Naogopa tena😄😄😄.Unaogopa nini kwani!?
"Question" I'm confused. Do Christians believe that Jesus is God or a son of God?Naogopa tena😄😄😄.
Kwani mimi ndio nina mashaka na hilo au wewe??wewe shusha uzi ukiainisha na sababu zako kisha tutimbe kama thanos.
YESU sio level za Allah kabisa,ukimjua vyema ndio utaelewa kwanini tunamwabudu.
Hayo mashairi ya Mabedui ninaweza kuandika zaidi ya hayo😁mtu anaona yenyewe haitoki kwa Mungu basi aandike walau sura moja TU Mfano wa QUR'AN,andika mzee
Kwanza uelewe ni kwanini kiislam ni marufuku kumwita Mungu "baba"kwa namna yoyite ile, maana kwa kufanya hivyo umejinasibisha na utukufu wake.
Muulize Umar ni nani??ana verse zake ktk Quran😁😁,hajui anabwabwaja tu.Hayo mashairi ya Mabedui ninaweza kuandika zaidi ya hayo😁
Si ndiyo uandikeHayo mashairi ya Mabedui ninaweza kuandika zaidi ya hayo😁
Soma hiyo link niliyokupa uongeze maarifa,uone wakiristo wenzio ambao Wana uelewa kuliko wako juu ya bible uone maoni yao,Mimi muislam lakini husoma madhehebu yote ya kiislam, Imani zote Hadi ubudhaKwanza uelewe ni kwanini kiislam ni marufuku kumwita Mungu "baba"kwa namna yoyite ile, maana kwa kufanya hivyo umejinasibisha na utukufu wake.
Maana Mungu hawezi kuwa na mtoto asiye na asili kama yake.
Hivyo basi sisi wakrsito tunaamini Yesu ni mwana wa Mungu ambaye ni Mungu.
Umedanganywa ndugu, kunywa Konyagi hapa hapa Duniani.Si ndiyo uandike
Tupo kwenye kuandika Mfano wa QUR'AN bro,Kama umeshindwa sema ili twende kwenye hoja ya konyagiUmedanganywa ndugu, kunywa Konyagi hapa hapa Duniani.
wakristo wenye uelewa kunizidi unawajuaje?na unatupimaje??wanaongea kiingereza au wana rangi nyeupe??Soma hiyo link niliyokupa uongeze maarifa,uone wakiristo wenzio ambao Wana uelewa kuliko wako juu ya bible uone maoni yao,Mimi muislam lakini husoma madhehebu yote ya kiislam, Imani zote Hadi ubudha
Mfano wa Quran ukiwa unamaanisha nini??unajua mashairi ya harry potter,hayana mfano wake??yamesomwa na watu wengi?tuyape utukufu kwamba yanatoka kwa Allah??Tupo kwenye kuandika Mfano wa QUR'AN bro,Kama umeshindwa sema ili twende kwenye hoja ya konyagi
"Je hamuoni tulivyoiumba Konyagi hakika wanywao Konyagi ni miongoni mwa waliofanikiwa..."something like this 👆 halafu wakati unasoma unaghani na kuyavuta maneno huku umejishika MaShavu.Tupo kwenye kuandika Mfano wa QUR'AN bro,Kama umeshindwa sema ili twende kwenye hoja ya konyagi
Hapo umekopi Aya ya QUR'AN ukapachika konyagi,acha ufala 🤣🤣🤣"Je hamuoni tulivyoiumba Konyagi hakika wanywao Konyagi ni miongoni mwa waliofanikiwa..."something like this 👆 halafu wakati unasoma unaghani na kuyavuta maneno huku umejishika Shavu.
Yana muongozo wa maisha ndani yake,namna ya kuabudu,Yana hoja yoyote ya kisayansi iliyothibitika,yanamuelezea Mungu na lengo la maisha?!..kwa kuanziaMfano wa Quran ukiwa unamaanisha nini??unajua mashairi ya harry potter,hayana mfano wake??yamesomwa na watu wengi?tuyape utukufu kwamba yanatoka kwa Allah??
Imagine Allah anajisifu ktk kushusha Quran bora lakini si ktk kazi kubwa kabisa kama kuumba dunia na vilivyomo😃😃.Hapo umekopi Aya ya QUR'AN ukapachika konyagi,acha ufala 🤣🤣🤣
Hii Thread imewaongelea Watu exactly kama wewe.Hapo umekopi Aya ya QUR'AN ukapachika konyagi,acha ufala 🤣🤣🤣
Allah hajashusha chochote wala hajaandika chochote ni MIKONO ya Wanadamu ndio inakukoroga.kushusha
Hivi atarudi kweli huyo Mtumwa wa Kiakili?! Aliyechotwa Akili na kushindwa kujikomboa.Imagine Allah anajisifu ktk kushusha Quran bora lakini si ktk kazi kubwa kabisa kama kuumba dunia na vilivyomo😃😃.
Mwamba amekuwekea konyagi sababu Allah amefanya jambo la kawaida kama mlevi yeyote anavyoweza kufanya,kujisifia kwa jambo ambalo kimsingi sio la ajabu.
Anaona kabisa nyie nyumbu msie jitambua atapoteza muda kwenuHivi atarudi kweli huyo Mtumwa wa Kiakili?! Aliyechotwa Akili na kushindwa kujikomboa.