Ukweli mchungu: Waumini wengi wa Dini ya Kiislamu wamefungwa ufahamu kwenye Uelewa wa mambo ya Kiroho (Spiritual enlightenment)

Ukweli mchungu: Waumini wengi wa Dini ya Kiislamu wamefungwa ufahamu kwenye Uelewa wa mambo ya Kiroho (Spiritual enlightenment)

Toka shetani amlaghai Adam na mkewe bustanini mpaka utatu wa Paulo kanisani,ni kipindi kirefu, kabla ya hapo shetani alibuni uongo gani wa kiimani binaadam wakawa wahangaika nao!?..tatizo huwa mnafikiri nusunusu
Ni Wapi Paul kaleta Utatu?.
Ni Paul huyu huyu aliyesema Mungu ni mmoja alikuja akageuka na kusema Mungu ni watatu?.
Ama unamuongelea Paulo Ng'wani?. 😊.
Nb: uongo mkubwa ni Mungu hana mwana(islam).
Mungu ni watatu ndani ya mmoja(trinity)Christianitians .
 
Unamuabudu Mungu au yesu?..au ni wote kitu kimoja?..acha kabobo,maana huwa mnachanganyikiwa hata kuelewa mnachoeleza hamuelewi
Hivi unaelewa mafundisho ya Kristo?
Umeshawahi isoma gospel yyaote au unahadithiwa na sheikh wako?

Unaelewa mafundisho ya Ukristo ni complex mpaka kuyaelewa inahitaji uwe na siri ya Roho Mtakatifu?
Unajua Ukristo ni imani na Sio Dini?
Unajua nini maaana ya e?
Mungu ni Jina ,cheo ,au Asili?
Twende Ili tujue Uelewa wenu wa mambo tusije tukawa tunabishana na vipofu wanaojaribu kuuelezea Mwezi!
 
Hiyo itakua tafsiri,na zipo mpaka za kichina..nilianza na mfano wa baba kumpiga mwanae kwa kuwa alilewa,nikauliza aliyekua kalewa ni baba au mtoto,lengo ilikua kuonesha kwamba tafsiri bila maelezo ni rahisi kupotosha ujumbe
Kitabu cha STORY kikiandikwa kwenye LUGHA mbali mbali ile lengo KUU ni ile STORY.

Kwa Mfano Muazini anapoazini Kiarabu anasema "Mungu ni Mkubwa njooni Mswali..." inaweza kuimbwa Kiswahili tu bila hatq ya wasi wasi.
 
Papa Francis asingebariki ushoga kama angekua anajua historia ya yesu
 
Tatizo lako hutegi sikio la kuelewa bali unatega sikio la ukishajibiwa ujibu nini!

Na ndiyo maana watu wengineo hawakujibu. Wanakuacha uandike kwa nafsi yako mpaka itakapo kinai.

Jawabu la swali lako ni kwamba
Suratul Fatiha ni sura imebeba mambo mawili.

Mosi imebeba mja kumuitakidi anaye kwamba yeye ni mja wa Allah na ndiye anaye muabudu tu.

Pili, imebeba maombi kwa mja ya kwamba baada ya mimi kukuabudu wewe basi maombi yangu niongoe.

Nidyo maana mwanzo wa fatiha mja anasema:

-Kwa jina la Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema mwenye kurehemu.

-Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola mlezi wa viumbe wote.

- Mwingi wa rehema mwenye kurehemu.

-Mwenye kumiliki siku ya Malipo.

-Wewe tu tunakuabudu, na wewe tu tunakuomba msaada.

Baada ya hapo aya zinazofuata ni za kumuomba huyo anayemuabudu na anayemuomba msaada. Hivyo mja anamuomba Mungu wake kwa kuwa dunia imejaa mitihani na yeye binadamu amekuja kutahiniwa hapa duniani. Hivyo!

-Tuongoze njia iliyonyooka.

-Njia ya uliyowaneemesha, siyo ya waliyokasirikiwa wala waliyopotea.
Kama maneno yaliyo kwenye Qurani ni ya allah, huoni kama kupitia haya maneno kwenye surah hii allah anamuimba Mungu wake?
 
Si ungeweka hata kamfano kunogesha uzi.
 
Wewe unaongelea kwa Mwamposa labda.
Kwenye uislamu waumini huwa wanaangalia maandiko yanasemaje kiongozi akitoa neno la uongo ambalo halipo kwenye kitabu anakosolewa hapohapo,hakuna uchawa.
Kwenye ukristo padri akisema kuna mafuta yametoka mbinguni anauza milioni hakuna wa kumpinga wote wanaingia kichwakichwa.
Hebu nipe haya inayosema '... mkiristu a.k.a pagan akijenga jengo la ibada waisilam wote baada ya ibada ya ijumaa wakalivunje na kuharibu kila kitu'
 
Allah ameagiza Mauaji ya kutisha kabisa dhidi ya wasioamini porojo zake swali ni je mbona Allah asiwaue yeye mwenyewe badala ya kuagiza fanatics???!!
RTX114YI (1).jpg

Ati wameagizwa👆😁😁😂
 
Sio hao tu, Sema wenye dini wote kuanzia Ukristo mpaka Uislam na janjajanja zote za imani.
 
Haina hata haja ya salamu Moja kwa moja kwenye mada.

Kiufupi nimejichimbia kwa kina kujua Saga la Abrahamic religion yaani Judaism, Christian na Islam
Wengi humu mnanijua katika engo ya kujua mambo ya Accient civilization ila leo nagusia religious issues,

Katika utafiti wangu mdogo nimegundua majority ya Islamic kuanzia viongozi wao hawana elimu juu ya historia ya kweli ya dini yao.

Yote tisa kumi ni kutojua historical chatline ya matukio, wengi wao ngumbaru first class yaani full kuchanganya mambo tena wengine utaona ni wasomi wa Elimu Dunia ila ikifika kwenye suala la dini yao ni kama wamekatwa kichwa.

Kubwa zaidi hawana Uelewa wa mambo ya kiroho yaani wanazidiwa mpaka na wale Buddha ukiachana na wenzao Wakristo ambao Wana uwezo wa kufanya chants na kuamsha nguvu chanya katika Ulimwengu wa Roho (Spiritual Realm Awakening)

Ila kiuhalisia wao wapo vizuri katika mambo ya morals and dogmas katika mambo ya kimwili kama kanuni za ibada,usafi wa mwili na taratibu nyingi za jamii,

Kiufupi Islam hata historia yao tu ina contradiction kibao ni rahisi kwa Mwanafunzi mchanga wa kikristo kuelezea historia ya Imani yao kuliko Muislam guru kukuelezea Mwanzo wa dini yake maana huwa hawafundishwi kwa kina kujenga hoja zaidi ya kukalili na kumezeshwa ujinga na hua hawajisumbui kutafuta ukweli wa mambo nje ya box!

Sorry yote hii imetokana na baadhi ya Members humu wafuasi wa Islam nabishana nao mambo fulani ya kihistoria na uhalisia ambayo yapo wazi kabisa ila Uelewa wao ni mdogo kuhusu maswala Spiritual ila ni wabishi sana na hakuna wanachojua na hawataki kujifunza wala kubishana kwa hoja ila mautusi na kejeli!

Anyway ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya!

Copy kwa FaizaFoxy na Stress Challenger

#La gizani!
😁😁
Kuwa na Adabu ww
Haina hata haja ya salamu Moja kwa moja kwenye mada.

Kiufupi nimejichimbia kwa kina kujua Saga la Abrahamic religion yaani Judaism, Christian na Islam
Wengi humu mnanijua katika engo ya kujua mambo ya Accient civilization ila leo nagusia religious issues,

Katika utafiti wangu mdogo nimegundua majority ya Islamic kuanzia viongozi wao hawana elimu juu ya historia ya kweli ya dini yao.

Yote tisa kumi ni kutojua historical chatline ya matukio, wengi wao ngumbaru first class yaani full kuchanganya mambo tena wengine utaona ni wasomi wa Elimu Dunia ila ikifika kwenye suala la dini yao ni kama wamekatwa kichwa.

Kubwa zaidi hawana Uelewa wa mambo ya kiroho yaani wanazidiwa mpaka na wale Buddha ukiachana na wenzao Wakristo ambao Wana uwezo wa kufanya chants na kuamsha nguvu chanya katika Ulimwengu wa Roho (Spiritual Realm Awakening)

Ila kiuhalisia wao wapo vizuri katika mambo ya morals and dogmas katika mambo ya kimwili kama kanuni za ibada,usafi wa mwili na taratibu nyingi za jamii,

Kiufupi Islam hata historia yao tu ina contradiction kibao ni rahisi kwa Mwanafunzi mchanga wa kikristo kuelezea historia ya Imani yao kuliko Muislam guru kukuelezea Mwanzo wa dini yake maana huwa hawafundishwi kwa kina kujenga hoja zaidi ya kukalili na kumezeshwa ujinga na hua hawajisumbui kutafuta ukweli wa mambo nje ya box!

Sorry yote hii imetokana na baadhi ya Members humu wafuasi wa Islam nabishana nao mambo fulani ya kihistoria na uhalisia ambayo yapo wazi kabisa ila Uelewa wao ni mdogo kuhusu maswala Spiritual ila ni wabishi sana na hakuna wanachojua na hawataki kujifunza wala kubishana kwa hoja ila mautusi na kejeli!

Anyway ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya!

Copy kwa FaizaFoxy na Stress Challenger

#La gizani!
😁😁
kuwa na adabu ww ukiiuzungumzia Uislam iman gn ya kiroho kunyishwa detol ndo kuwa na iman ya kiroh?
 

Attachments

  • export_1719811910202.mov
    3.5 MB
  • ssstik.io_@prophet_atigya_1719845065238.mp4
    2.5 MB
Kitabu cha STORY kikiandikwa kwenye LUGHA mbali mbali ile lengo KUU ni ile STORY.

Kwa Mfano Muazini anapoazini Kiarabu anasema "Mungu ni Mkubwa njooni Mswali..." inaweza kuimbwa Kiswahili tu bila hatq ya wasi wasi.
Huwezi kupata ladha ileile ya kitabu kilichotafsiriwa,kutafsiri ni kujitahidi tu kumuelewesha asiyejua hiyo lugha,happy birthday unaimba kiingereza,adhana hutaki ipigwe kiarabu,hizi chuki za kijinga
 
Kuwa na Adabu ww

kuwa na adabu ww ukiiuzungumzia Uislam iman gn ya kiroho kunyishwa detol ndo kuwa na iman ya kiroh?
View attachment 3038470
Hahaha tatizo lenu ndio hapo umeenda kuokoteza ujinga huko unaleta hapa,
Sasa unadhani nakataa basi hao ni wajinga kama nyie wasiotaka kujua mambo ya kiroho wao binafsi ila wanaamini mpaka waende kwa mtumishi
Ukitaka kuujua Ukweli na kua deep kiroho tafuta mgonjwa hapo mitaani kwenu na kamwekee mkono na uamuru ugonjwa umwachie katika jina la Yesu Kristo
Halafu achana nae utakuja kunipa ushuhuda wa nguvu za hilo Jina la Yesu
Sometimes fanya vitendo usiogope mkuu ajabu ni kua hio formula I apply kwa kila kiumbe hai bila kujali dini wala kabila
Nenda field achana na hizo drama halafu nitakufundisha kitu na nitakupa siri!
 
Hivi unaelewa mafundisho ya Kristo?
Umeshawahi isoma gospel yyaote au unahadithiwa na sheikh wako?

Unaelewa mafundisho ya Ukristo ni complex mpaka kuyaelewa inahitaji uwe na siri ya Roho Mtakatifu?
Unajua Ukristo ni imani na Sio Dini?
Unajua nini maaana ya e?
Mungu ni Jina ,cheo ,au Asili?
Twende Ili tujue Uelewa wenu wa mambo tusije tukawa tunabishana na vipofu wanaojaribu kuuelezea Mwezi!
Mafundisho ya ukiristo siyo complex Bali vague,sababu wakiristo wenyewe tukiwauliza ikiwa yesu ni Mungu au laa,wenyewe mnatofautiana,kudai huwezi elewa mafundisho ya ukiristo mpaka uwe na roho mtakatifu maana yake yesu hakueleweka,maana yesu alisema atakuja mtu kuwafundisha na huyo mtu huwa mnadai ni roho mtakatifu na alikuja baadae,dini ni mfumo wa maisha,huwezi kuwa na amri kumi zinazouongoza mwili wako na ukaziamini na kuzifuata halafu useme huna dini,wakati una utaratibi wa kuabudu,kula,ndoa,kuzika,hayo ya spirituini ya watu waliopagawa tu kwa kushindwa kuelewa mambo
 
Hii ni opinion yako badala ya Fact. Ungeelezea kwa mifano zaidi

Sisi waisilamu historia yetu ni safi na imenyooka wala haina shaka, si tu according na waisilamu hata wasio waisilamu, msahafu wa kwanza toka kipindi cha mtume upo Museum ya Birmingham upo Exactly sawa na msahafu unaotumika leo nothing changed nothing added, je unaweza uka sema hili kwa dini nyengine? Biblia ya leo Yesu anaijua? Tora ya leo Musa anaijua?

Pia sisi Tunakuwa Encouraged kuwa na elimu kwa kila tunachofanya, hatutakiwi kufuata mambo kwa mkumbo, dini yetu ipo practical zaidi na tunaiishi dini na sio kama dini nyengine unakuta waumini ni chawa tu wanatukuza wakubwa wao ila wao si wafuasi wa mafundisho ya dini zao
 
Back
Top Bottom