luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Mbona mayele hakupewa muda ...apewe muda
Mbona mayele hakupewa muda ...
Jamaa kiwango kime drop
Dk 11 hajagusa mpira 😀😀😀😀Wadau wa soka Hamjambo
Nimekuwa nikimfuatilia huyu mutu wa DRC straiker MAKAMBO kuurejesha kwake ktk club ya Yanga SC, matarajio ya wananchi walifikiri atawasaidia lkn ukweli huyu jamaa ni Yikpe season 3 yaan Yanga mmepigwa na wale jamaa zenu wanao wasajilia wachezaj
Narejesha matangazo studio
Tafuta clip ya goli alilofunga siku ya utambulisho wa wachezaji siku ya mwananchi halafu ndio urudi tena.Wadau wa soka Hamjambo
Nimekuwa nikimfuatilia huyu mutu wa DRC straiker MAKAMBO kuurejesha kwake ktk club ya Yanga SC, matarajio ya wananchi walifikiri atawasaidia lkn ukweli huyu jamaa ni Yikpe season 3 yaan Yanga mmepigwa na wale jamaa zenu wanao wasajilia wachezaj
Narejesha matangazo studio
Kapambane na Bocco anae anza na hana goliWadau wa soka Hamjambo
Nimekuwa nikimfuatilia huyu mutu wa DRC straiker MAKAMBO kuurejesha kwake ktk club ya Yanga SC, matarajio ya wananchi walifikiri atawasaidia lkn ukweli huyu jamaa ni Yikpe season 3 yaan Yanga mmepigwa na wale jamaa zenu wanao wasajilia wachezaj
Narejesha matangazo studio
Jugment' ya kwanza ni hiyo kucheza dk 10🧐Tafuta clip ya goli alilofunga siku ya utambulisho wa wachezaji siku ya mwananchi halafu ndio urudi tena....
Umemfuatilia lini?na kwa taarifa yako huyu makambo bado hajapata muda wa kucheza tokea acheze gameile amekua akiingia sub na kucheza kwa -10 minutes.....
Sasa utamjaji vipi mchezaji ambae hajapata time ya kutosha uwanjani?
Kwa nini hajapata time,jibu ni moja hana uwezoTafuta clip ya goli alilofunga siku ya utambulisho wa wachezaji siku ya mwananchi halafu ndio urudi tena....
Umemfuatilia lini?na kwa taarifa yako huyu makambo bado hajapata muda wa kucheza tokea acheze gameile amekua akiingia sub na kucheza kwa -10 minutes.....
Sasa utamjaji vipi mchezaji ambae hajapata time ya kutosha uwanjani?
Hjapata time kwakuwa uwezo mdogoTafuta clip ya goli alilofunga siku ya utambulisho wa wachezaji siku ya mwananchi halafu ndio urudi tena....
Umemfuatilia lini?na kwa taarifa yako huyu makambo bado hajapata muda wa kucheza tokea acheze gameile amekua akiingia sub na kucheza kwa -10 minutes.....
Sasa utamjaji vipi mchezaji ambae hajapata time ya kutosha uwanjani?
Watu wanamzungumzia Makambo wewe umehamia kwa washambuliaji wa Simba vp chief!Washambuliaji wa Simba wamefanya nn cha maana leo
Inakuwasha nini mambo ya yanga?Wadau wa soka Hamjambo
Nimekuwa nikimfuatilia huyu mutu wa DRC straiker MAKAMBO kuurejesha kwake ktk club ya Yanga SC, matarajio ya wananchi walifikiri atawasaidia lkn ukweli huyu jamaa ni Yikpe season 3 yaan Yanga mmepigwa na wale jamaa zenu wanao wasajilia wachezaj
Narejesha matangazo studio
Kwani Kibu Denis,Kagere,Boko,Y muhilu na Bwalya walifanya nini?Dk 11 hajagusa mpira [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kocha humpanga mchezaj kulingana anavyo muona ktk mazoezi, sasa we hushangai kwann hapangwiTafuta clip ya goli alilofunga siku ya utambulisho wa wachezaji siku ya mwananchi halafu ndio urudi tena.
Umemfuatilia lini?na kwa taarifa yako huyu makambo bado hajapata muda wa kucheza tokea acheze gameile amekua akiingia sub na kucheza kwa -10 minutes.
Sasa utamjaji vipi mchezaji ambae hajapata time ya kutosha uwanjani?