mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Point yangu ni kwamba kama kuna mvamizi amekuja akawapiga,akapora mali nakisha kawaacha mnaendelea kupigana,nyinyi ni wapumbavu.Kesho nikija kwako nikakuua halafu nikachukua Mali zako na kumuacha mwanao yatima na ufukara bila hata nguo mimi nitakua sina lawama na mwanao ndio wa kulaumiwa?
Mentality hizo zenu ndio sababu kuu ya Bara hili kuwa masikini