Ukweli mchungu: Waumini wengi wa Dini ya Kiislamu wamefungwa ufahamu kwenye Uelewa wa mambo ya Kiroho (Spiritual enlightenment)

Kumpenda mwingine kama unavyojipenda wewe! Upendo wa kweli unaanza na kujipenda wewe kwanza
Matendo ya upendo ni kama kuwaheshimu wengine, kutowafanyia matendo mabaya ya kuwaumiza pia kuwachukulia madhaifu wako
Kwa hiyo upendo ni kwa watu tu ? Wadudu ,mimea na vingine aaaaa.
 
Duh!
 
Abrahamic Religion, hizo ni propaganda za watu katika kutaka ku-justify utashi wao.
Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina. (Quran 3:67)
Kama kutapatikana maandishi ndani ya Taurati yaonyeshe Abraham alikuwa myahudi tunaomba yaletwe, au lipatikane andiko ndani ya Biblia kuwa Abraham ni mkristo naomba tupatiwe.
 
Kwa hiyo upendo ni kwa watu tu ? Wadudu ,mimea na vingine aaaaa.
Ni ngumu kuwafanyia upendo wadudu na mimea, kwahilo usijitoa ufahamu

Unafuga kuku right! Kwanini huwa unawauza na kuwachinja na usiwafuge tu wakae banadani miaka yote?
 
Ni ngumu kuwafanyia upendo wadudu na mimea, kwahilo usijitoa ufahamu

Unafuga kuku right! Kwanini huwa unawauza na kuwachinja na usiwafuge tu wakae banadani miaka yote?
Kwani kuwachinja ndio kutowaonyesha upendo?
 
Wewe unawaonyeshaje upendo wanyama na mimea?
Unajua nimesoma biblia zaidi ya mara 20 sijaona mahali hadithi za kwenye biblia na Mungu zikionyesha upendo kwa vitendo zaidi ya habari za Govi Mia za wafilisti na na kila namna ya majivuno na mauaji ya kutisha mara kina Eliya wameua manabii wa baali na mambo mengi tu.
 
Na uliposoma Quran ukaona nini?
 
Nilishasema hivyo vitabu vinafanana kwa asilimia kubwa sana havina tofauti kimaudhui na dhima .
Tunarudi kwenye swali nililokuuliza

Unafanya nini kuwaonyesha upendo wanyama, wadudu, ndege na mimea?
 
Umeeleza mambo mengi sana lakini ungeeleza tu haya ya mwishoni pale ungeeleweka "Sorry yote hii imetokana na baadhi ya Members humu wafuasi wa Islam nabishana nao mambo fulani ya kihistoria na uhalisia ambayo yapo wazi kabisa ila Uelewa wao ni mdogo kuhusu maswala Spiritual ila ni wabishi sana na hakuna wanachojua na hawataki kujifunza wala kubishana kwa hoja ila mautusi na kejeli"...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…