antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Hayo ya Zitto ni porojo..Kwamba tukikopa nje tunawapa 4% ya pesa za mikopo anadai sio sawa,
Dubai ni Dubai tu na ZNZ itabakia ZNZ. Kwanza ZNZ ikitolewa kwenye Muungano tambua kuwa nayo itakufa na kuzaa Pemba na Unguja.Wanasem Wazenji kwamba wakipewa uhuru wao, watawaita Waarabu wa Dubai na Oman wapabadirishe hapo pawe kama Dubai...
Sasa akili zao zilivyo fupi, chakula kinatoka Bara.. na Wazenji wengi hawana kazi za maana nikimaanisha hakuna mzunguko wa hela unaoeleweka ukiweka pembeni shughuli za Utalii na Uvuvi.
Mazao yao hayo ya karafuu, mwani etc havitoshi kuingiza kipato kwa mtu mmoja mmoja.
Ikumbukwe karibu nusu yao wapo huku Bara.. wakipewa uhuru wao na sisi tunawatimua huku warudi kwao hivyo overpopulation itakuwepo na ufinyu wa resources lazima uzidi kuwadidimiza.
I wish siku ifike kila mtu abebe chake.
Wazanzibari wanaojielewa hawataki huu muungano uvunjike, wachache wasiojitambua wanalia na kulalama kwa kusema wanaminywa, ukiwauliza wanaminywa wapi hawajui na hawasemi...Hayo ya Zitto ni porojo..
Halafu inapokuja suala la kulipa mikopo Tanganyika pekee ndo hulipa. Fikiria itakuwaje kama Znz wakitakiwa walipe mikopo yote waliyowahi kupokea, si visiwa vitapigwa mnada?!
Kumbuka pia kuna mikopo huwa inakopwa na Tanganyika kwa ajili ya Znz tuu, ingawa hata hii mlipaji ni Tanganyika pekee
"kutafuna machoko wakizenji na kubwia unga kwa uhuru kisha kusepa zao"Nakwambia hivi, Tanganyika kwa sasa ndio inatusitiri sisi wazanzibar. Bila Tanganyika hatuna ulinzi, usalama wala umeme.
Karafuu iliyokuwa inatupa jeuri ilishakufa kitambo sana, na kwa uvivu wetu tumeshindwa kuifufua, na sasa tunasikia huko Tanganyika mlishaanza kuotesha na kuvuna karafuu yenu kwa fujo.....
Bandari ya Zanzibar iko mahututi maana kila jirani yetu (Beira, Mombasa, Comoro, Eritrea, Djibout, Dar, Mtwara, Tanga) alisha imarisha bandari yake, Zanzibar hatuna tena upekee wa kibandari....
Zanzibar tumebakia na Utalii pekee yake (ambao ni wa msimu, na watalii wenyewe wengi huanzia bara au kumalizia bara maana huko wako huru kuvaa chochote, kula mwaka mzima (huku kula hadharani kipindi cha Ramandan ni mwiko!), kula chochote (hata kitimoto), kunywa chochote(pombe), hapa Zanzibar watalii wanapita kwa siku zisizozidi tatu (kushangaa mchanga mweupe wa beach ambao umegundulika umejaa vilivyo kule Tanganyika (Kigamboni), kutafuna machoko wakizenji na kubwia unga kwa uhuru kisha kusepa zao). Bahati mbaya sana na huo utalii pekee hautoshi kuendesha maisha ya wazanzibar zaidi ya 1.5milioni kwa siku zaidi ya 90.
Yote kwa yote, mmasai ameshaingia Zanzibar na sasa anataka kutawala utaliii wote.
Nasema hivi, Zanzibar bila Tanganyika twafaa!
Mtanganyika anatujali mnooo.