Rafikiwakwel
Member
- Aug 9, 2023
- 6
- 3
Wew na wenzako ndio wenye upeo mliokaa bechi la mbele mkisubiria kununua chupa ya maji ya lita moja ya kampun flan kwa gharama kubwa kwa kuamini ni maji barakaNaunga mkono hii mada,maislamu Yana upeo mdogo sana kwenye kuelewa mambo ya kiroho
Wewe umejuaje kuwa hajawahi kuwepo?Mungu hayupo na hajawahi kuwepo dini ni hadithi za kutungwa tu hakuna ukweli wowote ktk vitabu vya dini kumejaaa habari za uwongo
Hakuna kitu kilichoshushwa, ni Waarabu wa Jangwani tu waliamua kukopi kwenye Vitabu vilivyotangulia na kuongezea mambo yao kisha wakachukua Panga na kuanza kuvamia Nchi za Watu.Qur an halisi ni ile iliyoshuka kiarabu , wewe ndio unatafsiri kwenda lugha yao
KUwa spiritual awakening ndio kitu gani ? kumbuka kwamba uisilamu ni tofauti na waisilamu.Tuanzie na wewe ulishawahi kua spiritual awakening through Holly spirit?
Mkuu mimi bado nitajikita palepale,lazma ufafanue hizi terminology zako zina maana gani ili tuone je kitu hicho kwenye uisilamu hakipo ?If no bado hujafika level za kuatach vitu spirituality hivyo bado hujajua Immortality code inafanyaje kazi vile vile Sio wewe tu hata Christian wengi Hii hawalijui hivyo inakua ngumu wao kuendesha mambo kwa kutumia Divine power
Qur an halisi ni ile iliyoshuka kiarabu , wewe ndio unatafsiri kwenda lugha yao
Too clearKama unaujua uislam ni nini maana ya Kashfi?
Mbona unatumia muda mrefu kutafuta pumba , Muhammad ndio kashuka Qur an ?
Yale ni maneno yameshushwa kama ujumbe ....Hamna copy wala nn ili ni Mungu ni yle yuleHakuna kitu kilichoshushwa, ni Waarabu wa Jangwani tu waliamua kukopi kwenye Vitabu vilivyotangulia na kuongezea mambo yao kisha wakachukua Panga na kuanza kuvamia Nchi za Watu.
Kwamba Allah kawatuma.
Unataka kuanza Sarakasi?Mbona unatumia muda mrefu kutafuta pumba , Muhammad ndio kashuka Qur an ?
Ooh ni hivi unamjua Roho Mtakatifu ni nani katika ukamilifu wa Mungu?KUwa spiritual awakening ndio kitu gani ? kumbuka kwamba uisilamu ni tofauti na waisilamu.
NAtaka kujua maana yake kwa sababu unaweza ukawa unaita kitu kwa jina tofauti lakini kwenye uisilamu kiko kwa namna ingine ila maana ikawa ni ileile.
Nakupa mfano tu kuna kitu kinashauriwa sana na wataalamu wa saikolojia kinaitwa gratitude,hata rhonda byrne kwenye kitabu chake cha "THE MAGIC" aligusia,hiyo gratitude kwenye uisilamu ipo tena tunatakiwa tuifanyebasubuhi na jioni sasa huku tunaiita ADHKAR.
Nadhani unaelewa sasa kwa nini nataka unipe maana ya neno lako la spiritual awakening.
Mkuu mimi bado nitajikita palepale,lazma ufafanue hizi terminology zako zina maana gani ili tuone je kitu hicho kwenye uisilamu hakipo ?
Maana uisilamu una terminology zake.
Mfano wa Pili.
Unaweza ukadhani kweye uisilamu hakuna meditation kwa sababu haijatajwa,ila kwenye uisilamu meditation ipo lakini imetajwa kwa terminology zingine ila maana ni ile ile na malengo ni yale yake.
So bado narudia kusema kwamba kuleta terminology ambazo ni ngeni kwa baadhi yetu hiyo inaweza ikawa hatujui hizo terminology ila tukawa tunajua na tunafanyia kaz terminology hizo.
Najikita kutaka kujua maana ya hayo maneno,kwangu mimi sio ujinga kujifunza kile nisichokijua.
Pole sana na hizo fiksi, umeingizwa kingi.Yale ni maneno yameshushwa kama ujumbe ....Hamna copy wala nn ili ni Mungu ni yle yule
We jamaa nitakuelimisha hili la "Paulo kuleta ukristo" hadi lini? Mbona Kila siku unakaza fuvu mkuu?Vitu viwili tofauti Roma hawana uhusiano na uislamu kwa sababu wapo tofauti , ukristo umeanzisha na paulo baada ya Yesu kuondoka .
Unamiaka mingapi bwana accumen?Yale ni maneno yameshushwa kama ujumbe ....Hamna copy wala nn ili ni Mungu ni yle yule
Uislamu unakuwepo vipi kablya ya kuja kwa waaran wakati uislam umeanza Karne ya sana na waarab wa mashariki ya kati wameshamiri kuja Karne ya 7 - 10 ?Mkuu Waarabu waliokuja East Africa ni wa Oman, uisilamu wao unaitwa Ibadhi, kwa Tanzania waisilamu ambao ni Ibadhi haifiki hata 0.1%.
Waisilamu ambao wapo Tanzania asilimia kubwa ni Sunni, uisilamu ambao upo practiced worldwide.
Ukisoma Historia ya Tanzania wakati wa vita na wareno kabla ya Oman kuja kuwa piga wareno,waisilamu wa East Africa waliomba msaada Kwenye khilafa akatumwa kamanda kuwasaidia wakapigwa, huu ni ushahidi kwamba uisilamu ulikuwepo kabla ya Waarabu/wazungu kuja Pwani hii.
Hii Ramani ya Africa ikionesha connection ya East Africa na Mecca/Madina.
View attachment 3037573
Mfalme Najash ambae alipokea waisilamu wakati wanauliwa Empire yake ya Aksum ilikuwa Eritrea/Ethiopia ya Leo,
Hii picha ya Msikiti wa Somalia ambao unaelekea Jerusalem, Kibla kilibadilishwa toka Jerusalem kwenda Mecca wakati bado mtume yupo hadi, Ushahidi kwamba kulikua na waisilamu ukanda wetu wakati mtume bado yupo Hai
View attachment 3037574
Ulitaka Mungu aje na agano jipya , wanaisrael awape maelezo mengine na wazungu awape wengine π πPole sana na hizo fiksi umeingizwa kingi.
Mkuu bado unazunguka palepale,approsch yako inaweza kutukosesha sisi wengine kujifunza ingawaje una lengo zuri la kutoa elimu.Ooh ni hivi Inamjua Roho Mtakatifu ni nani katika ukamilifu wa Mungu?
Waethipia wanasujudu nyie mnasujudu?We jamaa nitakuelimisha hili la "Paulo kuleta ukristo" hadi lini? Mbona Kila siku unakaza fuvu mkuu?
Paulo(zamani sauli) alikuwa mpinga kristo mkubwa kabla ya makafiri wa kiislamu kuanza kuupinga msalaba hadi mnavyofanya leo.
Nakukumbusha kitu pia Leo,uchukue na hii;
Kanisa la Ethiopia lipo miaka mingi sana hata kabla ya uislamu kuexist Wala kabla paulo haujawepo duniani na wakristo wa Ethiopia ni wakristo wa asili,hawajaletewa kama sehemu zingine za Dunia. Lakini pia wakristo wa Lebanon ni wakristo wa asili though ni waarabu.
Mbona unalia sasa π π π ilishuka na kunakiliwa sio hadithi za paulo ....Una
miaka mingapi bwana accumen?
Kama unaamini kuwa Quran ilishuka Moja kwa Moja kutoka kwa Mungu,basi safari yako ni ndefu sana.