Ukweli mchungu: Yanga, huyu Makambo ni Yikpe season 3

Ukweli mchungu: Yanga, huyu Makambo ni Yikpe season 3

Wengi wenu humu bado hamuwezi kuchambua na kung'amua mambo.

HM19 bado hajapata muda wa kutosha wa kucheza,ila quality yake ni ile ile.

Kingine,ukiwa unamuwaza HM19 pia uwe una muwaza na John Bocco ambaye amekuwa flop karibuni, amepata game time ya kutosha ila ameshindwa ku prove.

Kuhusu HM19 ni swala la muda tu.
Acha kuongea upupuu ww bocco ktk game 10 za mwisho ana goli 2 Je MAKAMBO ktk game 10 za mwisho (mechi za ushindani) ana goli ngapi ?

Kumbuka Bocco unae mzungumzia ni mchezaj ambae last season kacheza game nyingi na pia Ali score magoli kibaoo ktk ligi + CAF CL

Sasa HM 19 last season akiwa na Horoya alicheza game 3 tu Msimu mzima , Basi kwann asi perform huu Msimu ? 🤣🤣🤣🤣 Hapa ndio utagundua Mmepigwa
 
Acha kuongea upupuu ww bocco ktk game 10 za mwisho ana goli 2 Je MAKAMBO ktk game 10 za mwisho (mechi za ushindani) ana goli ngapi ?

Kumbuka Bocco unae mzungumzia ni mchezaj ambae last season kacheza game nyingi na pia Ali score magoli kibaoo ktk ligi + CAF CL

Sasa HM 19 last season akiwa na Horoya alicheza game 3 tu Msimu mzima , Basi kwann asi perform huu Msimu ? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hapa ndio utagundua Mmepigwa
Unamuongelea Makambo wa msimu huu? Au wa msimu upi?

Mm namuongelea Bocco wa msimu huu na sio iliopita.

Msimu huu Makambo ana goal mbili katika mechi mbili za kirafiki.

Bocco hana hata la offside.
 
Unamuongelea Makambo wa msimu huu? Au wa msimu upi?

Mm namuongelea Bocco wa msimu huu na sio iliopita.

Msimu huu Makambo ana goal mbili katika mechi mbili za kirafiki.

Bocco hana hata la offside.
🤣🤣🤣🤣 Ama hakika ww hata soka la bongo hulijui

Sasa MAKAMBO ana goli 2 za friend match
Bocco ana goli 2 CAF CL au hujui ilo? Ndugu usiendelee kujiaibisha

Huyu Bocco wa Msimu huu ni mchezaj ambae last season alicheza every match za Simba SC na alikuwa ana score ila huyu HM 19 wenu last season game 3 tu ndio alicheza na hakufunga hata goli moja 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ama hakika ww hata soka la bongo hulijui

Sasa MAKAMBO ana goli 2 za friend match
Bocco ana goli 2 CAF CL au hujui ilo? Ndugu usiendelee kujiaibisha

Huyu Bocco wa Msimu huu ni mchezaj ambae last season alicheza every match za Simba SC na alikuwa ana score ila huyu HM 19 wenu last season game 3 tu ndio alicheza na hakufunga hata goli moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sawa mkuu umeshinda[emoji23].

Ila Makambo ni swala la muda tu.

Najua hata wewe unajua uwezo wake.
 
Tafuta clip ya goli alilofunga siku ya utambulisho wa wachezaji siku ya mwananchi halafu ndio urudi tena.

Umemfuatilia lini?na kwa taarifa yako huyu makambo bado hajapata muda wa kucheza tokea acheze gameile amekua akiingia sub na kucheza kwa -10 minutes.

Sasa utamjaji vipi mchezaji ambae hajapata time ya kutosha uwanjani?
Makambo amecheza dakika almost sawa na John Bocco jana....
 
Unamuongelea Makambo wa msimu huu? Au wa msimu upi?

Mm namuongelea Bocco wa msimu huu na sio iliopita.

Msimu huu Makambo ana goal mbili katika mechi mbili za kirafiki.

Bocco hana hata la offside.
Bocco anagoli champion league
Sasa huyo makambo sijui Kama ameshashangilia goli
 
Tafuta clip ya goli alilofunga siku ya utambulisho wa wachezaji siku ya mwananchi halafu ndio urudi tena.

Umemfuatilia lini?na kwa taarifa yako huyu makambo bado hajapata muda wa kucheza tokea acheze gameile amekua akiingia sub na kucheza kwa -10 minutes.

Sasa utamjaji vipi mchezaji ambae hajapata time ya kutosha uwanjani?
hajapata muda wa kucheza ndiyo maana kaisha. Sasa unatetea nini wakati kiwango kimeshuka.

Na hata alipokuwa anacheza alifanya nn.
 
Tafuta clip ya goli alilofunga siku ya utambulisho wa wachezaji siku ya mwananchi halafu ndio urudi tena.

Umemfuatilia lini?na kwa taarifa yako huyu makambo bado hajapata muda wa kucheza tokea acheze gameile amekua akiingia sub na kucheza kwa -10 minutes.

Sasa utamjaji vipi mchezaji ambae hajapata time ya kutosha uwanjani?

Ni kwa nini apewe dakika chache za kucheza?
Wachezaji wenye viwango vya juu hawaanzii benchi kwenye mechi muhimu!
 
Msihofu ataenda Kuna Kombe lao la Mapinduzi,atacheza TU!
 
Zamani alikuwa akiitwa Makambo siku hizi anaitwa Makombo.
 
Back
Top Bottom