Ukweli mchungu: Waumini wengi wa Dini ya Kiislamu wamefungwa ufahamu kwenye Uelewa wa mambo ya Kiroho (Spiritual enlightenment)

Nisijue Wapi kamanda Roman empire under Catholic influence created Islam Religion,
Huu ndio ukweli mchungu ambao hawatakaa watake kusikia,
Umewahi sikia kitu kinaitwa Napoleon Bonaparte secret code?
Sasa kama hufahamu ni Hivi, uislamu sio dini yenye wakati maalumu wa kuanzishwa, uislamu ni system ya maisha. Maana ya neno Islam kwa kiswahili ni unyenyekevu kwa Mungu mmoja.

Sasa kwa mantiki hiyo, binadamu wa kwanza ambaye ni Adam pia alikuwa muislamu. Yoyote anaye jisalimisha kwa Mungu mmoja huitwa Muislamu.
 
Msahafu wa kwanza umekuwa compiled kwa maandishi wakati wa Outhman, sasa huyo mbuzi labda alikuwa wa marvel na power za Time travel.
Sasa nakubaliana na mtoa mada ya kuwa wengi wenu uelewa ni hafifu, unazungumzia wakatiwa Outhman kwwani hujui wakati wa mtume Quran ilihifadhiwa katika sehemu mbapimbali ikiwemo kwenye ngozi n.k

Baada ya mtume kufariki ndipo wakaamua kukusanya kila mahali ilipo na walipomuendea Aisha awape baadhi ya sura alisema zililiwa na mbuzi

Hii nayo huijui ama ndio hivyo tena
 
Nyie makafiri kabla ya kuanza kubwabwaja humu mtandaoni kwanini msianze na kufanya tafiti tu hata kwa uchache kwenye vyanzo sahihi vya wahusika?
 
Hahaha Mudi alikuwaga anapaka wanja. Lakini waislam wanamtetea alikuwa anafanya hivyo kwasababu alikuwa anamatatizo ya macho. Unabaki kushangaa wtf!
 
Wanaamini eti mbingunii watapewa bikra 72
Ukiwauliza huko mbingini wanaenda watu wenye miili na nyege juu
Wakasirika na kukutangazia fatwa
 
Mungu hayupo na hajawahi kuwepo dini ni hadithi za kutungwa tu hakuna ukweli wowote ktk vitabu vya dini kumejaaa habari za uwongo
Nyie mkikosa majawabu ya matatizo yenu mnakimbilia kwa wagaga kisirisri
Hadharani mnasema mungu hayuko
 
Ukweli hauna miaka kwa kua wewe ulitangulia ndio useme wewe uko sahihi akati nyaraka zako hazimeki sense.
 
Kundi moja la majini lilimuendea Mudy akawasomea Kuran wakasilimu, huo ndo muujiiza no. 1 wa Mudy.

Quote
 
Waislamu mpaka leo tena wanajua sababu ya kwa nn ni mwaka ule , sasa niambie huu mwaka ulianzaje mpaka unasema dunia leo ni mwaka 2024 , ukijibu nakupa hela dogo !?

Wakati wanasema binadamunaliishi miaka million iliyopita
Sisi tunafata mwaka tangu kuzaliwa Kwa Kristo. Ndio maana kabla ya Kristo tunaitwa BC. nyie caldnder yenu ni ya kumtafa mtume wa mungu wa uongo
 
Sisi tunafata mwaka tangu kuzaliwa Kwa Kristo. Ndio maana kabla ya Kristo tunaitwa BC. nyie caldnder yenu ni ya kumtafa mtume wa mungu wa uongo
Hata tarehe ya kuzaliwa Yesu hamuijui kabisa , huyo kristo kazaliwa mwaka gani ?
 
Hajui chochote, amekariri blablah za watu mitaani.
Wewe unajua nini ambacho sisi hatukijui?
Yaani wewe na huyo bibi yako Ajuza ndio kusema mnaujua sana uislamu kuliko mimi kwani huo Uislam mlitoka nao Sayari Kepra 154 huko 1000 light years kiasi kwamba ni mgeni kwa wenyeji kama mimi?
Ulichosoma nimekisoma tena zaidi hata yako na sasa nafikiria nje ya box yaani ubongo wangu Ni HmZ 5000 frequency endeleeni kujifungia kwenye shimo la tewa mtajua hamjui!
😁😁
 
Unawafahamu hawa: Abdur-Rahman ibn ‘Auf, Zubayr ibn al-‘Awaam, Mu’aath ibn Jabal, ‘Ubay ibn Ka’b, Zayd ibn Thaabit, Abu Zayd, ‘Abdullah ibn ‘Amr n.k

Hao ni maswahaba wa Mtume Muhammad s.a.w ambao walihifadhi Qur'an kipindi cha Mtume Muhammad s.a.w. mwenyewe akiwa hai.

Hawakuwa hao tu! Bali hata Aboubakr Siddiq, Umar Ibn Khattwab, Uthman Dhun nurayn, Ally Ibn Abi Twaalib nao pia walihifadhi.

Maswahaba waliyohifadhi Qur'an yote kipindi cha Mtume Muhammad s.a.w ni wengi. Tukiwaacha wa hapo juu wengineo ni: Talhah, Saad, Ibn Mas-ood, Hudhayfah, Salem wa Abu Hudhayfah, Abu Hurayrah, Ibn Umar, Ibn Abbas, Amr ibn al-Aas na mwanaye Abdullah, Muaawiyyah, Ibn az-Zubayr, Abdullah ibn as-Saa-ib n.k Hao wote walihifadhi Qur'an yote kipindi cha Mtume Muhammad s.a.w akiwa hai.

Pia kwa wanawake ni Aa’ishah, Hafsah, Umm Salamah n.k

Quran iliandikwa kwa kukusanywa kwa pamoja baada ya vita ya Al Yamaama. Maswahaba wengi waliyohifadhi Qur'an waliuliwa kwenye hii vita. Takribani maswhaba 70 waliyohifadhi Qur'an yote walikufa kwenye hii vita.

Madai ya kusema kuwa baada ya mtume kufariki ndipo wakaamua kukusanya kila mahali ilipo na walipomuendea Aisha awape baadhi ya sura alisema zililiwa na mbuzi huu ni uongo ndugu yangu.
 
Umekutana na waislam wangapi mkuu ? Umewahoji wangapi ?
Maana hata ukisema umewahoji 1000 bado idadi ni ndogo mno waislam ni wengi xx cjui takwim zako kama zina ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…