inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kama Quran ilivyosema,wengi wao wanachuki nasi japo wanaonesha nyuso ziso na chuki,wanayoficha nyoyoni makubwa zaidi, Quran haiongopi,watu Wanachukia sijda,hijabu..wapuuzi sanaHatari sana!
Yaani mtu ana chuki imemjaa kifuani mpaka anashindwa kuihimili anaamua kutema nyongo kwa namna yo tofauti juu ya uislam.
Mtu wa namna hii akiambiwa ajivishe bomu na kujitoa mhanga kwa waislam atafanya kabisa.
Kwa ufupi huyu jamaa kwa chuki yake ni Gaidi.
inamankuswekeSio tu Mwokozi ila ndie Master of Spiritual Realm yaani kama hujawahi experience maswala ya Enlightenment huwezi elewa hii na anaenda mbali bila kumjua na kumkubali haitakaa uone Nuru kwenye maswala ya kiroho zaidi sana utaishia kunawa miguu kuswali kuelekea kibra na kuvaa kanzu ila kiuhalisia
Utaishia kua free in body and slave Soul!
Na hapa ndio msingi wa Mada kama ulikua hujajua kasome kichwa cha uzi kiasemaje?
Nilitaka muungie kwenye kumi na nane na nashukuru umeanza kujaa!
😁😁
katika hizo siku unadhani MUNGU siku yake ni ipi?akuadhibu kwa ajili ya siku tu kifikra sahihi unaona iko sawa?yaani gaidi na ijumaa yake,uvaaji wake,lugha yake,kibra yake ndio apate pepo?upumbavu ni mbaya sana!wakiristo
Kuna wanaoswali Jumamosi - wasabato
Jumapili - Wakatoliki
Juma tatu - Kanisa la Yohova.
waislam wao siku 1 ni ijumaa.
sasa nani kachanganyakiwa?
Hawa watu wana chuki sana na uislam. Halafu wenyewe wanajiona wema kweli.Kama Quran ilivyosema,wengi wao wanachuki nasi japo wanaonesha nyuso ziso na chuki,wanayoficha nyoyoni makubwa zaidi, Quran haiongopi,watu Wanachukia sijda,hijabu..wapuuzi sana
Katika Waislamu wote wa humu wewe ndio angalau umepata mwanga nini kinaendelea yote nilikusudia kabisa na nisingejifunua kwenye ile comment ungeendelea kua gizani
Nimemuona,hawezi vumilia
Kama Kurani ni MANENO au UJUMBE basi unaweza kuandikwa katika LUGHA yoyote ile.nje ya Quran ya kiarabu hiyo ni tafsiri ya Quran
Sio siwezi vumilia nilikusudia kabisa baada ya kuona bado mpo gizani kwanza hata wewe hujajua mada inahusu nini ila ungekua na akili kichwa cha uzi kingekupa kengere kichwaniNimemuona,hawezi vumilia
Mafumbo magumu ya yesu kuwa ndiye Mungu na kuwa mwana wa Mungu hapohapo!?..huna Cha kumfunza muislam wewe,we mwenyewe hujui unaabudu niniSio siwezi vumilia nilikusudia kabisa baada ya kuona bado mpo gizani kwanza hata wewe hujajua mada inahusu nini ila ungekua na akili kichwa cha uzi kingekupa kengere kichwani
Waislamu kutokuelewa maswala ya kiroho ina maana gani na hiyo Spiritual enlightenment ni nini ila wote mmekua blind ndio hasa lengo la Mada yangu,
Yaani nyie bado hamjui kufumbua mafumbo magumu mnatolewa kwenye reli kirahisi hivyo huko Madrasa mnaenda kusomea ujinga?
😁😁
Waislamu hawaja pewa maarifa ya Kiroho na wapo kimwili mwili tu.Sio siwezi vumilia nilikusudia kabisa baada ya kuona bado mpo gizani kwanza hata wewe hujajua mada inahusu nini ila ungekua na akili kichwa cha uzi kingekupa kengere kichwani
Waislamu kutokuelewa maswala ya kiroho ina maana gani na hiyo Spiritual enlightenment ni nini ila wote mmekua blind ndio hasa lengo la Mada yangu,
Yaani nyie bado hamjui kufumbua mafumbo magumu mnatolewa kwenye reli kirahisi hivyo huko Madrasa mnaenda kusomea ujinga?
😁😁
Unajaribu kunitaka nifanye nini hasa?.Kiongozi! Unajua sisi sote ni watu wazima. Hivyo, tunavyozungumza kitu tunatarajia kiwe ni productive talk.
Uislamu una misingi yake. Hivyo ukiuhukumu tunataraji utupatie uthibitisho kwa kutumia uislam huo huo.
Umeuhukumu uislam kuwa ni Mtume Muhammad s.a.w pekee katika Mitume 124,000 ndiye amesema Mungu hana mwana.
Unachotakiwa ni kutupatia ushahidi kwa kutumia Uislam huo huo! Imma kwa Qur'an au Hadith. Qur'an imemzungumzia Mitume na Manabii tofauti tofauti.
Ajabu unakanusha wewe mwenyewe pasipo uthibitisho wowote. Sasa hii tuitafsiri vipi? Yaani unatoa madai unaambiwa lete uthibitisho, uthibitisho unakuwa wewe mwenyewe. Tena kwenye mambo ambayo yana misingi yake ya kupata uthibitisho wake!
Hiyo itakua tafsiri,na zipo mpaka za kichina..nilianza na mfano wa baba kumpiga mwanae kwa kuwa alilewa,nikauliza aliyekua kalewa ni baba au mtoto,lengo ilikua kuonesha kwamba tafsiri bila maelezo ni rahisi kupotosha ujumbeKama Kurani ni MANENO au UJUMBE basi unaweza kuandikwa katika LUGHA yoyote ile.
Taurati/torati ipi usomayo inayosema Mungu ana mwana?Unajaribu kunitaka nifanye nini hasa?.
Quran imejaa maneno ya Muhammad mwenyewe.
Quran ni Muhammad na Muhammad ni Quran.
So, tunapima maneno yake na maneno ya manabii wengine. Manabii wengine walisemaje kuhusu Mungu, ukifanya hivyo ndiyo unajua ukweli ni upi.
Mnasema mnaamini Quran, Zaburi, Torati na Injili.
Je, waandishi wa hivyo vitabu wanasema Mungu hana mwana kama Muhammad asemavyo?.
Ukivisoma vitabu hivyo vyote vinakubali Mungu ana Mwana.. Sasa ni why Muhammad akatae na anasema ni vitabu vya Mungu?.
Allah ndio hana Mwana kwakuwa hakuoa mke.Taurati/torati ipi usomayo inayosema Mungu ana mwana?
Ungebiambia tu torati gani inasema Mungu ana watoto,najua fuvu lako ni tupuAllah ndio hana Mwana kwakuwa hakuoa mke.
Hawezi kupata Mwana Hadi afunge Ndoa.
Hapo ndipo mnapo dhihilisha kiwango chenu cha ujinga Muslims hua mnakimbilia conclusion badala ya kujifunza na kufanya utafitiMafumbo magumu ya yesu kuwa ndiye Mungu na kuwa mwana wa Mungu hapohapo!?..huna Cha kumfunza muislam wewe,we mwenyewe hujui unaabudu nini
Unamuabudu Mungu au yesu?..au ni wote kitu kimoja?..acha kabobo,maana huwa mnachanganyikiwa hata kuelewa mnachoeleza hamuelewiHapo ndipo mnapo dhihilisha kiwango chenu cha ujinga Muslims hua mnakimbilia conclusion badala ya kujifunza na kufanya utafiti
Maswala ya Spiritual enlightenment hayahusu dini ila yanamhusisha Yesu Kristo kama master of Realm na hii ndio siri ya Ukristo kuanza kama imani kwa mtu mmoja mmoja na baadae ikatengenezwa dini kama kundi
Kifupi bila hii elimu nyie Muslims mtaendelea kuzidiwa kiroho na waganga na wachawi!
Yaani mpo empty sana nahamtaki kujua kwa kukiona mnajua ila watu wenu wengi wanakimbilia kea manabii kina Mwamposa na hamjui kwanini na hapa ndio nakupa siri!
Unamaanisha maneno ya Mungu yanapatikana kwenye Torati pekee?Ungebiambia tu torati gani inasema Mungu ana watoto,najua fuvu lako ni tupu
Tehtehetehteh,kapakwe mafuta na matatizo yako ya akiliUnamaanisha maneno ya Mungu yanapatikana kwenye Torati pekee?
Sasa unasoma Qurani ya nini