Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Uislamu ulikuwepo kabla ya hapo kama ungesambaa kwa jihad usingefika hata nusu ya Africa , story za kina othamn don fodia ni uongo kama stori za binadamu wa kwanza kuwa nyani .Uislamu unakuwepo vipi kablya ya kuja kwa waaran wakati uislam umeanza Karne ya sana na waarab wa mashariki ya kati wameshamiri kuja Karne ya 7 - 10 ?
Ndugu, ni dhahiri kuwa uislam huku Africa mashariki umeletwa na waislam. Tena kwa jihadi au biashara.
Karne ya 13 Africa magharini iligubikwa na jihad. Aftuka kaskazini ndiyo kabisaa au unafikiri waarabu wa Libya, Tunisia, Morroco etc Wana asili ya Africa?
Pia wengi mnadanganywa kama jihad ni vita ya kusambaza uislamu , ila jihad ni pana sana ikiwa na maana ya kujitolea ....Jihad ilikuwa waislamu kujilinda na kushambulia sio wao walianzisha jihad walipewa maelezo ya kujilinda .
Jihad haikupiganiwa kweny makazi ya watu , palikuwa na viwanja vya vita mbali na mkazi ya watu ....Nje ya hapo hakuna jihad ni uongo