Ukweli mchungu: Waumini wengi wa Dini ya Kiislamu wamefungwa ufahamu kwenye Uelewa wa mambo ya Kiroho (Spiritual enlightenment)

Allah ameagiza Mauaji ya kutisha kabisa dhidi ya wasioamini porojo zake swali ni je mbona Allah asiwaue yeye mwenyewe badala ya kuagiza fanatics???!!
View attachment 3038463
Ati wameagizwa👆😁😁😂
Hawa ndio Waislamu halisi yaani wafia Dini.
Allah kawasisitiza kuwa
وَمَن يَبْتَغِ غَيْرَ الْإِسْلَامِ دِينًا فَلَن يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ

[ AL I'MRAN - 85 ]
Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri.

Wafosi kwa hali na mali kila mtu awe Muislamu.
Sijui ni kwanini wanalazimisha watu kuwa Waislamu.
Be Muslim or be Killed.
 
Muhammad

Muhammad was the founder of Islam and the proclaimer of the Qurʾān, Islam's sacred scripture. He spent his entire life in what is now the country of Saudi Arabia, from his birth about 570 CE in Mecca to his death in 632 in Medina.

(According to Accredited undeniable sources).
 
Hapo nini kimefosiwa!?
 
Mkuu nsomba kufahamu kutoka kwako maarifa ya kiroho ni yapi kwa mujibu wa ukristo na ningeshukuru sana kama utanipa na mifano ya mafundisho ya kiroho.
 
DR Mambo Jambo sijakuona mkuu upande huu
Kwanza Muanzisha mada hata Hajui ni nini anachokiongelea na hata hajui ni nini anachotaka Wadau wachangie...

so kama angekuwa Anajua anachotaka maybe ningechangia 😅😅..

Inaonekana Muanzisha mada amesukumwa na Chuki tu Kuanzisha Uzi..

Kichwa cha habari amesema Mambo ya Kiroho tena "Spiritual Enlaghtments" au kwa Lugha nyingine tungeita "Illumination" ila kwenye Context (Maudhui) amezungumzia Historia na mambo ya Dogma na mapokeo ya Kidini..

So hivyo ni vitu Viwili tofauti na ambavyo haviendani kabisa Spiritual Enlightments its Far beyond Na Religion entanglements..

yeye Yupo Kajifunga kwenye Religions Entanglements na ndo anachokiita yeye Spiritual Enlightments..

atleast Awaulize Wenzake wakina Rabbon Kuhusu Spiritual Realm.😅😅
Wamfundishe Kwanza kondoo wao..

Wanaosema wanaijua elimu ya Kiroho (Spirituality) kiufupi ni kuwa Hawaijui kabisa..

Katika Quran Imeandika kuwa Mungu hakumpa Binadamu Elimu ya Kiroho ila Kidogo sana na hicho kidogo ni lazime akitafute..


Mwambie Asome katika Surah Ban-israil aya ya 85-87...
(Quran 17:85-87)

"...Na wakikuuliza khabari za Roho (Spirit). Sema: Roho (Spirit) ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ya Roho (Spirituality)ila kidogo tu. Na tungeli penda tungeli yaondoatuliyo kufunulia. Kisha usingeli pata mwakilishi wa kukupigania kwetu kwa haya. Isipo kuwa iwe rehema itokayo kwa Mola wako Mlezi. Hakika fadhila yake kwako ni kubwa.....

CC: Dumas the terrible
 
Uzuri unasema tabia za waislamu sio kwamba unasema uislam unasemaje. Leta hoja juu ya huo uisĺam ambao umesoma wewe. Tatizo hoja zako ni za ku attack waislamu. Tambua uislam ni muongozo na muislam ni mfataji muongozo. Sasa weka hoja sio ku attack tabia za baadhi ya watu
 
Weka hoja za kielimu. Uislam ndio umefundisha hvyoo?? Au nitabia ya chuki . Nioneshe Bible ya kwqnza kuwa imeandikwa lugha ya kiswahili unachotumia wewe.???
Achana na hoja za ubinafsi weka hoja za msomi sio maneno ya mipasho
 
Wewe ni muumini wa propaganda yaani hizi picha unazoonesha ndio uislam unavyoeleza hvyo au just copy and paste tabia za watu.

Ni mfano wa sanamu la yesu na mama yake yaliyopo makanisani kwa kuwaaminisha watu kuwa ni yesu kweli kumbe ni muigizaji wa Hollywood.
Kuwa na fact bro acha propaganda
 
Mkuu nsomba kufahamu kutoka kwako maarifa ya kiroho ni yapi kwa mujibu wa ukristo na ningeshukuru sana kama utanipa na mifano ya mafundisho ya kiroho.
Ninyi pia mmepewa kidogo katika imani yenu.
Sasa ni kwanini hukijui hicho kidogo ulichoopewa ?
AN NAH'L - 85
Na wanakuuliza khabari za Roho.
Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu.
 
Hivyo vitabu ameandika nani
Hiyo vitabu ameandika nani??,
Nisawa sawa umlete mwana CCM kuchambua Irani ya chadema.
Utapata nini??
Kichwa cha Habari na yaliyoandikwa ndani ni tofauti. Ukiwa msomi mzuri leta similarities upande moja na mwingine ndio tutaweka hoja za kielimu now ni just story na chuki. Ambazo hata mwaka wa uchambuzi mmoja hauna ni just days or week unakuja kupotosha
 
Wakristo wa wapi wanatofautiana kwenye Uungu wa Yesu,
Msingi wa Ukristo ni Ubinadamu wa Yesu na Uungu wa Yesu vyote vikienda sambamba kimaandiko na kiuhalisia
Mkristo anaepinga Uungu wa Yesu hayupo labda awe mamluki wa Ibilisi maana hiyo ni common na ndio Ukristo upo hivyo
Uungu wa Yesu hauna mjadala wala longo longo
Tatizo lenu nyie dini mmeipata miaka 600 baada ya Ukristo hivyo mpo non informed na mpo weak theological yaani nyie bado sana kwenye kipengele cha Theology na Spiritual
Hivyo hamuwezi elewa concept ya Uungu!
 
Ninyi pia mmepewa kidogo katika imani yenu.
Sasa ni kwanini hukijui hicho kidogo ulichoopewa ?
AN NAH'L - 85
Na wanakuuliza khabari za Roho.
Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu.
Makusudia ya hayo maneno unayajua au just copy and paste.na histori ya hayo maneno kushuka unajua?? Soma kwanza historia mpaka ikashushwa hiyo Aya. Na maudhi ya mwqnzishaji mada yapo hapo kuhusu roho.
 
Very very complicated
Mara yesu mungu!!!
Mara mwana wa mungu!!.
Mara roho wa mungu.

Sasa yesu aliyekuwa anamuta baba ni nani?
Na salamu ya baba yetu uliyembinguni amesema nani??

Very complicated
 
Waislam wetu si ndio wale wa Kibiti na Tanga? Wengine ndio hawa waganga wavuta majini na waganga. Waislam wengi wazuri ni wale liberals, hawa wengine wa swala tano ni changamoto.
Kibiti waislamu wangapi uliwaona kwa macho yako ?, na je,,? Ndio mafundisho ya uislam yalivyo na pia katika ukristo mitume wa uongo si wamekemewa sasa mbona kila leo mitume na manabii wanazuka. Watu wanatapeliwa kwahiyo hayo ndio mafundisho ya dini yenu??
 
Waislam wetu si ndio wale wa Kibiti na Tanga? Wengine ndio hawa waganga wavuta majini na waganga. Waislam wengi wazuri ni wale liberals, hawa wengine wa swala tano ni changamoto.
Kibiti waislamu wangapi uliwaona kwa macho yako ?, na je,,? Ndio mafundisho ya uislam yalivyo na pia katika ukristo mitume wa uongo si wamekemewa sasa mbona kila leo mitume na manabii wanazuka. Watu wanatapeliwa kwahiyo hayo ndio mafundisho ya dini yenu
Mtoto wa Anko wa Bi Khadija yule Waraqah Bin Nawfal yulee aliyekua padre na agent wa Roman!
😁😁
Ndio kwahiyo,??? Tunajifunza nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…