UKWELI MCHUNGU: Wakatoliki wenzangu Papa Francis ni mjumbe wa shetani ndani ya kanisa

UKWELI MCHUNGU: Wakatoliki wenzangu Papa Francis ni mjumbe wa shetani ndani ya kanisa

Hawa ni wasabato ambao wanasem

Ni kweli, ila hupaswi kuweka tumaini lako kwa mwanadamu

Neni la Mungu linasema "Bwana kama wewe ungehesabu maovu yetu, Nani angesimama.."

Tumaini letu ni Kristu tu achana na habari za papa hata yeye akikengeuka moto utamuhusu tu.
Mkwawe niruhusu kwanza nikiri kwamba mimi sio Msabato.Nikiri pia kwamba sipendi madhehebu kwa kuwa sio mpango wa Mungu,it is a satanic enterprise.

Niseme hivi, neema ya Mungu inatukataza uovu wa kila aina,kwa hiyo ukisema upo kwenye Neema halafu unaendelea na uovu na kushikamana na waovu unajidanganya.Nimeona niliweke hili sawa kwanza kwa kuwa watu wanaendelea kufanya uovu kwa makusudi halafu wanasema Neema ya Mungu inatosha,hapana,lazima kuwe na dhamiri ya kweli ya kumpendeza Mungu.

Tito 2:11-12 inasema,
"11 Maana neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa;
12 nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia; tupate kuishi kwa kiasi, na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa.
Naomba niseme hivi,mtu mwenye dhamira ya kweli hawezi kupenda kushirikiana katika mambo ya kiroho na waovu,hakiwezekani.Mtu hana Roho Mtakatifu,atakusaidia nini katika mambo ya kiroho,nothing,so why have him.Ndio maana Mungu ametuamuru tutoke katikati yao tujitenge nao.
,tusifungiwe nira nao kwa jinsi isivyo sawa sawa!

2Wakorintho 6:14 inasema,
"14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?
15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini?
16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.
18 Nitakuwa Baba kwenu, Nanyi mtakuwa kwangu wanangu wa kiume na wa kike."

Na hata ukisoma Ufunuo 18:4-5,Tunapata picha hiyo hiyo,get out.

Ufunuo 18:4-5
4 Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake.
5 Kwa maana dhambi zake zimefika hata mbinguni, na Mungu amekumbuka aovu yake.

Infact hapa Neno linazungumzia specifically about the Catholic establishment,God is telling you people to get out,so get out,mtasita sita mpaka lini?

Kwanza Mungu anataka Kama Wana wa Mungu tupate the right word of God,cream.Huko uliko hata Pope Francis mwenyewe amekiri kwamba Neno limeghoshiwa,kuna matango pori,meaning kuna heresy.

1 Petro 2:2
2 Kama watoto wachanga waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu;
Nimalizie kwa kusema I don't understand you people,get out,if you don't Kama Mungu alivyoahidi mtashiriki mapigo take,sio ya Papa Francis,but the Catholic establishment.Amua kabla mlango haujafungwa.
 
Mkuu hii clip ina ukweli?
Kwani wewe huoni kwamba huyo ni Pope Francis mkuu?Kwa wana wa Mungu hiyo sio ajabu,it is in line with God's plan. Neno la Mungu linasema,kila pando asilolipanda Mungu litang'olewa.

Mathayo 15:13
13 Akajibu, akasema, Kila pando asilolipanda Baba yangu wa mbinguni litang'olewa.

So God is doing it using the Pope himself.Very interesting.
 
Mkwawe niruhusu kwanza nikiri kwamba mimi sio Msabato.Nikiri pia kwamba sipendi madhehebu kwa kuwa sio mpango wa Mungu,it is a satanic enterprise.

Niseme hivi, neema ya Mungu inatukataza uovu wa kila aina,kwa hiyo ukisema upo kwenye Neema halafu unaendelea na uovu na kushikamana na waovu unajidanganya.Nimeona niliweke hili sawa kwanza kwa kuwa watu wanaendelea kufanya uovu kwa makusudi halafu wanasema Neema ya Mungu inatosha,hapana,lazima kuwe na dhamiri ya kweli ya kumpendeza Mungu.

Tito 2:11-12 inasema,
"11 Maana neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa;
12 nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia; tupate kuishi kwa kiasi, na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa.
Naomba niseme hivi,mtu mwenye dhamira ya kweli hawezi kupenda kushirikiana katika mambo ya kiroho na waovu,hakiwezekani.Mtu hana Roho Mtakatifu,atakusaidia nini katika mambo ya kiroho,nothing,so why have him.Ndio maana Mungu ametuamuru tutoke katikati yao tujitenge nao.
,tusifungiwe nira nao kwa jinsi isivyo sawa sawa!

2Wakorintho 6:14 inasema,
"14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?
15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini?
16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.
18 Nitakuwa Baba kwenu, Nanyi mtakuwa kwangu wanangu wa kiume na wa kike."

Na hata ukisoma Ufunuo 18:4-5,Tunapata picha hiyo hiyo,get out.

Ufunuo 18:4-5
4 Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake.
5 Kwa maana dhambi zake zimefika hata mbinguni, na Mungu amekumbuka aovu yake.

Infact hapa Neno linazungumzia specifically about the Catholic establishment,God is telling you people to get out,so get out,mtasita sita mpaka lini?

Kwanza Mungu anataka Kama Wana wa Mungu tupate the right word of God,cream.Huko uliko hata Pope Francis mwenyewe amekiri kwamba Neno limeghoshiwa,kuna matango pori,meaning kuna heresy.

1 Petro 2:2
2 Kama watoto wachanga waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu;
Nimalizie kwa kusema I don't understand you people,get out,if you don't Kama Mungu alivyoahidi mtashiriki mapigo take,sio ya Papa Francis,but the Catholic establishment.Amua kabla mlango haujafungwa.
Hebu kuwa tanabaa namaanisha be specific unataka Wakatoliki waweje yaani watoke nje kivipi elezea kwa sababu ni hisia zako tu ndo zinazoamua andiko uliloliainisha liwe utumilfu wa unabii kwa kuwa hata Mimi l ninaweza niktafuta mauchafu mengi kwenye Imani zingine nikazimithilisha na maandiko na nikasema "UNABII UMETIMA"

Unaonekana kusoma biblia ila unaitafsiri kwa namna irakavyokupendeza wewe
 
Wewe unasali kanisa gani kwanza ndugu yangu
Mkwawe asante sana kwa swali zuri.Mimi sijihusishi na dini zilizopo au any denomination.

Baada ya kumsihi Mungu kwa muda mrefu anionyesha ukweli kuhusu njia ya kweli ya kufika mbinguni,nilimpokea Roho Mtakatifu na ghafla nikapata nia ya ajabu ya kujifunza Neno la Mungu.Roho Mtakatifu alinifundisha Biblia kwa kiwango cha kushangaza.Ilikuwa ni kama akili yangu ilikuwa imefungwa hivi.Alinionyesha mafundisho mengi mengi potofu ambayo yameingizwa kwa siri, including even the day of worshipping our God.Infact this was the first major mistake,and since then pagan worship has found a place in Christianity.Pagan worship is rampant in Christianity I am sorry to say.

So what are denominations?They are simply Satan's tool for devide and rule,they have nothing to do with God.

To come back to your question naabudu wapi,ni kwamba Mungu amesema walipo wawili watatu Yeye Yupo katika yao.With this in mind Roho Mtakatifu akaniambia "anza,nitaleta watu wajifunze kwako."So what I have done is to share the truth of the Holy Spirit with people who are serious about inheriting the Kingdom of God.We have joined forces and are now worshipping together in my house.It is an extremely difficult decision,but we had to do it.Hatukupenda kuendelea kudanganywa.
 
Hebu kuwa tanabaa namaanisha be specific unataka Wakatoliki waweje yaani watoke nje kivipi elezea kwa sababu ni hisia zako tu ndo zinazoamua andiko uliloliainisha liwe utumilfu wa unabii kwa kuwa hata Mimi l ninaweza niktafuta mauchafu mengi kwenye Imani zingine nikazimithilisha na maandiko na nikasema "UNABII UMETIMA"

Unaonekana kusoma biblia ila unaitafsiri kwa namna irakavyokupendeza wewe
Mkwawe nime-eleza kwa undani and I have been very specific of what you should do.Kama hujanielewa bad luck,I am sorry I can't help you any more.But remember neno la Biblia lifuatalo kama ukishupaza shingo usichukue hatua limekuwa kweli kwako.

1 Wakorintho 1:18
18 Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.
 
Ile sehemu ya kuwaombea viongozi wa kanisa, ikifika kwa papa siku hizi moyo wangu unasita, najikuta nipo kimya.
 
Kwani wewe huoni kwamba huyo ni Pope Francis mkuu?Kwa wana wa Mungu hiyo sio ajabu,it is in line with God's plan. Neno la Mungu linasema,kila pando asilolipanda Mungu litang'olewa.

Mathayo 15:13
13 Akajibu, akasema, Kila pando asilolipanda Baba yangu wa mbinguni litang'olewa.

So God is doing it using the Pope himself.Very interesting.
Kwenye reply ya comment yangu kwenye uzi fulani uligusia namna waabudu shetani watakavyo devise holographic imagery ya UFO wakionekana kushuka duniani na kusababisha panic, fear na mauaji.......naomba udadavue zaidi kuhusu hii. Je, ni jambo la kutengeneza au UFO wana exist na mwisho wa nyakati wataivamia dunia na kuungana na wanadamu kutengeneza utawala uliochanganyika chuma na udongo kwenye ile sanamu ya Nebkadnezza?​
 
Kwenye reply ya comment yangu kwenye uzi fulani uligusia namna waabudu shetani watakavyo devise holographic imagery ya UFO wakionekana kushuka duniani na kusababisha panic, fear na mauaji.......naomba udadavue zaidi kuhusu hii. Je, ni jambo la kutengeneza au UFO wana exist na mwisho wa nyakati wataivamia dunia na kuungana na wanadamu kutengeneza utawala uliochanganyika chuma na udongo kwenye ile sanamu ya Nebkadnezza?​
Nadhani you are mixing UFOs and Aliens.UFOs ni Unidentified Flying Objects.

Hata hivyo niseme hivi, it is a lie that these are UFOs,they are not,they are American capsules made by using technology provided by Satan.The Americans know what these objects are,wanajibaraguza tu,they are not unidentified objects.

Ipo mikataba ambayo Eisenhower, a former American President aliingia with Demonic forces, ili Marekani wapewe advanced technology,nilishaleta ushahidi hapa JF.

Mwisho nadhani unajua kwamba human depopulation or culling if you like, ni mradi unaoendelea as we speak.Na the NWO Cabal plan is to have only 500 million humans on Earth.Wanaamini kwamba Programmes zao zinazoendelea zita-achieve goal hiyo,but if they don't, ndio watakapo opt for holographic imagery imitating an Alien invasion,which will actually be a made up story,but will be used to cause massive human slaughter.This is on the cards.

The holographic imagery technology will also be used to immitate the coming of Jesus Christ.The whole thing will be a sham,and this will actually be the Anti-Christ or fake Messiah,but those whose names are not written in the God's book of life will believe and worship him.

Aliens on the other hand are nothing but demons ambao wame-take up human like bodies.Americans ndio wanazungumzia sana agenda ya Aliens,but as I have said these are nothing but demons.

Mwisho,kuchanganya chuma na udongo vilikuwepo hata kabla ya gharika(Genesis 6:4-7), na infact ndiyo sababu kubwa iliyo-sababisha Mungu kuharibu Wanadamu by the flood.We see again this talk of mixing iron and soil in Jude 1:6-7; 2Petro2:4 and 1 Corithians 11:10.

Hii kitu inaendelea tena sasa,tena kwa kasi kubwa zaidi,and it is believed that many of these people are among us.There is alot of evidence that alot of experimentation in this area is going on in an area called Area 51 in the US.How far they have succeeded in mixing human DNA and Luciferian DNA hatuna hakika,lakini kwa kiwango cha uovu wa Wanadamu kilichopo,inaelekea wanefanikiwa sana.Their goal is everybody to be evil.
 
So Jesus who established the church is a Satan, what a blasphemy!

Na Kama unabisha Yesu hakuanzisha kanisa KATOLIKI niambie ni Nani alilianzisha, au wafuasi wa Yesu waliutumia umoja upi hadi kulipigania kanisa kuweki vizazi hadi vizazi.


Mdogo wangu una shida kubwa sana yaani, kubwa mno. Ni kweli Kuna mabaya mengi sana yaliyofanywa na baadhi ya viongozi wa kanisa lakina haihalalidhi mafarakano kama wakristu, hata kama Yuda iskarioti alimsaliti Yesu haiondoi ukweli ni kuwa alikuwa mtume mteule wa Kristu

Kwa kusema kanisa KATOLIKI limeanzishwa na shetani maanake YESU ndiye shetani mwenyewe na kitu ambacho ni kufuru na laana kubwa sana. Ni sawa na kusema Yuda alichaguliwa na shetani kuja kumsaliti Yesu, sijui kama mnafikiriaga ipaswavyo kama hamjaropoka kimihemko
Seriously you believe Denominations are God's creation?Mkuu denominations are a tool of devide and rule by Satan,they have nothing to do with God.Hebu soma maandiko yafuatayo labda utanielewa.

1 Wakorintho 1:10-13
10 Basi ndugu, nawasihi, kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba nyote mnene mamoja; wala pasiwe kwenu faraka, bali mhitimu katika nia moja na shauri moja.
11 Kwa maana, ndugu zangu, nimearifiwa habari zenu na wale walio wa nyumbani mwa Kloe, ya kwamba iko fitina kwenu.
12 Basi, maana yangu ni hii, ya kwamba kila mtu wa kwenu kusema, Mimi ni wa Paulo, na, Mimi ni wa Apolo, na, Mimi ni wa Kefa, na, Mimi ni wa Kristo.
13 Je! Kristo amegawanyika? Je! Paulo alisulibiwa kwa ajili yenu? Au je! Mlibatizwa kwa jina la Paulo?

Mtume Paulo anauliza a very genuine question, mnasema mimi ni wa Kristo(KKKT),Mimi ni wa Paulo(Mkatoliki),mimi ni wa Kefa(M-TAG) Kristo ameganyika?God wanted unity among us,this is also clearly shown in verse 10.

Soma pia Yohana Mtakatifu sura ya 17,you will see how Jesus Christ himself wanted children of God to be United.Nirudie no doubt about it, denominations including the Catholic Denomination, are Satan's workmanship,wala sio blasphemy,wewe unaesema the Catholic Denomination is God's ndiye unayemsingizia Mungu.

Ninyi watu kinacho-wasumbua Bwana Yesu amekielezea vizuri Marko 7:6-9.Bwana Yesu amesema hivi,

"6 Akawaambia, Isaya alitabiri vema juu yenu ninyi wanafiki, kama ilivyoandikwa, Watu hawa huniheshimu kwa midomo Ila mioyo yao iko mbali nami;

7 Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu,

8 Ninyi mwaiacha amri ya Mungu, na kuyashika mapokeo ya wanadamu.

9 Akawaambia, Vema! Mwaikataa amri ya Mungu mpate kuyashika mapokeo yenu."

Mistari hii ya Marko unatisha Sana na inawaeleza Wakatholiki vizuri sana.If I were you I would do away with denominations.Kwa bahati mbaya mapokeo ambayo actually ni mafundisho ya Wanadamu,ndiyo doctrine ya Dhehebu Katoliki,na mambo hayawezi kubadika.Kwa hiyo kama mtu anamtaka Bwana Yesu,lazima aondoke.
 
Mkwawe nime-eleza kwa undani and I have been very specific of what you should do.Kama hujanielewa bad luck,I am sorry I can't help you any more.But remember neno la Biblia lifuatalo kama ukishupaza shingo usichukue hatua limekuwa kweli kwako.

1 Wakorintho 1:18
18 Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.
Hili ni andiko ambalo wakatoliki tunaliishi sana na ndiyo msingi wetu, sijui kama una jingine
 
Mkwawe asante sana kwa swali zuri.Mimi sijihusishi na dini zilizopo au any denomination.

Baada ya kumsihi Mungu kwa muda mrefu anionyesha ukweli kuhusu njia ya kweli ya kufika mbinguni,nilimpokea Roho Mtakatifu na ghafla nikapata nia ya ajabu ya kujifunza Neno la Mungu.Roho Mtakatifu alinifundisha Biblia kwa kiwango cha kushangaza.Ilikuwa ni kama akili yangu ilikuwa imefungwa hivi.Alinionyesha mafundisho mengi mengi potofu ambayo yameingizwa kwa siri, including even the day of worshipping our God.Infact this was the first major mistake,and since then pagan worship has found a place in Christianity.Pagan worship is rampant in Christianity I am sorry to say.

So what are denominations?They are simply Satan's tool for devide and rule,they have nothing to do with God.

To come back to your question naabudu wapi,ni kwamba Mungu amesema walipo wawili watatu Yeye Yupo katika yao.With this in mind Roho Mtakatifu akaniambia "anza,nitaleta watu wajifunze kwako."So what I have done is to share the truth of the Holy Spirit with people who are serious about inheriting the Kingdom of God.We have joined forces and are now worshipping together in my house.It is an extremely difficult decision,but we had to do it.Hatukupenda kuendelea kudanganywa.
Sasa hiyo movement yako mbona ndiyo wanayotumia wachungaji na manabii wa karne hizi, je wewe na wao una tofauti gani Sasa?
Roho mtakatifu hashuhudiwi kwa kinywa ila kwa kazi halisi anazozitenda yaani ROHO MTAKATIFU akikujia hata wewe usiposema atajidhihirisha tu kwa watu kivyovyote ile, wakristu wa kwanza hawakujijua kuwa wamepatwa na ROHO wa Bwana ila walioko nje yao walishuhudia kieicho cha kawaida, kuongea na kuhubiri kwa lugha za watu wengine

Nikuambie jambi moja wewe hauna tofauti na hao wengine ndiyo maana mimi sioni tija katika kujitenga Bali kuongea ukweli ule ule miongoni mwetu, maana neno la Mungu linasema ni "vyema na yapendeza ndugu wakae kwa umoja"
 
Seriously you believe Denominations are God's creation?Mkuu denominations are a tool of devide and rule by Satan,they have nothing to do with God.Hebu soma maandiko yafuatayo labda utanielewa.

1 Wakorintho 1:10-13
10 Basi ndugu, nawasihi, kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba nyote mnene mamoja; wala pasiwe kwenu faraka, bali mhitimu katika nia moja na shauri moja.
11 Kwa maana, ndugu zangu, nimearifiwa habari zenu na wale walio wa nyumbani mwa Kloe, ya kwamba iko fitina kwenu.
12 Basi, maana yangu ni hii, ya kwamba kila mtu wa kwenu kusema, Mimi ni wa Paulo, na, Mimi ni wa Apolo, na, Mimi ni wa Kefa, na, Mimi ni wa Kristo.
13 Je! Kristo amegawanyika? Je! Paulo alisulibiwa kwa ajili yenu? Au je! Mlibatizwa kwa jina la Paulo?

Mtume Paulo anauliza a very genuine question, mnasema mimi ni wa Kristo(KKKT),Mimi ni wa Paulo(Mkatoliki),mimi ni wa Kefa(M-TAG) Kristo ameganyika?God wanted unity among us,this is also clearly shown in verse 10.

Soma pia Yohana Mtakatifu sura ya 17,you will see how Jesus Christ himself wanted children of God to be United.Nirudie no doubt about it, denominations including the Catholic Denomination, are Satan's workmanship,wala sio blasphemy,wewe unaesema the Catholic Denomination is God's ndiye unayemsingizia Mungu.

Ninyi watu kinacho-wasumbua Bwana Yesu amekielezea vizuri Marko 7:6-9.Bwana Yesu amesema hivi,

"6 Akawaambia, Isaya alitabiri vema juu yenu ninyi wanafiki, kama ilivyoandikwa, Watu hawa huniheshimu kwa midomo Ila mioyo yao iko mbali nami;

7 Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu,

8 Ninyi mwaiacha amri ya Mungu, na kuyashika mapokeo ya wanadamu.

9 Akawaambia, Vema! Mwaikataa amri ya Mungu mpate kuyashika mapokeo yenu."

Mistari hii ya Marko unatisha Sana na inawaeleza Wakatholiki vizuri sana.If I were you I would do away with denominations.Kwa bahati mbaya mapokeo ambayo actually ni mafundisho ya Wanadamu,ndiyo doctrine ya Dhehebu Katoliki,na mambo hayawezi kubadika.Kwa hiyo kama mtu anamtaka Bwana Yesu,lazima aondoke.
Sikiliza, tangu kale hakukuwa na lengo lolote la utengano

Hadi kufikia karne ya 11 wakristu wote tulikuwa tunafanya ibada moja... Hakukuwa na ukatoliki, wala orthodox wala coptics wala Lutheran, wala Anglican wala the so called born again.. Sasa kwa namna yoyete Kama kulikuwa na utengano ndani ya kanisa hata like kanisa lililobaki lazima lingekuwa tu na utambulisho wake. Je hili bado ni pa kuwalaumu wakatoliki?
Ndiyo maana nasema hoja zako nyingi zimebeba hisia binafsi na sio kuutetea muunganiko wa kiimani ndani ya kanisa... Hivyo basi ndiyo hapo ninaposema unakufuru kwa sababu watu hawakuamka tu ba kusema "Sisi Sasa ni wakatoliki" na hakuna asiyejua kuwa makanisa yote chimbuko lake ni kanisa mama ambalo ni KATOLIKI... Yesu alianzisha kanisa kupitia Petro "...Juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa...." Sasa Nataka uniambie hilo kanisa alilolijebga Yesu kwa Petro lilipotelea wapi? Na ndio maana nakwambia wewe unaongea kwa utashi wako na mwishowe unamwita Yesu ni shetani kwa kukufuru ama kwa kukusudia au kishabiki. Sijui hoja hasa nini
 
Ile sehemu ya kuwaombea viongozi wa kanisa, ikifika kwa papa siku hizi moyo wangu unasita, najikuta nipo kimya.
Aisee hata mimi roho inakuwa nzito sana kuipokea ile sala tena katikati ya consecration yaani mageuzi linatajwa jina la anayeitetea dhambi, haya ni matusi makubwa mbele ya ekaristi TAKATIFU ba altare tukufu ya sakramenti
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nacheka had mbavu zinauma, hizo comments sasa
 
Sikiliza, tangu kale hakukuwa na lengo lolote la utengano

Hadi kufikia karne ya 11 wakristu wote tulikuwa tunafanya ibada moja... Hakukuwa na ukatoliki, wala orthodox wala coptics wala Lutheran, wala Anglican wala the so called born again.. Sasa kwa namna yoyete Kama kulikuwa na utengano ndani ya kanisa hata like kanisa lililobaki lazima lingekuwa tu na utambulisho wake. Je hili bado ni pa kuwalaumu wakatoliki?
Ndiyo maana nasema hoja zako nyingi zimebeba hisia binafsi na sio kuutetea muunganiko wa kiimani ndani ya kanisa... Hivyo basi ndiyo hapo ninaposema unakufuru kwa sababu watu hawakuamka tu ba kusema "Sisi Sasa ni wakatoliki" na hakuna asiyejua kuwa makanisa yote chimbuko lake ni kanisa mama ambalo ni KATOLIKI... Yesu alianzisha kanisa kupitia Petro "...Juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa...." Sasa Nataka uniambie hilo kanisa alilolijebga Yesu kwa Petro lilipotelea wapi? Na ndio maana nakwambia wewe unaongea kwa utashi wako na mwishowe unamwita Yesu ni shetani kwa kukufuru ama kwa kukusudia au kishabiki. Sijui hoja hasa nini
Nakushangaa sana ujue,ingekuwa vema ukitoa comment yako uweke maandiko to authenticate your ideas.Hii inaonyesha kwamba either hujui maandiko au what you are presenting ni mawazo binafsi na hayawezi kuwa verified by the Word of God,and that is extremely dangerous.It seems unayoleta hapa ni mapokeo tu,that is verbal communication kutoka kwa viongozi wenu Pope,Cardinals,Maaskofu,Mapadre,Makatekista nk,sasa mtaawaaminije?Binadamu?Wenyewe ni vipofu Shetani amewapofusha,sasa kipofu akimuongaza kipofu mwenzie,si wote wataanguka shimoni,and that is what has happened?Poleni sana.

Anyway,si kweli kwamba Bwana Yesu alianzisha Ukatoliki through Petro,huo ni udanganyifu wa Shetani.Upo ushahidi mwingi wa Kibiblia unaothibitisha kwamba that is heresy,that is,ni maneno matupu na hewa .Fuata link zifuatazo ili ujue ukweli huo.

Mkuu nakushauri hivii, siku zote usikubali mapokeo,jifunze binafsi Biblia, ujiridhishe kwamba unayoambiwa ni kweli.


 
Back
Top Bottom