nini maana yake?
Islam means "submission to the will of god." The question is which god, because there are so many false gods,and Allah is just one of the many.
 
What you've written only shows how your mind is corrupted by Satan your master. All this is absolute nosense!
Sikio la kufa halisikii dawa,damu yako sidaiwi mkuu.Ninachojaribu kufanya ni kukutoa katika makucha ya Shetani.Anyway,labda ingekuwa busara kuniambia nilicho andika hapo ambacho si kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…